Mwaka 2021 umeisha kwa mjadala mkali kuhusu kasi ya ukuaji wa deni la Taifa. Mjadala huo japo umekuwepo kwa kitambo lakini wiki mbili zilizopita umechagizwa zaidi na kauli kali ya Spika wa bunge...
Yes kwa nchi kama Japan siyo deni kama la Tz yetu....wao mengi ni mambo ya ndani zaidi kuliko nje
Debt to GDP is a very broad measure. Debt can be private, corporate, or governmental. Another...
Jana Mhe. Mpina alifukuzwa Bungeni na kutakiwa kutohudhuria mikutano 15 ya Bunge. Tulisoma HOJA zake lakini uamuzi ukafikiwa kuwa afukuzwe. Kwa kuwa nchi hii inaongozwa kwa kufuata UTAWALA BORA...
1. Malumbano kati ya Waziri wa fedha na Kamishina wa Mapato TRA
Msimamo wa Kamishina kuhusu kero za wafanyabiashara ni kutekeleza sheria wala siyo maagizo ya wanasiasa wa ngazi yoyote...
Nilimsikia Kitila Mkumbo akisema kuna bidhaa 8 wamekubaliana na wafanyabiashara kuziingiza kwenye mfumo bila ufafanuzi zaidi na leo nimemsikia tena Mwigilu akisema kuna bidhaa 8 ambazo...
Hali ni tete Sana
Maaskofu wa Kenya wamtaka Rais Ruto kuitupilia mbali Finance Bill Ili kuliokoa Taifa
Maaskofu wamemtaka Amiri Jeshi Mkuu wa Kenya kuwarudisha KDF kambini na Mipakani mara Moja...
Wakuu salaam kwenu!
Kuelekea 2025
Kumekuwa na tabia ya baadhi ya Wabunge kuhama makazi yao baada ya kuchaguliwa na kuwa Mbunge.
Wakati wote mtu alikuwa mkazi wa Jimbo X, anaomba ridhaa kupitia...
Rais ni cheo kikubwa sana yenye madaraka makubwa sana mwenye kupata hiyo nafasi lazima aihenyee ndio atakuwa na wivu na hiyo nafasi. Siyo kupewa tu na katiba.
Migomo hii ni udhaifu wa Rais wa...
Akihitimisha hoja ya Serikali Waziri wa Fedha Mwigulu Nchemba amesema Serikali ya Rais Samia ni sikivu na imekuwa ilifanya hivyo Toka Mwanzo.
Kwa msingi huo imesema itapunguza matumizi ya...
Waziri Kivuli wa Mifugo na Uvuvi, Ndugu Selemani Misango, amesema bajeti iliyotengwa kwa Wizara ya Mifugo na Uvuvi haiwezi kukidhi matakwa na matatizo ya Sekta hiyo nchini na kwamba ACT Wazalendo...
Ni angalizo tu Kwa waziri wa mambo ya nje January Makamba kuhusiana na Uwekezaji wa Majengo kwenye Ubalozi wa Uganda
Citizens tv wameonyesha Jengo la Uganda ambalo lina ofisi za Balozi humo humo...
Ninawasilimia wana Jf wote. Baada ya mapumziko ya kuandika hapa na kuwa kwenye kundi la wasomaji, leo nimerejea baada ya miaka miwili. Ninaomba mnipokee na msinifokee.
Niendelee na mada.
Katika...
Kama Nchi, tumefika pazuri sana, maana sasa ni dhahiri kwamba Wananchi wameanza kutambua kwamba wao ndio wenye nchi.
Hata kama tumechelewa lakini ni bora kufika kwa kuchelewa kuliko kutofika...
Wameomba kuongea na Mkubwa mwenyewe badala ya kuongea na Wawakilishi wake ambao hawana lolote zaidi ya kupiga porojo tu .
Taarifa ya vyombo vya habari hii hapa
Wakuu Heshima mbele!
Nilisoma yale ambayo Generation Z waliyasema na yote wameyatekeleza kwa asilimia 100%.
Kesho 27/06 Waandamanaji wamesema watafunga njia kuu ya kuelekea nairobi na kuiteka...