Kwa jeshi hili siku tukijichanganya kwa Burundi tutachapika vibaya mno, ndani ya masaa 8 nchi yote itakua mikononi mwa Burundi.
Wanajeshi wetu mnachoweza nikukamata vijana waliovaa sare zenu...
Samia na Kikwete kuweka watoto wao serikalini ni kutu tukana wataanzania.
Hakuna nchi ya kidemokrasia duniani iliyofanya vitu kama hivi vya matusi, kuna watu wamejimilikisha hii nchi hatutakubali.
Hawa watu ni muhimu sana kwa uchumi na maendeleo ya taifa. Sio rahisi ila wanapambana. Binafsi nina uhakika ni wafanyabiashara wachache sana nchini ambao wanafanya biashara zao pasipo kuwa na...
Gen Z wamesema mjumbe yeyote atakayekubali uteuzi ni msaliti sawa na kushirikiana na wauaji, wawe wanambea na familia zao maana watawatembelea kwenye nyumba zao au biashara zao kama...
Wakuu,
Wakati huu tumekuwa tunashuhudia matukio ambayo kwakweli haya-make sense, lakini ukiyaangalia kwa karibu, yote yanaelekea kwenye kuonyesha nchini kuna machafuko na viasharia vya hatari...
Nimesikia habari za Maridhiano na nimesikia ujio wa Rais Mstaafu wa nchi jirani kujaribu kukutana na vyama vya siasa nchini na kufanya mazungumzo ya maridhiano. Mazungumzo hayo yanatarajiwa...
Kina nani wengine ndani ya vyombo hivi kutupiwa zigo la lawama ya mauaji ya mamia ya watanzania baada ya hawa mawaziri kutupwa nje ya baraza la mawaziri .
17 November 2025
Dar es Salaam, Tanzania...
.
Naomba kumshukuru Rais na Amiri Jeshi Mkuu, mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa fursa adimu uliyonipa katika vipindi mbalimbali kuwatumikia watanzania. Naomba nikuahidi tutaendelea kuunga mkono...
Wakuu,
Nini kinaendelea huko kwenye mbogamboga?
Kati hali ya kawaida kwa jambo ambalo serikali imetoka kukanusha media hasa hizi ambazo zipo kwenye malipo hubeba jambo chapchap na kusambaza...
Maisha ya wateule yapo hatarini sana .
ROHO YA KISASI imestawi mno.
Maandamano ya tar 29 yametengeneza kitu kipya sana .
Waliyokuwa wakijihusisha na maandamano yale wengi wao walikuwa vijana na...
TAFAKURI YA TAFAKARI YA BARAZA LA MAASKOFU TANZANIA (TEC)
ILILOTOLEWA SIKU YA JUMAMOSI TAREHE 15 TAREHE 2025
Mwandishi,
H.M Mponda (Msema Kweli)
MA, Digital International Relations & Diplomacy...
Wakuu,
Mbona kama hili suala limechukuliwa serious sana na? Sasa TEC wanahusikaje na hoja za wanasiasa?
Kosa la TEC ni kukemea mauaji?
"Haya yametokea kwa sababu hatuna wanasiasa sasa hivi tuna...
Nchi ya maigizo, maagizo, maridhiano, matamko, na mataarifa.
Mtakumbuka kabla ya 2015, waandishi wa habari TZ walikuwa wakipata tuzo nyingi za Kimataifa kwa uandishi na ujasiri wao; mtawakumbuka...
Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa, Mhe Tundu A. Lissu amewasilisha Maombi mahakama kuu ya Tanzania akiomba kuunganishwa kwenye shauri namba 8323/2025 lililofunguliwa na SAID ISSA MOHAMED na wenzake...
Kiongozi wa Taasisi ya Asaalam Islamic Foundation Sheikh Muharram Mziwanda ameeleza kushangazwa na Kauli ya Baraza la Maaskofu wa Kanisa Katoliki Tanzania (TEC) kuwa kilichofanyika Oktoba 29, 2025...
Kuna huyu jamaa Kumbusho Dawson ametoa sababu za Dotto Biteko kutupwa nje ya baraza la mawaziri ambalo pia ni haramu tu!
Dotto Mashaka Biteko ameachwa nje ya Baraza Jipya la Mawaziri. Dotto...
Baada ya kutupwa nje katika baraza jipya la mawaziri Hussein Bashe kupitia ukurasa wake wa Instagram anasema:
Natumia nafasi hii kumshukuru Allah kwa kila jambo na kwa baraka zake katika safari...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.