Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Wakuu, Hivi karibuni nimeona watu wanalalamika kwamba tovuti ya Bunge inafuta CV za wabunge makusudi ili tusijue level zao za elimu. Sasa kabla hawajafuta, ni vyema tujue nani ni nani. Mule...
35 Reactions
202 Replies
11K Views
Hii ni saa 7 Mchana leo hii na hapa ni kata ya Ruaha. Umati wa Wananchi wahudhuria Mkutano wa No Reforms No Election, Shughuli zasimama kwa muda.
18 Reactions
33 Replies
2K Views
Katika siasa, kaulimbiu na propaganda ndizo karata zinazounogesha mchezo wa uchaguzi. Kila mshindani wako anapochanga karata zake, timu yako lazime ichange karata zako. Hiki ndicho kilichotokea...
3 Reactions
49 Replies
2K Views
Nikiwa kama 'political strategist' nimetafakari na kuchambua hali ya siasa za upinzani hususani CHADEMA kuelekea uchaguzi Mkuu na nimeona yafuatayo: Kwanza ,nimeona kuwa upinzani wote watashiriki...
11 Reactions
85 Replies
5K Views
My Take Linapokuja Suala la delivery,Samia ni next level,tunae Rais anaeleta matokeo.JK Yuko sahihi Pia soma Pre GE2025 - Rais Samia na Miaka 4 ya Uongozi wenye Neema, Watanzania Waogelea...
14 Reactions
408 Replies
13K Views
Bila kujali wengi wanavyotamani Uchaguzi ujao wa mwaka 2030 zaidi ya 50% ya wapigakura wote watakuwa ni vijana. Chama kitakachotaka kushinda Uchaguzi huo kisayansi lazima kije na mgombea mwenye...
33 Reactions
613 Replies
24K Views
Sasa kama CHADEMA hawashiriki uchaguzi hata wizi wa Kura haunogi na hao Vikaragosi pandikizi mapacha
1 Reactions
11 Replies
674 Views
TAARIFA KWA UMMA Jana Septemba 6,2024 zilisambaa taarifa kwenye mitandao ya kijamii ikieleza kuwa jioni maeneo ya Tegeta Jijini Dar es Salaam, mtu mmoja aliyefahamika kwa jina la Ally Mohamed...
7 Reactions
87 Replies
8K Views
Wanabodi Hili sio bandiko la kila mtu, ni bandiko la wale tuu wenye jicho la 3 na sikio la tatu. Leo Rais Samia, akiwahutubia maofisa ugani, Ikulu ya Chamwino, kuna kitu Rais Samia amekisema...
32 Reactions
214 Replies
15K Views
Leo mama Samia na Rais wa JMT ametimiza miaka 4 tangu alipoapa kuiongoza Nchi ya 🇹🇿 19-03-2021 akiweka historia kama Rais wa kwanza Mwanamke. Katikati ya mashaka yaliyokuwepo Sasa yamegeuka kuwa...
4 Reactions
594 Replies
12K Views
Kuna sintofahamu nyingi kati ya CHADEMA na Msajili wa vyama vya siasa ambayo inaonnyrdha kuwa nafasi ya kutumia busara haipo tena. Ni wazi kwa mujibu wa Sheria ya Vyama vya Siasa ya mwaka 1992...
6 Reactions
100 Replies
5K Views
Mbunge wa Viti Maalum Mkoa wa Tabora, Munde Tambwe, ameipongeza Serikali ya awamu ya Sita kwa kusikiliza na kutekeleza maoni ya wananchi kuhusu reforms za uchaguzi kuelekea Uchaguzi Mkuu wa Oktoba...
0 Reactions
5 Replies
643 Views
My Take Mojawapo ya sekta ambazo Serikali ya Samia imetoa msukimo mkubwa ni Kilimo.Soma Pre GE2025 - Rais Samia atimiza ahadi, amwaga Magari 20 ya kuchimbia Visima bure kwa Wakulima wadogo Hata...
2 Reactions
66 Replies
2K Views
Hellow! Kanuni ya wizi Iko hivi, Ili uibe, lazima wa kuibiwa awepo, na kitu Cha kuibwa kiwepo pia(subject matter). Ni kweli, mwizi akikosa Cha kuiba, anaweza kuvua shati lake, akaliacha pale...
2 Reactions
20 Replies
1K Views
Hayo yameelezwa na KM wa CCM Dkt.John Nchimbi wakati wa ziara yake ya Mikoa 6 akiwa Njombe. DK Nchimbi ameonekana kushangazwa na kufurahishwa na Wingi wa miradi na maendeleo yaliyofanyika na...
19 Reactions
2K Replies
63K Views
Wananchi wa Tanzania kutoka Mikoa yote ya Tanganyika wamelipuka kwa shangwe baada ya Tangazo halali la Mkurugenzi wa kinachoitwa Tume Huru ya Uchaguzi, Mtukufu Kailima kutangaza kwamba Chadema...
82 Reactions
234 Replies
9K Views
Huyu tapeli ana rekodi mbaya kwenye utapeli wa ardhi na madawa ya kulevya. Nawasihi BASATA au Tume ya uchaguzi (NEC) msimruhusu kamwe ajihusishe na uchaguzi mkuu wa 2025. -- TAMASHA la kuombea...
0 Reactions
30 Replies
2K Views
Wanabodi, Hii ni makala yangu kwenye Gazeti la Nipashe la Leo. Kiukweli kabisa, upinzani Tanzania una hali mbaya sana, uko dholfu bin taaban kwa kukosa watu wa mikakati, hivyo kuendelea kufanya...
15 Reactions
128 Replies
4K Views
Hiki ni kituko! Ukisikia mbwa kala mbwa ndio hii sasa🤣🤣 mambo yamekuwa moto taratibu tutaelewana. Sasa wanamsaka nani wakati page yao ndio imesambaza taarifa hizo za...
15 Reactions
105 Replies
11K Views
Katibu Mwenezi, itikadi na mafunzo wa Chama cha Mapinduzi CCM Amos Makalla akiongea na waandishi wa habari leo jijini Dar es salaam amejibu kuhusu ukimya wa Makamu Mwenyekiti wa CCM Bara, Stephen...
3 Reactions
61 Replies
4K Views
Back
Top Bottom