Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

  • Redirect
Tumsikilize hapa akijaribu kujipapatua Video Courtesy: Jambo TV
0 Reactions
Replies
Views
Ingia hapa uuone mkataba wa kuuza nchi https://t.co/V363iF9GHT
7 Reactions
19 Replies
496 Views
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi amesema Serikali imejizatiti kuhakikisha Sekta ya Uchukuzi inaimarika ili kuliweka Taifa kwenye nafasi nzuri ya...
1 Reactions
4 Replies
336 Views
Zaidi ya nyumba 3,000 katika kambi ya Wakimbizi ya Nyarugusu mkoani zimevunjwa, zikiacha mamia ya familia za Wakimbizi wa Burundi bila makazi. Wakimbizi wanalaumu operesheni hii, inayotajwa kuwa...
2 Reactions
14 Replies
805 Views
Kumekuwepo na machafuko na matatizo mengi sana hapa Afrika lakini nchi nyingi na hata vyombo vya habari vya kimataifa havitupi attention tunayostahili kwa scale ya matatizo tuliyonayo. Lakini...
2 Reactions
4 Replies
176 Views
Nimemsikia Rais Samia Suluhu akiwahutubia mabalozi wanaowakilisha nchi zao hapa nchini. Hotuba yake imepiga hatua moja mbele. Rais Samia “ameishavua nguo lakini anaogopa kuoga maji”. Ama maji...
25 Reactions
27 Replies
1K Views
Kuna watu wanajidanganya CCM kwamba chao chao na Tanzania ifuate mfumo wa Kichina badala ya mfumo wa kidemokrasia. Ukweli ni kwamba mfumo inabidi uendane na jamii. Sasa tujiulize kama haya...
2 Reactions
4 Replies
230 Views
Siku aliyokuwa anaongea na Taifa Stars baada ya kutolewa AFCON, nilimsikia anasema siku Ile ya mechi alikuwa amefunga kwa hiyo aliangalia mpira akiwa MEZANI anafuturu, nikajiuliza real RAIS Samia...
24 Reactions
70 Replies
2K Views
https://www.youtube.com/watch?v=-ZZrAoiAmqc Uchunguzi wa DW umebaini ushahidi wa kuaminika unaoonyesha kuwa vikosi vya usalama vilitumia nguvu za kikatili dhidi ya raia wakati wa vurugu...
26 Reactions
120 Replies
4K Views
Sifa kubwa ya Samia ni ugomvi na watu wenye akili, Samia anasifika kwa kuwa na chuki na watu wenye akili na elimu. Naona anajipanga kupambana kujiokoa.
0 Reactions
0 Replies
47 Views
Mitando ndio inatoa taswira ya hali halisi. Kwa mantiki hii ni kuwa bado rais Samia hakubaliki kama ilivyokuwa mtangulizi wake. Nimeona jana kuna mmoja yupo Kibaha. Anaponda watu kupinga...
6 Reactions
28 Replies
637 Views
NCHI INAPOCHAFUKA AMANI INATAKIWA KUTANGULIA NDIPO IFUATE HAKI. Anaandika, Robert Heriel Mtibeli 1. Nimeulizwa swali; Mtibeli sijasikia ukitoa maoni yako kuhusu kati ya Haki na Amani kipi...
3 Reactions
69 Replies
1K Views
Kiongozi wa chama cha ACT Wazalendo, Dorothy Semu, ameweka msimamo mzito kuhusu mchakato wa maridhiano nchini, akisisitiza kuwa chama hicho hakitashiriki katika mazungumzo yoyote ya "ulaghai"...
6 Reactions
39 Replies
1K Views
Tunaelekea mwezi wa 3 sasa. Mambo ya nchi mengi yanafanyikia huko Zenji Ikulu ndogo🤔
15 Reactions
85 Replies
2K Views
Mwaka huu Jeshi la Ethiopia limeanzisha kiwanda cha kutengeneza ndege vita zisizotumia rubani kwa shughuli za ulinzi wa ndani na biashara. Picha hizi hapa👇 Haya yakifanyika nchini Ethiopia huku...
120 Reactions
356 Replies
15K Views
Amani iwe nanyi Wanabodi. Leo napenda kuwaambia ukweli mchungu sana ambao inabidi tuupokee na kuufanyia kazi kweli. Wanaotegemea Samia atabadilika na kuwa Kiongozi mwema atakayewapa Watanzania...
13 Reactions
30 Replies
708 Views
1. Team Samia: Hii imejaa wapambe wa Samia ambayo ni wanzanzibari ndani ya Serikali, IGP Wambura , Makonda na Mapolisi wengine wanaoendeleza utekaji. Hawa ndiyo Samia anawaamini. Sasa wanataka na...
8 Reactions
25 Replies
1K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…