Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe
Threads
7.6K
Posts
193.6K
Threads
7.6K
Posts
193.6K

JF Prefixes:

SALAAM ZETU SISI MALOFA NA WAPUMBAVU KWENU NYINYI WEREVU NA MATAJIRI.. Husika na kichwa cha habari hapo juu..natumai mu wazima, sisi kama mlivyotuacha msimu uliopita hali zetu bado tia maji tia...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Wadau hebu tufunguke na tuwe wakweli! Nina uhakika wasanii wate nchi nzima waliokusanywa chama kimoja wakiamua Leo kuachana na kukitumikia chama hicho basi chama kinaweza kupoteza mwelekeo kabla...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Kuna kila kiashiria kwamba CCM imeona haitaweza kushinda uchaguzi wa mwaka huu kwani upinzani ni mkubwa sana. Wameshatumia mbinu zote za kuwanunua viongozi wa UKAWA na zimeonekana kubuma na badala...
3 Reactions
16 Replies
2K Views
Chama cha mapinduzi(CCM) ni chama chenye mipango makini sana kuhakikisha ushindi unapatikana, katika kuimarisha mapambano makundi mengine zaidi yataingia kazini kusaka kura, mpaka itakapofika...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Aliyekuwa mwanasheria mkuu wa Zanzibar,Othman Masoud amechaguliwa na UNDP United Nation kuwa msimamizi wa Haki za Binadamu Afrika nzima.
3 Reactions
17 Replies
5K Views
Bibi Judith Sargentini, Mbunge wa Bunge la Ulaya . Kazi ya waangalizi wa muda mrefu itairuhusu EU EOM kufanya tathmini ya kina ya mchakato wa uchaguzi. Waangalizi wa Uchaguzi Mkuu unaotarajiwa...
0 Reactions
31 Replies
4K Views
Ni muda mrefu sana tangu vuguvugu la uchaguzi lishike kasi, watu wamekua wakichangia, wakitoa maoni yao na kueleza hisia zao! Nimekua mfuatiliaji tu wa yanayoendelea kwa muda wote huo, ila leo...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Mgombea kupitia ccm dr magufuli atakuwa katika viunga vya shinyanga kumwaga nondo huku akiambatana na wanaharakati mbalimbali wa chama ambao watakwa na kazi moja kushusha sindano moja kwa...
1 Reactions
15 Replies
3K Views
Nafikiri mnaona matangazo yanayorushwa na STAR TV juu ya mgombea wa CHADEMA/UKAWA.hawarushi kabisa habari za upinzani katika vyombo vyao.kila mtu anaona.hawako fair kabisa,tena wanazidiwa na TBC...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Wasalaam wakuu! Nikikumbuka wakati lilipoanza vuguvugu za maandalizi ya kuingia kwenye Uchaguzi mkuu Mwaka huu taasisi nyingi zilifanya utafiti wa kura za maoni na kuanika matokeo kwenye media...
3 Reactions
11 Replies
3K Views
katika hali ya kusikitisha umoja wa vyama vinavyoongozwa na fisadi papa na msaidizi wake waliotoka CCM imekuwa tete katika baadhi ya majimbo hapa nchini na huenda wakapoteza kabisa baadhi ya hayo...
0 Reactions
19 Replies
2K Views
Nawashauri wenzangu wa CCM wasije wakahudhuria mdahalo huu watakuja kupata AIBU ya mwaka. Wataulizwa maswali kuhusu SERA zao kuhusu Afya, Elimu, Maji, Utawala bora, rushwa na watashindwa kujibu...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Hili jambo kila siku linazungumziwa hila hatujui kwamba viongozi wapo siriusi kiasi gani katika hili sote tunajua kwamba CCM wamejimilikisha viwanja vya michezo vya umma sasa basi umoja wa katiba...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Mgombea urais kwa tikiti ya TLP Bwn.Maxmilian Lyimo amempa ushindi Lowasa.Mgombea huyo amesema kama uchaguzi ungefanyika September basi Lowasa angeibuka kidedea.Lyimo amepinga tafiti za kijanja...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Wakuu! Kutokana Na Watanzania Kutaka Mabadiliko Na Chama Tawala Kupitia Kwa Ndg Abdala Buhembo Kuapa Kuwa Ccm Haitaachia Madaraka, Habari Nyeti Ni Kuwa, Watanzania Kutoka Mikoa Yote Watampeleka...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Mtafaruk mpya umezuka pale ambapo unapona wabunge wanagoma kutembea na lowasa wakidai ya kuwa walishamchafua sana na kumuita kila jina ambalo hata mengine dunian hayapo wamesema wakimnadi upya...
3 Reactions
29 Replies
4K Views
Wana jamvi, naomba wanasheria na wataalam wa utawala watusaidie hapa. Mpaka sasa JP Magufuli bado ni Waziri kamili wa Barabara zetu. Nina maana Cabinet bado ipo na ndiyo maana naona mawaziri...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Zikiwa zimebaki siku 30 kabla ya uchaguzi mkuu wa rais, wabunge na Madiwni unaotarajiwa kufanyika oktoba 25 mwaka huu, Mgombea anayegombea kupitia umoja wa Katiba ya Wananchi, Edward Lowassa...
0 Reactions
55 Replies
6K Views
  • Closed
Niko njiani kwenda Arusha kuhudhuria Semina za kiwakili na Mkutano wa nusu mwaka wa Mawakili utakaofanyika tarehe 26 mwezi huu. Nitakuwa Arusha hadi Jumapili ijayo. Uwepo wangu Arusha utanipa...
3 Reactions
55 Replies
9K Views
Ama kwa hakika CCM mmekosea sana kwa ujumbe huu ambao umekuwa ukiendelea kwenye vituo mbalimbali vya TV na REDIO, mfano ni pale ninapoona katika Video za ujumbe huu askari wakipiga mateke vyombo...
0 Reactions
4 Replies
893 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…