Rutunga M
JF-Expert Member
- Mar 16, 2009
- 1,769
- 1,382
Nafikiri mnaona matangazo yanayorushwa na STAR TV juu ya mgombea wa CHADEMA/UKAWA.hawarushi kabisa habari za upinzani katika vyombo vyao.kila mtu anaona.hawako fair kabisa,tena wanazidiwa na TBC
Pia tazama mijadala yao ya kila siku asubuhi wanawaita wanaopenda kuponda lowasssa.
hivyo kama waandaaji wa midahalo wanarusha matangazo yao kupitia STAR TV basi naomba UKAWA wasishiriki kabisa.
Pia tazama mijadala yao ya kila siku asubuhi wanawaita wanaopenda kuponda lowasssa.
hivyo kama waandaaji wa midahalo wanarusha matangazo yao kupitia STAR TV basi naomba UKAWA wasishiriki kabisa.