Heshima kwenu wakuu,
Nimesikitika kusikia Mwenge umeanza kutumiwa katika kubomoa upinzani Tanzania, Je ndo malengo ya huu Mwenge?
Sisi zamani tulikaririshwa wimbo wa Mwenge ukakaa vichwani mwetu...
Habari wana jamvi, nimejaribu kutafakari sana juu ya dhamira ya mkuu wa kaya, kwa miaka miwili aliyo kaa, mpaka sasa sijajua dira yake, dhamira yake ni kuipeleka nchi wapi?
Sent using Jamii...
MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu imekataa vielelezo vya ushahidi vya msokoto wa bangi katika kesi ya matumizi madawa ya kulevya inayomkabili muugizaji wa filamu nchini, anaandika Faki Sosi.
Hakimu...
Kuna taarifa humu mitandaoni kwamba gavana wa jimbo amesitisha/ zuia zoezi la kuvurumisha down njengwa ambazo watu wa surroundings walitoa amri na order zipigwe chini.
Kwa upande mwingine watu wa...
MIONGONI MWA MAPENDEKEZO YA OFISI YA MSAJILI WA VYAMA VYA SIASA KWA SHERIA MPYA.
-Polisi nao wafanyika moja ya sehemu ya uendeshaji wa vyama vya siasa.
Mabadiliko yanayopendekezwa. Miongoni mwayo...
Meya wa Jiji la Tanga, Mustafa Selebosi amewasimamisha madiwani watano wa Chama cha Wananchi (CUF), kuhudhuria vikao vitatu vya Baraza la Madiwani na posho ya siku nne, kwa kosa la kwenda kukojoa...
Historia imetusogeza katika ukingo wa haki. Mahali ambapo tunapaswa kutoa haki kwa wenye haki, na kupokea haki tunayostahili.
Ikiwa nguvu itahitajika ni sawa, maana historia itakuwa imetusogeza...
Katika miaka ya 1980 ya chama kimoja licha ya changamoto zilizokuwepo, nchi hii ikiongozwa na CCM bado kulikuwa na walau asilimia fulani ya mshikamano wa watanzania. Mwl Nyerere katika eneo hili...
Baada ya serikali kuanza mkakati wa kulifufua shirika letu LA ndege kwa kununua NDEGE mpya,kuweka management mpya na pia kufungua root mpya za usafiri ndani ya nchi, nadhani juhudi hizi hazitozaa...
Nimekuwa nikifuatilia mijadala ktk mitandao ya kijamii kuhusu kauli ya Mwenyekiti wa CCM Rais Dk John P.Magufuli aliyoitoa ktk kongamano la vijana wa CCM wa VYUO Vikuu Kigamboni Dsm.
Kwa mtazamo...
Moshi. Mwenyekiti mwenza wa Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), James Mbatia amehoji uhalali wa Chadema kutaka kuwaadhibu madiwani wake sita waliompigia kura mgombea wa NCCR-Mageuzi.
Mbatia...
Vijana twende shule ujanja ujanja hatutafika. Digrii ya kuchovya inamdhalilisha mzee wa watu.
Dar es Salaam. Mbunge wa zamani wa Ukonga na Segerea, Dk Makongoro Mahanga amekamatwa na Polisi Mkoa...
Habari wanabody.
Nimatumaini yangu miongoni mwa watakao soma posti ni pamoja na wale kama hajawaguswa na bomoa bomoa basi wamewaona wahanga nakuhisi maumivu jinsi walivoathiriwa kisaikolojia...
Rais wa Tanzania ,mzalendo namba moja kawasha moto uko ccm , Na kusema kuna Mali za watu wa nje zimesajiriwa kama za ccm ili zisaidiwe kulipa kodi, kumbe si za ccm, Na kasema repot nzima anayo...
HAZIVUNJWI NYUMBA, LINAVUNJWA TAIFA, KUIDHARAU BIBLIA/MSAHAFU NI KUWADHARAU WAAMINIO
Anayanena *Mahinyila Deogratias akitokea Berege.*
Hakuna aliye juu ya sheria, Hakuna mwenye mamlaka juu ya...
Ulinzi umeimarishwa katika ofisi za makao makuu ya Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru) zilizoko Upanga, jijini Dar es Salaam huku ikielezwa kuwa Rais John Pombe Magufuli...
Madudu hayo yalibainishwa jana na Kamati ya Hesabu za Serikali (PAC), wakati ikihoji Idara hiyo, kuhusu hoja za ukaguzi katika Ripoti ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) kwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.