Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Anonymous
KILIBA , TAHLISO, MAMA ASEMEWE - Iacheni DIT Kama TAASISI YA ELIMU YA JUU YA TEKNOLOJIA haiwezi Kuwa TAASISI YA KICHAWA Majuma ya hivi karibuni yamekuwa na kipindi Cha ajabu Kwa sura ya Siasa ya...
5 Reactions
6 Replies
319 Views
Kuna wakati taifa linafika mahali ambapo ukimya unakuwa ushiriki katika mateso. Leo, maelfu ya Watanzania wanashuhudia jambo ambalo linaumiza mioyo yao kila siku. Wazazi wetu, wale waliotulea kwa...
6 Reactions
12 Replies
265 Views
Serikali yetu tukufu ya awamu ya 6 chini ya Dr. Samia Suluhu Hassan tunaomba mliangalie hili swala la Makato ya mishahara kwa walimu kwenda kwenye CHAMA CHA WALIMU ni makubwa sana. Nashauri toeni...
4 Reactions
111 Replies
1K Views
Mwalimu anahangaika kufundisha, anajituma kufundisha anajaza PEPMIS kama inavyotakiwa, kuna mtu katikati anatakiwa ku-approve, huyu mtu ndiye ana taarifa kama mtumishi ana mapungufu au hana, ajabu...
1 Reactions
3 Replies
189 Views
Ofisi ya DAWASA Mbagala Rangitatu imeshindwa kwa makusudi kuwapatia maji wakazi wa Mbagala, ni nusu mwaka sasa wakazi wamekuwa katika mgao wa kupata maji mara moja kwa wiki! Mbagala inapata maji...
2 Reactions
6 Replies
174 Views
Anonymous
Tunaomba JamiiForums itusaidie kupaza sauti zetu kwa TAKUKURU ili ichunguze tuhuma za rushwa katika Ofisi za Ardhi, Arusha. Wananchi wengi wanakumbana na changamoto kubwa wanapohitaji hati za...
0 Reactions
0 Replies
80 Views
Kwa masikitiko makubwa, hali ya umeme katika maeneo ya Wilaya ya Chunya — Matundasi, Makongorosi, Lupa, Saza na Itumbi — imekuwa ya kudhalilisha wananchi na kuonyesha wazi kushindwa kwa mamlaka...
1 Reactions
1 Replies
113 Views
Anonymous
Halmashauri ya Wilaya ya Shinyanga Wananchi na Watumishi tunapata changamoto sana hasa tunapohitaji huduma ya Mkurugenzi (DED), zinaweza pita siku 5 hupati huduma unaambiwa hayupo na hajakaimisha...
3 Reactions
11 Replies
324 Views
Anonymous
Mnamo tarehe 13 nilipowasiliana na wewe kuhusu suala langu uliniagiza nifike Kituo cha Polisi Oysterbay kwa RCO. Nilifika na kumweleza kero yangu. Alinipokea vizuri na siku hiyo hiyo akafungua...
1 Reactions
6 Replies
272 Views
Anonymous
Pembejeo izo vyenye thamani ya milioni 100 na zaidi vineibiwa kwenye godawn kuu la Wilaya ya Kibiti. Huku kukiwa na juhudi lukuki kutoka kwa viongozi wa Wilaya kutaka kulizima swala hilo
0 Reactions
5 Replies
206 Views
Anonymous
Halmashauri ya wilaya ya Chato inachangisha pesa kwa wafanya biashara kwa ajili ya mwenge. Wakusanyaji wanaongozwa na mtendaji wa kijiji Soma Pia: Viongozi wa Kijiji cha Mlimba B, Halmashauri...
0 Reactions
2 Replies
126 Views
Anonymous
Baadhi ya wananchi wa Ukonga Mazizini, Mtaa wa Kwamakobe, tunawasilisha malalamiko yetu rasmi kuhusu mwenyekiti wa mtaa wetu, Musa Komba. Kumekuwa na kero kubwa inayotokana na mwenendo wake wa...
0 Reactions
0 Replies
96 Views
Anonymous
Sisi ni watumishi wa Halmashauri ya Wilaya ya Chamwino, mkoani Dodoma, hasa kada ya utawala—yaani Watendaji wa Vijiji (VEOs). Tumeajiriwa tangu mwezi Novemba 2024, na sasa tumeshakamilisha zaidi...
0 Reactions
2 Replies
109 Views
Habari zenu wakuu!!! Naiomba wizara ya kilimo kupitia mamlaka ya usimamizi na udhibiti wa Mbolea Tanzania, TFRA ijitokeze hadharani kuhabarisha zaidi ya asilimia 70 ya Watanzania ambao shughuli...
9 Reactions
56 Replies
735 Views
Anonymous
Hawa jamaa, usimamizi wao unatia mashaka. Kiusalama, hali haijakaa vizuri. Kuna vipande vya barabara ambavyo havina lami na hakuna viashiria vyovyote vya tahadhari, jambo linaloongeza hatari ya...
2 Reactions
5 Replies
138 Views
Anonymous
Wakati Waziri Mkuu Nchemba anaanza kazi, alisema Serikali ya Awamu ya Sita inaenda kudeal na mambo ya mtu mmoja mmoja. Akitolea mfano kwamba mambo ya barabara za lami kuunganisha makao makuu ya...
0 Reactions
1 Replies
119 Views
Anonymous
Mimi ni mtumishi wa Halmashauri ya Wilaya ya Ngara, nina kero juu ya Mkuu wa Wilaya ya Ngara, anaitwa Mathias Kahabi. Mkuu huyo wa Wilaya ana tabia ya kudhalilisha na kutukana watumishi ikiwa ni...
4 Reactions
5 Replies
199 Views
Anonymous (f916)
Pembezoni mwa Hombolo Dam serikali ilikuja na project ya kupanda miti Na kukafanyika uzinduzi, mahema , misafara ya viongozi. Kumbuka hekaheka zote hizi zinafadhiliwa na pesa za walipa kodi...
0 Reactions
0 Replies
123 Views
Naandika hapa nikiwa nimejawa maswali yasiyo majibu hasa baada ya kuona ndugu yangu akiishi kwenye mazingira magumu sana mara baada ya kupata Ajira tangu mwaka jana, alitakiwa kupewa pesa ya...
6 Reactions
7 Replies
595 Views
Mnamo mwaka jana 2025 mwanzoni, serikali ilitangaza kuboresha barabara ya Kinondoni kuanzia Wakulima Road (usalama) mpaka Mtaa wa Binti Matola (mtaa opposite na mwembe jini, unaoenda mpaka V Ways)...
1 Reactions
16 Replies
313 Views
Back
Top Bottom