Aliyekuwa Kiongozi wa Chama cha ACT Wazalendo, Zitto Kabwe, ametoa tamko lenye hisia kali akilaani vikali mauaji aliyoyaita “Mauaji ya Oktoba” yaliyotokea nchini Tanzania kutokana na Uchaguzi Mkuu...
Nimemsikiliza huyu Sheikh Jongo amesema wale walifanya ghasia wale wote wameshaushiwa kufanya hivyo na kuvunja miundombinu ya mwendokasi, wamepiga moto vituo vya mafuta visivyopungua 31...
Kwenye hotuba yake amesema kama taifa tunapenda tuheshimiwe kama sis tunavyoheshimu mataifa mengine, na katika kulinda maslai ya nchi hakuna mbadala ni lazima tuhakikishe tunalinda heshima, utu na...
Ndugu zangu Watanzania,
Kwa hakika Rais Samia Amewakosha na kuwafurahisha kwelikweli Watanzania. Amewapa Zawadi Ya kufungia Mwaka. Amewapa kile walichohitaji watanzania. Amekata kiu ya...
Rais Samia awaambia wabungge na waliohudhuria bunggeni kusimama kwa dk 1 kuwaombea wote waliopeta maisha, waliojeruhiwa wapone haraka, na pole kwa wale wote waliopoteza mali zao kipindi hiko...
Salut sana kwenu waungwana wa jukwaa hili la JF.
Tulishakubaliana kwamba waliofanya vurugu ni vijana kutoka nchi jirani vile vile zile video ni zakutengenezwa.
Kuunda tume kuchunguza yaliyotokea...
Nimemsikiliza kwa umakini Rais Samia kuhusu msamaha alioutangaza wa baadhi ya Vijana waliokamatwa wakati wa maandamano kipindi cha Uchaguzi Mwaka huu (2025), ni wazi kuwa inawezekana ni jambo zuri...
Askofu Mkuu wa Jimbo Kuu la Mwanza Mhashamu Renatus Nkwande amesema baadhi ya raia waliouawa katika maandamano yaliyofanyika Oktoba 29, 2025 na siku zilizofuata hawakuwa na silaha yoyote badala...
Katika hafla fupi ya kuapishwa kwa Dkt. Mwigulu Nchemba kuwa wziri mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania iliyofanyika leo November 14, 2025 jijini Dodoma, Mwanamashairi na msanii maarufu kwa...
Yaani sasa hivi kila ukiingia mtandaoni unapigana na hisia zako usije kupata presha kwa hasira!
Aaaaaa! Wazee kabisa ambao vijana wanategemea muwe na busara kushauri mambo vizuri mnajitokeza...
Rais Samia amesema ataunda tume ya maridhiano na upatanishi na kuanza mchakato wa mabadiliko ya Katiba baada ya kujua kiini cha vurugu kwenye uchaguzi mkuu.
Maridhiano yalipaswa kufanyika kabla ya ndugu zetu kuuwawa miili kutupwa baharini na kabla yeye kujiteuwa kuwa rais.
Hakuna cha maridhiano wala bibi yake na maridhiano
Kuna mzee maarufu Buguruni maarufu kwa kuuza pilau toka miaka mingi ya nyuma aliuawa kikatili kwa kupigwa risasi na kupoteza maisha siku ya maandamano.
Wazee wa kiislamu maeneo ya hapo Buguruni...
Rais Samia leo katika ufunguzi wa bunge jijini Dodoma amemalizia kwa kusema
Rais Samia amesema Namuomba mungu mwisho wa utumishi wa awamu ya sita usipimwe tu kwa vitu, majengo na vitu...
NYIMBO ZA VIJANA MSIBANI NI KIASHIRIA CHA IBADA YA UASI. TUWEKENI MAMBO SAWA.
Anaandika, Robert Heriel
Mtibeli
1. Nimeona clip kadhaa za misiba na mazishi vijana wakiimba nyimbo bila machozi...
Rais Samia amesema tumeamua kuwa na wizara kamili badala ya kuwa na idara ndani ya wizara yenye mambo mengi, vile vile ninafikiria kuwa na washauri wa masuala ya vijana ndani ya ofisi ya rais.
"Kama taifa tunapenda tuheshimiwe kama sisi tunavyoheshimu mataifa mengine. Na katika kulinda maslahi ya nchi hakuna mbadala. Ni lazima tuhakikishe tunalinda utu, heshima na uhuru wetu." - Rais...
Sheikh amerejelea mahubiri ya Viongozi wa Kanisa Katoliki yanayoongelea kuwepo kwa haki nchini akisema amani ndiyo huleta haki, akielezea wakati ambapo wananchi walikuwa lockdown iliyosababisha...
Ukimsikiliza huyu mama kwa anayoyaahidi kama so yeye aliekuwa madarakani nakushindwa kufanya hayo hayo, wanafanya siasa ionekane ni mchezo wa kitapeli. Leo hii anaahidi ahadi ambazo unaweza dhani...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.