Taarifa Kwa Umma na Vyombo vya Habari.
- Maridhiano hayawezi kuongozwa na watu ambao hawafahamu na/au wamegoma kutambua kiini cha machafuko yanayoendelea Tanganyika, nchini Tanzania.
-...
Kamanda habari ikufike 9Dec ni maandamano ya amani hata wewe unakaribishwa sana na si vurugu kama ulivyotooha wewe!
===============
Kamanda wa Polisi mkoa wa Njombe ACP. Mahamoud Hassan Banga...
Kwani ni sawa wizara moja kuwa na Naibu Nawaziri wawili?
Huyu mama mbona anaanzisha ambavyo havikuwepo kabisa?
Na yote hii ni namna ya kutafuta kupiga pesa tu.
Inawezekanaje Wizara moja kuwa...
Mababa Askofu.
Nakuandikieni barua hii kuwaombeni kuwa msihadaike, msishawishike na wala msiingie msukumo wa kujibishana na masheikh wanaotoa matamko ya kuwashambulia. Hao masheikh wengi...
Mbunge wa Jimbo la Ubungo, Prof. Kitila Mkumbo amekula kiapo rasmi Bungeni leo Novemba 18, 2025, baada ya kuteuliwa jana kuwa Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Mipango na Uwekezaji kwa kipindi cha...
Tume ya Haki Jinai iliyoongozwa na Jaji Othman Chande iliyozunguka nchi nzima mwaka 2023 ilimaliza kila kitu.
Ilishauri mambo mazuri sana ambayo kama yangefanyiwa kazi, utekaji, wasiojulikana...
Kwa maneno mengine hapa Rais Samia ni kwamba anasema hizo taasisi za nje zitapiga kelele tu kuhusu mauaji yaliyotokea ndani na wahusika kuwajibishwa na uchaguzi wenye matobo mengi ambao umempa...
Kiongozi wa Taasisi ya Asaalam Islamic Foundation Sheikh Muharram Mziwanda ameeleza kuwa waraka uliotolewa na Baraza la maskofu nchini TEC unatia hasira, amesema haki ili ipatikane lazima ufuate...
Godbless Lema aliwahi kusema kuna siku mtavililia vyama vya upinzani viwasemee hamtavipata.
Godbless Lema: Kuna siku mtavililia vyama vya Upinzani viwasemee hamtavipata
Gen Z hawana ofisi viongozi...
Rais wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan amemteua Joel Nanauka kuwa kuwa Waziri wa Vijana na hatokuwa na Naibu Waziri kwa sasa kwakuwa Wizara ipo chini ya Ofisi ya Rais na watakuwepo wa kumsaidia.
Rais wa Umoja wa Wanazuoni Tanzania (Hay-Atul Ulamaa), Sheikh Abdallah Ndauga, ametoa wito mahsusi kwa vijana kote nchini kujitokeza kudai haki zao kwa njia ya ustaarabu, lakini bila kusahau...
Kwa ukatili kama huu na mauaji ambayo mmefanya kwa Watanzania leo mnasema mtaongoza?
Mnataka kumuongoza Nani? Mnazungumza eti maendeleo ya nini? Kwaajili ya nani kama mmeua watanzania na kuwatesa...
KatIba ya mwaka 1977 ina-mapungufu mengi sana moja wapo ni kutokusema exactly numbe ya mawaziri na manaibu wao hii inampa Rais madaraka makubwa sana
Mfano kuna one time tulishakuwa na mawaziri na...
Kwa muda mrefu sana, Bara la Afrika limegeuzwa uwanja wa majaribio ya diplomasia ya malaika wanaojifanya wanakuja kuleta amani, lakini nyuma ya pazia wanashughulikia maslahi yao wenyewe.
Na sasa...
"Tunatoa wito kwa serikali na taasisi za ulinzi na usalama
kutumia utaalamu busara na weledi katika kudhibiti misuguano kuepuka matumizi ya nguvu kupita kiasi, kushughulikia sababu badala ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.