Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Rose Fidelis Temu Kiongozi wa UVCCM kwa nafasi ya Katibu Hamasa na Chipukizi Wilaya ya Hai Mkoani Kilimanjaro amechukua fomu yakuomba ridhaa yakugombea Ubunge Viti maalumu Kundi la Vijana. Soma...
0 Reactions
0 Replies
268 Views
Emily Sanga ni miongoni mwa wagombea waliojitokeza katika Jimbo la Uyole na kuchukua fomu ya kugombea Ubunge.
0 Reactions
3 Replies
296 Views
Chama cha ACT Wazalendo kimezindua rasmi Operesheni MajiMaji, kampeni maalum inayolenga kuwaamsha Watanzania kulinda thamani ya kura zao kuelekea Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 2025. Operesheni hiyo...
1 Reactions
17 Replies
733 Views
Kada wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Yasinta Kafulila amejitokeza kuchukua fomu ya kugombea ubunge wa Jimbo la Kigoma Kusini mkoani Kigoma. Soma Pia: Uzi maalum wa wanaotia nia kugombea Ubunge...
0 Reactions
10 Replies
874 Views
Salam wana wataalam wa masuala ya siasa. Dr. Mauki ametoa maoni yake kuhusu watia nia nafasi mbalimbali kupitia ukurasa wake wa Instagram. Unafikiri hoja yake ina mashiko? Jisomee mwenyewe kwenye...
3 Reactions
6 Replies
455 Views
Teddy Mayunga maarufu kama afande wa TOBOA TOBO achukua fomu ya udiwani viti maalum NACHINGWEA
0 Reactions
4 Replies
480 Views
Wakuu Jimbo la Kigamboni liko hot sana. Huyu hapa ni Gamariel Mboya naye achukua fomu kupitia CCM, ikumbukwe jimbo hilo lilikuwa chini ya Dkt. Faustin Ndugulile (Marehemu).
0 Reactions
1 Replies
478 Views
Mhandisi Edson Ngabo June 28,2025 amechukua fomu ya kuomba ridhaa ya Chama Cha Mapinduzi(CCM) kuteuliwa kuwania nafasi ya ubunge Jimbo la Ileje katika uchaguzi mkuu mwezi Oktoba 2025. Akizungumza...
0 Reactions
1 Replies
330 Views
Mwanachama wa chama cha Mapinduzi (CCM) Falmeo Mahenge amejitosa kwenye kinyang'anyiro cha kuomba kuteuliwa kuwa mgombea udiwani wa kata ya Iwawa wilayani Makete mkoani Njombe Soma Pia: Uzi...
0 Reactions
2 Replies
351 Views
Salha Mwinjuma Achukua Fomu ya Uwakilishi Viti Maalum Kundi la Vijana. Amechukua fomu 28.06.2025 katika ofisi za UVCCM Mkoa wa Kusini Unguja. Source: Bongo 5
0 Reactions
5 Replies
386 Views
Cde. Rehema Mandingo ametia nia kuwania Udiwani kwenye kata ya Mikocheni kupitia Chama Cha Mapinduzi CCM. Source: Clouds TV
0 Reactions
1 Replies
266 Views
Mkurugenzi wa Twende Pamoja na Mama Sports Promotion na pia Mkurugenzi wa Makundichi Villah na mlezi wa Wanawake na Samia, Mohammed Haaj, amechukua fomu ya kuwania Ubunge jimbo la Kigamboni katika...
0 Reactions
4 Replies
382 Views
Thomas Materi amejiunga rasmi na mchakato wa kugombea Udiwani Kata ya Terrat kwa kuchukua fomu ya kuomba uteuzi kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM).
0 Reactions
2 Replies
259 Views
Wakili Sweetbert Nkuba aliyetikisa kwenye kinyang'anyiro cha Urais wa Chama cha Mawakili Tanganyika (TLS) mwaka 2024 akimenyana vikali na Boniphace Mwabukusi ambaye pia ni Mjumbe wa Halmashauri...
0 Reactions
2 Replies
403 Views
Katibu wa Watanzania waishio nje ya nchi 'Daispora' Tanzania, Hassan Maftaha akionyesha fomu ya kuwania ubunge wa Kinondoni baada ya kuichukua leo Jumapili Juni 29,2025. Fomu hiyo amekabidhiwa na...
1 Reactions
13 Replies
499 Views
Buchosa, Mwanza Tukio la kushangaza linalodaiwa kukiuka taratibu na maadili ya uchaguzi limeibuka katika Jimbo la Buchosa, ambapo mtia nia wa Ubunge kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dkt. Charles...
5 Reactions
23 Replies
2K Views
Mwenyekiti na Muanzilishi wa Taasisi ya Asma mwinyi foundation, Asma Mwinyi achukua fomu ya kuomba ridhaa ya Chama cha Mapinduzi CCM kuwania Ubunge Jimbo la Welezo Wilaya ya Mfenesini Unguja Soma...
0 Reactions
0 Replies
374 Views
Mdau wa maendeleo jimbo la Wanging'ombe johnlongolela mara baada ya kurejesha fomu ya kuomba kuteuliwa kugombea ubunge kupitia CCM, amesema ana imani chama chake kitatenda haki.
0 Reactions
2 Replies
374 Views
Mihayo Juma N’hunga amechukua fomu ya kugombea uwakilishi jimbo la Mwera kupitia Chama Cha Mapinduzi. Soma Pia: Uzi maalum wa wanaotia nia kugombea Ubunge Uchaguzi Mkuu 2025 Mihayo amekabidhiwa...
0 Reactions
3 Replies
349 Views
SHINYANGA: Mbunge wa Viti Maalumu Mkoa wa Shinyanga, Salome Makamba amechukua fomu kuomba kuteuliwa kugombea ubunge kuwakilisha wanawake kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM). Salome amekabidhiwa...
0 Reactions
5 Replies
418 Views
Back
Top Bottom