Nawashauri wenzangu wa CCM wasije wakahudhuria mdahalo huu watakuja kupata AIBU ya mwaka. Wataulizwa maswali kuhusu SERA zao kuhusu Afya, Elimu, Maji, Utawala bora, rushwa na watashindwa kujibu kila kitakachoulizwa.
Mfano wataulizwa katika Sekta Afya sera yenu inasemaje?. Watajibu tutajenga zahanati kila kijiji, Kituo cha Afya kila kata, Hospitali ya kila Wilaya. Wataulizwa tena katika miaka 54 mlikuwa wapi?. KIMYA. Swali la pili, katika sera yenu kuhusu viwanda mnasemaje?.
Watajibu kuwa Tanzania itakuwa nchi ya viwanda. Wataulizwa tena, mbona mliviua? KIMYA. Swali la tatu wataulizwa kuwa Wizi wa fedha za umma mtachukua hatua gani?. Watajibu tutawashughulikia ipasavyo wezi wa mali ya umma. Watulizwa tena mbona hamjachukua hatua kwa wale waliokwapua fedha za escrow? KIMYA.
Juzi juzi kulikuwa na mdahalo kati ya vyama kwa kweli CCM ilipata aibu ya mwaka. Walimleta Ndugu moja Anayeitwa Cheyo ambaye aliwaletea aibu ya mwaka.
Mdahalo huo ulitawaliwa na majibu mazuri kutoka kwa Dr. Kessy kutoka Ukawa, Mwigamba kutoka ACT na mwingine wa UDP. Nawahakikishia kuwa katika mdahalo huu CCM mtapata aibu ya mwaka. Mjishauri sana kuhusu mdahalo huu.
Mfano wataulizwa katika Sekta Afya sera yenu inasemaje?. Watajibu tutajenga zahanati kila kijiji, Kituo cha Afya kila kata, Hospitali ya kila Wilaya. Wataulizwa tena katika miaka 54 mlikuwa wapi?. KIMYA. Swali la pili, katika sera yenu kuhusu viwanda mnasemaje?.
Watajibu kuwa Tanzania itakuwa nchi ya viwanda. Wataulizwa tena, mbona mliviua? KIMYA. Swali la tatu wataulizwa kuwa Wizi wa fedha za umma mtachukua hatua gani?. Watajibu tutawashughulikia ipasavyo wezi wa mali ya umma. Watulizwa tena mbona hamjachukua hatua kwa wale waliokwapua fedha za escrow? KIMYA.
Juzi juzi kulikuwa na mdahalo kati ya vyama kwa kweli CCM ilipata aibu ya mwaka. Walimleta Ndugu moja Anayeitwa Cheyo ambaye aliwaletea aibu ya mwaka.
Mdahalo huo ulitawaliwa na majibu mazuri kutoka kwa Dr. Kessy kutoka Ukawa, Mwigamba kutoka ACT na mwingine wa UDP. Nawahakikishia kuwa katika mdahalo huu CCM mtapata aibu ya mwaka. Mjishauri sana kuhusu mdahalo huu.