Baraza Kuu la Waislamu Tanzania (BAKWATA) Mkoa wa Morogoro limeunga mkono agizo la Serikali ya Awamu ya Sita kutaka vyombo vya ulinzi na usalama kuchunguza vifo vilivyotokea baada ya Uchaguzi Mkuu...
Hii idara huenda haipo huwa tunadanganywa kama taifa, inawezekana vipi idara ilishindwa kuona hatari iliyopo wakati wa Uchaguzi Mkuu 2020, then 2024 serikali za mitaa na mwaka huu wakapuuza...
Sijui mambo ya sheriia za kimataifa yalivyo.
Nilikua naomba kufahamishwa, mbona mpaka sasa hakuna Mtanzania au taasisi yoyote ambayo imefungua kesi ICC dhidi ya Samia Suluhu na genge lake la...
Hali hii imeonekana kwa uwazi nchini Tanzania katika miaka ya karibuni, ambapo baadhi ya vyombo ambavyo kiasili na kisheria vinavyopaswa kuwa mabega ya wananchi kama vile Bunge na vyombo vya...
Kwa Maslahi mapana ya nchi na utulivu uliopo uendelee japo kwa mbinu, ingawa wote tunajua amani ni matokeo ya HAKI
Wito wangu kwa Rais Dkt Samia Suluhu Hassan jioni ya tarehe 8 December hutubia...
Ni majira ya saa tisa usiku. Dunia imelala, lakini macho yangu yamekataa mapumziko. Usingizi umetoweka kama kivuli kinachokimbia mwanga. Ghafla, sauti isiyo na uso inanong’ona ndani ya kichwa...
Kwenye mitandao ya kijamii nakutana na video kadhaa za machawa na pia za viongozi mbali mbali wa CCM wakijaribu kujisafisha na kutafuta nani wakumtupia mzigo wa haya yaliotokea nchini.
Ushauri...
Anguko Kuu la CCM na Serikali yake halitotokana na jambo lingine lolote lile zaidi ya kukosa akili.
Kukosa kwao akili ndo kumesababisha wawapuuze Wananchi na madai yao ya ukweli kisha kukimbilia...
"Takwimu, zinaonesha kuwa wabunge 223 kati ya wabunge 393 sawa na asilimia 56.7 ni wabunge wapya kabisa. Aidha, asilimia 45 ya wabunge wote ni wanawake." - Rais Samia Suluhu akihutubia na kufungua...
Mbunge wa Jimbo la Mtumba mkoani Dodoma Mhe Anthony Mavunde leo ametimiza ahadi yake ya kugawa Photocopy Machines 20 kila kata,Kompyuta Mpakato (𝙇𝙖𝙥𝙩𝙤𝙥𝙨) 110 kwa Maafisa Elimu Kata,Walimu wakuu na...
Nichukue fursa na nafasi hii kuongea na vijana wa nchi hii..
Najua mioyo yenu inauma mmeumia kupoteza wapendwa wenu na wapendwa wetu pia lakini kuna jambo moja muhimu sana vijana wenzangu, amani...
Mbunge wa Bunge la Tanzania na aliyewahi kuwa Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dkt. Bashiru Ally, amesema ushindi mkubwa wa Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan uliopatikana katika uchaguzi mkuu...
Ndugu zangu vijana,
Kama kizazi cha leo na kesho, tunabeba nguvu kubwa na nafasi ya kipekee katika kujenga taifa lenye maendeleo na ustawi. Lakini ili tufikie ndoto zetu na kuona taifa letu...
Mbona vyombo vya habari haviripoti kanusho la wizara ya afya kama ni Ai.
Vyombo vya habari vya ndani vinaripoti tu maridhiano sasa tujiulize ni maridhano ya nini ? inamaana hawajui kinachoendelea.
“CCM ni chama cha kitaifa, chama ambacho kimeenea nchi nzima- Zanzibar na Tanzania bara, hakina sababu ya kuwa na ushirikiano wa vyama kama ‘vyama project’. Hivi ni vyama kamili, vyenye usajili...
Tuwe serious kidogo. Juzi, nilimsikia Rais Samia akijifanya Mungu na kutoa msamaha huku akikariri maneno ya kejeli kuwa tuwasamehe kwa vile hawajui watendalo.
Nani hajui atendalo kati yake na...
Nchi yetu imefanya uchaguzi Mkuu wa Taifa tarehe 29 Oktoba 2025. Sote tunakumbuka kuwa siku hiyo na siku zilizofuata, nchi yetu imepitia hali ngumu ambayo haijawahi kutokea katika historia yake...
Bashiru Ally, ambaye ni Mbunge wa Kuteuliwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, amesema kuwa amani, haki na uhuru ni nguzo muhimu ambazo haziwezi kupuuzwa.
Ameyasema hayo wakati akifanya...
Mwamba huyu hapa. Sheikh Ponda Issa Ponda, Katibu wa Shura ya Maimamu nchini. Amenyooka kama rula. Anauliza unawezaje kusikitishwa na mauaji na ukatoa salamu za rambirambi kwa wafiwa, halafu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.