Pascal Mayalla
Platinum Member
- Sep 22, 2008
- 50,498
- 113,599
Wanabodi,
Natafakari kidogo hali ya Zanzibar!. Kujitangazia matokeo ni kosa la jinai!, kama ni kweli Maalim Seif, amejitangazia ushindi, kwa nini mpaka sasa hajashitakiwa?
Na kilichofanywa na M/Kiti wa ZEK kuufuta uchaguzi ni kinyume cha sheria! amepata wapi mamlaka hayo na kwa kutumia kifungu kipi? Zanzibar si kuna wanasheria, mbona Jecha hajashitakiwa?
Pasco
Natafakari kidogo hali ya Zanzibar!. Kujitangazia matokeo ni kosa la jinai!, kama ni kweli Maalim Seif, amejitangazia ushindi, kwa nini mpaka sasa hajashitakiwa?
Na kilichofanywa na M/Kiti wa ZEK kuufuta uchaguzi ni kinyume cha sheria! amepata wapi mamlaka hayo na kwa kutumia kifungu kipi? Zanzibar si kuna wanasheria, mbona Jecha hajashitakiwa?
Pasco