Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Taarifa Kwa Umma na Vyombo vya Habari. - Maridhiano hayawezi kuongozwa na watu ambao hawafahamu na/au wamegoma kutambua kiini cha machafuko yanayoendelea Tanganyika, nchini Tanzania. -...
17 Reactions
60 Replies
1K Views
Sakata la wabunge wa viti maalumu, ACT Wazalendo yatinga mahakamani.
1 Reactions
9 Replies
361 Views
Kamanda habari ikufike 9Dec ni maandamano ya amani hata wewe unakaribishwa sana na si vurugu kama ulivyotooha wewe! =============== Kamanda wa Polisi mkoa wa Njombe ACP. Mahamoud Hassan Banga...
0 Reactions
5 Replies
131 Views
Kwani ni sawa wizara moja kuwa na Naibu Nawaziri wawili? Huyu mama mbona anaanzisha ambavyo havikuwepo kabisa? Na yote hii ni namna ya kutafuta kupiga pesa tu. Inawezekanaje Wizara moja kuwa...
3 Reactions
36 Replies
1K Views
Aliyeshawishi wajumbe kumpitisha Samia kuwa mgombea pekee CCM, Ng'wasi Damas Kimani ateuliwa kuwa Naibu Waziri wa Wizara ya Mifugo na Uvuvi.
1 Reactions
12 Replies
507 Views
Mababa Askofu. Nakuandikieni barua hii kuwaombeni kuwa msihadaike, msishawishike na wala msiingie msukumo wa kujibishana na masheikh wanaotoa matamko ya kuwashambulia. Hao masheikh wengi...
9 Reactions
14 Replies
402 Views
Mbunge wa Jimbo la Ubungo, Prof. Kitila Mkumbo amekula kiapo rasmi Bungeni leo Novemba 18, 2025, baada ya kuteuliwa jana kuwa Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Mipango na Uwekezaji kwa kipindi cha...
0 Reactions
1 Replies
111 Views
Tume ya Haki Jinai iliyoongozwa na Jaji Othman Chande iliyozunguka nchi nzima mwaka 2023 ilimaliza kila kitu. Ilishauri mambo mazuri sana ambayo kama yangefanyiwa kazi, utekaji, wasiojulikana...
2 Reactions
0 Replies
184 Views
Kwa maneno mengine hapa Rais Samia ni kwamba anasema hizo taasisi za nje zitapiga kelele tu kuhusu mauaji yaliyotokea ndani na wahusika kuwajibishwa na uchaguzi wenye matobo mengi ambao umempa...
2 Reactions
13 Replies
559 Views
Kiongozi wa Taasisi ya Asaalam Islamic Foundation Sheikh Muharram Mziwanda ameeleza kuwa waraka uliotolewa na Baraza la maskofu nchini TEC unatia hasira, amesema haki ili ipatikane lazima ufuate...
1 Reactions
21 Replies
536 Views
Godbless Lema aliwahi kusema kuna siku mtavililia vyama vya upinzani viwasemee hamtavipata. Godbless Lema: Kuna siku mtavililia vyama vya Upinzani viwasemee hamtavipata Gen Z hawana ofisi viongozi...
7 Reactions
12 Replies
417 Views
Rais wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan amemteua Joel Nanauka kuwa kuwa Waziri wa Vijana na hatokuwa na Naibu Waziri kwa sasa kwakuwa Wizara ipo chini ya Ofisi ya Rais na watakuwepo wa kumsaidia.
0 Reactions
1 Replies
231 Views
Rais wa Umoja wa Wanazuoni Tanzania (Hay-Atul Ulamaa), Sheikh Abdallah Ndauga, ametoa wito mahsusi kwa vijana kote nchini kujitokeza kudai haki zao kwa njia ya ustaarabu, lakini bila kusahau...
0 Reactions
6 Replies
185 Views
Kwa ukatili kama huu na mauaji ambayo mmefanya kwa Watanzania leo mnasema mtaongoza? Mnataka kumuongoza Nani? Mnazungumza eti maendeleo ya nini? Kwaajili ya nani kama mmeua watanzania na kuwatesa...
1 Reactions
7 Replies
279 Views
KatIba ya mwaka 1977 ina-mapungufu mengi sana moja wapo ni kutokusema exactly numbe ya mawaziri na manaibu wao hii inampa Rais madaraka makubwa sana Mfano kuna one time tulishakuwa na mawaziri na...
0 Reactions
25 Replies
550 Views
Kwa muda mrefu sana, Bara la Afrika limegeuzwa uwanja wa majaribio ya diplomasia ya malaika wanaojifanya wanakuja kuleta amani, lakini nyuma ya pazia wanashughulikia maslahi yao wenyewe. Na sasa...
4 Reactions
7 Replies
201 Views
"Tunatoa wito kwa serikali na taasisi za ulinzi na usalama kutumia utaalamu busara na weledi katika kudhibiti misuguano kuepuka matumizi ya nguvu kupita kiasi, kushughulikia sababu badala ya...
0 Reactions
1 Replies
138 Views
Mhe. Balozi Mahmoud Thabit Kombo akila kiapo kuwa Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki.
0 Reactions
1 Replies
238 Views
Back
Top Bottom