Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Kwa jeshi hili siku tukijichanganya kwa Burundi tutachapika vibaya mno, ndani ya masaa 8 nchi yote itakua mikononi mwa Burundi. Wanajeshi wetu mnachoweza nikukamata vijana waliovaa sare zenu...
33 Reactions
91 Replies
3K Views
Samia na Kikwete kuweka watoto wao serikalini ni kutu tukana wataanzania. Hakuna nchi ya kidemokrasia duniani iliyofanya vitu kama hivi vya matusi, kuna watu wamejimilikisha hii nchi hatutakubali.
0 Reactions
1 Replies
129 Views
Hawa watu ni muhimu sana kwa uchumi na maendeleo ya taifa. Sio rahisi ila wanapambana. Binafsi nina uhakika ni wafanyabiashara wachache sana nchini ambao wanafanya biashara zao pasipo kuwa na...
2 Reactions
8 Replies
283 Views
Kichwa cha habari kiko wazi. Waathirika wa serikali haramu fanya kweli kama ilivyotokea Kenya mwaka 2002 tuizike CCM. Wakati muafaka ndo huu.
2 Reactions
27 Replies
614 Views
Gen Z wamesema mjumbe yeyote atakayekubali uteuzi ni msaliti sawa na kushirikiana na wauaji, wawe wanambea na familia zao maana watawatembelea kwenye nyumba zao au biashara zao kama...
24 Reactions
46 Replies
2K Views
Wakuu, Wakati huu tumekuwa tunashuhudia matukio ambayo kwakweli haya-make sense, lakini ukiyaangalia kwa karibu, yote yanaelekea kwenye kuonyesha nchini kuna machafuko na viasharia vya hatari...
6 Reactions
21 Replies
989 Views
Nimesikia habari za Maridhiano na nimesikia ujio wa Rais Mstaafu wa nchi jirani kujaribu kukutana na vyama vya siasa nchini na kufanya mazungumzo ya maridhiano. Mazungumzo hayo yanatarajiwa...
2 Reactions
10 Replies
383 Views
Wizara ya vijana itakua chini ya ofisi ya Rais hivyo Nanauka hatokuwa na msaidizi
1 Reactions
27 Replies
1K Views
Kina nani wengine ndani ya vyombo hivi kutupiwa zigo la lawama ya mauaji ya mamia ya watanzania baada ya hawa mawaziri kutupwa nje ya baraza la mawaziri . 17 November 2025 Dar es Salaam, Tanzania...
1 Reactions
14 Replies
850 Views
. Naomba kumshukuru Rais na Amiri Jeshi Mkuu, mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa fursa adimu uliyonipa katika vipindi mbalimbali kuwatumikia watanzania. Naomba nikuahidi tutaendelea kuunga mkono...
3 Reactions
16 Replies
645 Views
Wakuu, Nini kinaendelea huko kwenye mbogamboga? Kati hali ya kawaida kwa jambo ambalo serikali imetoka kukanusha media hasa hizi ambazo zipo kwenye malipo hubeba jambo chapchap na kusambaza...
4 Reactions
32 Replies
804 Views
Maisha ya wateule yapo hatarini sana . ROHO YA KISASI imestawi mno. Maandamano ya tar 29 yametengeneza kitu kipya sana . Waliyokuwa wakijihusisha na maandamano yale wengi wao walikuwa vijana na...
22 Reactions
94 Replies
3K Views
TAFAKURI YA TAFAKARI YA BARAZA LA MAASKOFU TANZANIA (TEC) ILILOTOLEWA SIKU YA JUMAMOSI TAREHE 15 TAREHE 2025 Mwandishi, H.M Mponda (Msema Kweli) MA, Digital International Relations & Diplomacy...
0 Reactions
80 Replies
3K Views
Wakuu, Mbona kama hili suala limechukuliwa serious sana na? Sasa TEC wanahusikaje na hoja za wanasiasa? Kosa la TEC ni kukemea mauaji? "Haya yametokea kwa sababu hatuna wanasiasa sasa hivi tuna...
1 Reactions
22 Replies
417 Views
Nchi ya maigizo, maagizo, maridhiano, matamko, na mataarifa. Mtakumbuka kabla ya 2015, waandishi wa habari TZ walikuwa wakipata tuzo nyingi za Kimataifa kwa uandishi na ujasiri wao; mtawakumbuka...
7 Reactions
8 Replies
370 Views
Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa, Mhe Tundu A. Lissu amewasilisha Maombi mahakama kuu ya Tanzania akiomba kuunganishwa kwenye shauri namba 8323/2025 lililofunguliwa na SAID ISSA MOHAMED na wenzake...
7 Reactions
11 Replies
607 Views
Kiongozi wa Taasisi ya Asaalam Islamic Foundation Sheikh Muharram Mziwanda ameeleza kushangazwa na Kauli ya Baraza la Maaskofu wa Kanisa Katoliki Tanzania (TEC) kuwa kilichofanyika Oktoba 29, 2025...
0 Reactions
45 Replies
949 Views
Kuna huyu jamaa Kumbusho Dawson ametoa sababu za Dotto Biteko kutupwa nje ya baraza la mawaziri ambalo pia ni haramu tu! Dotto Mashaka Biteko ameachwa nje ya Baraza Jipya la Mawaziri. Dotto...
0 Reactions
4 Replies
405 Views
Baada ya kutupwa nje katika baraza jipya la mawaziri Hussein Bashe kupitia ukurasa wake wa Instagram anasema: Natumia nafasi hii kumshukuru Allah kwa kila jambo na kwa baraka zake katika safari...
0 Reactions
6 Replies
298 Views
Yule jamaa aliyetumia nguvu kubwa kuupata ubunge mbona simuoni?
0 Reactions
4 Replies
203 Views
Back
Top Bottom