Mtangazaji huyo wa Michezo alikuwa kibarazani kwake alipokumbwa na shambulizi hili.
Marehemu hakuwa akiandamana lakini kama ilivyoripotiwa awali, alipigwa risasi.
Leo mwili wake umepumzishwa...
TANZIA
Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu Mzumbe, Prof. William Mwegoha anasikitika kutangaza kifo cha Bw. Benjamin Joseph Munisi , mwanafunzi wa mwaka wa tatu mwenye namba ya usajili 2632044/T.22...
Mwanasiasa mkongwe nchini, Khamis Mgeja, ambaye pia alikuwa Mwenyekiti Mstaafu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Shinyanga, amefariki dunia jana Jumatatu Novemba 3, 2025.
Kwa mujibu wa taarifa...
Mgombea wa nafasi ya udiwani kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) katika Kata ya Kirua Vunjo Magharibi, Jimbo la Vunjo mkoani Kilimanjaro, John Kessy, amefariki dunia jana , saa nane mchana...
Mtoto wa aliyekuwa Rais wa awamu ya pili wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar, Marehemu Sheikh Aboud Jumbe Mwinyi, ndugu Mussa Aboud Jumbe, amefariki dunia usiku wa kuamkia leo, Jumanne, Oktoba...
Wakuu,
Taarifa nilizopata punde ni kuwa Mzee Kahama amefariki Dunia kama muda mchache uliopita katika Hospitali ya Taifa, Muhimbili (muda wa saa 10 kamili jioni hii).
Kahama aliwahi kuwa Waziri...
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amelitangazia taifa msiba wa Rais Mstaafu wa Awamu ya Pili, Mhe. Ali Hassan Mwinyi leo Februari 29, 2024.
Rais amesema
"Ndugu...
Rais Samia Suluhu ametangaza kifo cha Makamu wa Kwanza wa Rais na Waziri Mkuu Mstaafu, Cleopa David Msuya ambaye amefariki leo Mei 7, 2025 alipokuwa akiendelea na matibabu katika Hospitali ya...
EDWARD NGOYAI LOWASSA AFARIKI DUNIA
Aliyewahi kugombea nafasi ya Urais kupitia CHADEMA, Edward Ngoyai Lowassa amefariki dunia baada ya kuugua kwa muda mrefu. Mtoto wake Fredrick Lowassa...
(UPDATED 13:30 - October 16, 2015)
Kwa mujibu wa Jerry Silaa (aliyekuwa Meya wa Ilala):
Kwa masikitiko makubwa nimepokea taarifa rasmi kutoka kwa timu ya uokoaji imefanikiwa kufika eneo la...
Mwenyekiti mstaafu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Wilaya ya Moshi Mjini, Alhaj Omar Shamba, amefariki dunia ghafla Septemba 22, 2025 akiwa nyumbani kwake
Alhaj Shamba aliwahi kuhudumu kama...
Mgombea udiwani wa Viti Maalum Tarafa ya Emboreet, Wilaya ya Simanjiro, mkoani Manyara, Rehema Naaman (CCM), amefariki dunia ghafla baada ya kudaiwa kuugua homa ya mapafu. Mgombea huyo wa udiwani...
Taarifa za hivi punde ni kuwa kamanda Mohamedi Mtoi amepata ajali na kufariki dunia
WAMETOKA KWENYE MKUTANO WA KAMPENI TARAFA YA MLOLA.
KAMANDA MTOI AKAWAPELEKA WENZAKE MPAKA LUSHOTO MJINI...
Aliyewahi kuwa waziri wa mambo ya Nje kwenye Serikali ya awamu ya nne, Bernard Membe amefariki Dunia. Taarifa za awali zinaeleza Membe alipata changamoto ya Kifua na kupelekwa Hospitali ya Kairuki...
Source: EA Radio
Mbunge wa Chalinze (CCM) Mh. Said Bwanamdogo amefariki Dunia leo asubuhi katika Taasisi ya Mifupa MOI, alikokuwa amelazwa baada ya kuugua kwa muda mrefu, Ofisi ya Bunge...
Aliyewahi kuwa Mwenyekiti wa Chadema Kanda ya Kusini na Mchezaji wa zamani wa Timu ya Taifa ya soka Suleiman Methew Luwongo Amefariki Dunia.
Taarifa zilizosambazwa kwenye vyombo vya Habari...
Katibu wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Wilaya ya Mafia mkoani Pwani, Salehe Kikweo amefariki dunia wakati akiendelea kupatiwa matibabu Hospitali ya Mji Handeni, Mkoa wa Tanga.
Taarifa ya kifo hicho...
Rest in peace Dr Hassy Kitine—the former Director General of Tanzania Intelligence and Security Service (1978-1980).
Aliyekuwa Mkurugenzi wa Idara ya Usalama wa Taifa, Mbunge wa Makete na Waziri...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.