Za leo wandugu, naomba tuwekewe matokeo ya hizo kura za urais tunazoambiwa ziko tofauti na kura zilizosomwa na tume, haitabadilisha kitu lakini itatuonyesha ni wapi penye utata.
Jamani hivi Jaji Mkuu si Mwanasheria? Au Mwanasheria Mkuu hawezi kuwa Jaji Mkuu.
Nini masomo ya Jaji na masomo ya Mwanasheria? Na nani ni mkubwa kati ya hawa wawili?
Welcome In Jesus Name.
Wakati tume ya uchaguzi ikiendelea kutangaza matokeo ya urais kupitia mgombea wenu mlisema kura zinazotangazwa na tume siyo sahihi, kuna uchakachuaji hivyo hamtakubaliana na kinachofanywa na tume...
Kwa jinsi hali ya foleni za barabarani ilivyo hapa jijini dsm namshauri Mh.Rais baadhi ya wizara azihamishie mikoani hii itapunguza mbanano jijini hapa.
Habari wanabodi,
Baada ya kazi kubwa ya takribani miaka 5, 4u mvt kugeuzwa kuwa taasi ya uchumi na maendeleo ya vijana Tanzania.
Hii ni kutokana na kushindwa vibaya kwa Mh Edward Lowasa...
Baada ya chama cha upinzani CUF kushinda uchaguzi Zanzibar ingawa wanajaribu kuchelewesha kutangaza na kumuapisha Rais, Zanzibar ndio itakuwa kifuta ujinga huku bara baada ya Maalim Seif kuapishwa...
Hakutakuwa na shamrashamra zozote mitaani.
Watu watakwenda makazini na kwenye shughuli zao za kiuchumi kesho yake kama kawaida.
Watu hawatajifungia siku 3 majumbani wakisubiri kwa hofu...
Kwanza kabisa nakupongeza na kukuombea sana Ngosha, JPM,Amiri Jeshi Mkuu wa majeshi ya Tanzania- John Joseph Magufuli.
Ile kasi aliyokujalia Mungu wako (maana kweli unamtegemea sana.)
Watanzania...
CHADEMA mmpatwa na nini? Mgombea wa urais mmetoa kapi CCM baada ya kukosa mgombea huko kwenu vile vile kwa mgombea mwenza mkamuazima kutoka kwa wazee wa ngangari ingawa mlikuwa mnawahujumu katika...
Rais Jakaya Kikwete ni kweli kastaafu ila amefanya mengi ambayo watanzania hatuna budi kusema asante Rais.
Wapo wengi wanaomponda na kusema hakuna alilolifanya ila ni bora tungemsema hivo na...
Wanabodi,
Natafakari kidogo hali ya Zanzibar!. Kujitangazia matokeo ni kosa la jinai!, kama ni kweli Maalim Seif, amejitangazia ushindi, kwa nini mpaka sasa hajashitakiwa?
Na kilichofanywa na...
Wakuu salam,
Mwenye ilani ya Chama Cha Mapinduzi CCM ya 2015-2020 naomba aiweke hapa katika mfumo wa PDF maana nimetafuta kwenye website yao sijaiona.
Asanteni
=====
PDF: Ilani ya chama cha...
Katika hali isiyotarajiwa na wengi, Katibu wa UVCCM wilaya ya Mbulu mkoani Manyara, Bi. Anna Gideria ameteuliwa na Chadema kuwa mbunge wa viti maalum.
Bi. Gideria amejiuzulu nafasi ya ukatibu...
Kwanza, nampongeza mtani wangu Mh. Majaliwa Kassim Majaliwa kwa kuidhinishwa na Bunge la JMT kuwa Waziri Mkuu wa Tanzania. Mh. Rais Magufuli ana imani naye katika kutenda kazi zake na anamhitaji...
Kwa picha hii ya bungeni Dodoma ni wazi kwamba bora tu hao jamaa wachukue urais kwanza ili UKAWA ujipange kuweka uwiano wa wabunge pale bungeni. Kama sheria zote pamoja na sheria mama na...
Wasalaam,
Ndugu wana jamvi kwa maoni yangu.
Imefikia wakati wabunge wa ukawa wapiganie muungano wa vyama utambulike kisheria na kupatikana kwa tume huru na matokeo ya uraisi yaweze kuhojiwa...
MIONGO nane na ushee iliyopita alikuwepo Wendell Willkie. Huyu alikuwa mwanasiasa maarufu halafu mzito mno nchini Marekani. Kutokana na umaarufu wake, Willkie alikuwa na kiburi, mwenye kujiamini...
tarehe 22/11 ndo uchaguzi wa mbunge wetu. nawaomba vijana tuwe makini na walaghai wa tsht na buku mbili, hv 2000 itakufikisha wap? mi ni hayo 2, pia embu hv vikao visivyorasmi viishe, leo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.