Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Naibu Waziri wa Afya na Mbunge wa Siha, Dkt. Godwin Mollel, amechukua fomu ya kugombea tena Ubunge wa Jimbo la Siha, mkoani Kilimanjaro, kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM). Fomu hiyo...
0 Reactions
5 Replies
712 Views
Aliyekuwa Mkurugenzi wa Halmashauri ya Meatu, Zahra Michuzi Zahra Michuzi amechukua fomu ya kutia nia kwa nafasi Mbunge wa Viti Maalum kwa Mkoa wa Tabora. Zoezi la uchukuaji fomu katika ofisi za...
0 Reactions
1 Replies
316 Views
Maoni ya Mchambuzi wa Siasa, Said Miraji kuhusu Mchakato wa Uchaguzi wa Wagombea ndani ya Chama, alitoa maoni hayo Aprili 22, 2022 alipohojiwa katika Kituo cha Redio cha Bongo FM.
0 Reactions
1 Replies
559 Views
Ikiwa ni dakika za lala salama kwa wabunge wa Bunge la Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania, Mbunge wa Jimbo la Hai Mhe. Saashisha Mafuwe amekutana na kufanya kikao na waalimu wa Shule za Msingi na...
2 Reactions
14 Replies
1K Views
Jumuiya ya wazazi ya chama cha mapinduzi CCM Jimbo la Mchinga imemuunga mkono Mbunge wa Jimbo hilo mama Salma Rashid Kikwete kwa kumchangia Fedha kiasi cha shilingi laki moja zitakazomsaidia...
0 Reactions
3 Replies
459 Views
Umoja wa vijana wa Chama Cha Mapinduzi ( UVCCM )Wilaya ya Kilosa Mkoani Morogoro wameanza kujipanga kwa ajili ya Uchaguzi mkuu wa Udiwani,Ubunge na Rais unatarajiwa kufanyika Mwezi Oktoba Mwaka...
2 Reactions
5 Replies
408 Views
Wakati zoezi la uchukuaji na urudishaji fomu Chama cha Mapinduzi (CCM) likiendelea kada wa Chama hicho Yussuf Kaiza Makame nae amejitosa kuwania kiti cha Uwakilishi Jimbo la Mtambile Mkoa wa...
0 Reactions
0 Replies
262 Views
Aliyekuwa Mshindi wa Pili MNEC mwaka 2022 Walter Rishaeli Nnko, Leo June 29 amechukua fomu ya kugombea Ubunge katika jimbo la Kibamba lililopo katika Halmashauri ya Manispaa ya Ubungo jijini Dar...
1 Reactions
4 Replies
457 Views
Aliyekuwa Mwenyekiti wa Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM), Manjale Magambo amechukua fomu kuomba uteuzi wa kuwania ubunge katika Jimbo la Geita Mjini. Magambo amekabidhiwa fomu hiyo...
0 Reactions
2 Replies
658 Views
Katika kuelekea Uchaguzi Mkuu wa 2025 (GE2025), taifa letu linakabiliwa na maswali magumu kuhusu hatima ya demokrasia, uwajibikaji na uadilifu wa kisiasa. Kwa zaidi ya miongo sita, mfumo wetu wa...
1 Reactions
4 Replies
318 Views
Dkt. Catherine Joachim, Kada wa Chama cha Mapinduzi na Mjumbe wa Kamati ya Afya na Mazingira, Umoja wa Wazazi Taifa, amechukua fomu ya kuwania nafasi ya Ubunge wa Viti Maalum katika Umoja wa...
0 Reactions
0 Replies
280 Views
Mkurugenzi wa Taasisi ya Twende Pamoja na Mama Sports Promotion na Mkurugenzi wa Makunduchi Villa Mohamed Haji, leo Juni 29, 2025 amechukua fomu ya nafasi ya ubunge wa Jimbo la Kigamboni jijini...
0 Reactions
0 Replies
231 Views
Wasomi ni chanzo cha taifa la Tanzania kuwa jinsi lilivo kwa sasa kama lilivo. Kipindi Kama hiki ndio kipindi wasomi wanapaswa kuwa mbele kwenye kuchukua fomu za ubunge na uongozi, badala yake...
23 Reactions
103 Replies
3K Views
https://www.youtube.com/live/oU5eT7Dimu0?si=BYYHRNCBHOz_0_ye Siku hazikawii kufika, usikilizwaji kesi ya Lissu huo umewadia. Kama mnakumbuka wakayi uliopita upande wa mashtaka walisema wanahitaji...
28 Reactions
229 Replies
19K Views
0-0Wapambe wa demokrasia, kwenye Ilani ya CCM ya 2020–2025 kulikuwapo kipengele kilidhamiria kuunda ajira milioni 7 kwa vijana kupitia empowerment, training na access to low‑interest loans ...
0 Reactions
0 Replies
167 Views
Ndugu Haidary Gulamali Leo jumamosi Tar 28/6/2025 amechukua fomu ya kuomba kuteuliwa na Chama cha Mapinduzi kuwania nafasi Ubunge katika jimbo la ilongero Singida Vjjijini Gulamali amekabidhiwa...
0 Reactions
6 Replies
757 Views
Ndugu wana wa Tanzania. Usije ukakimbilia Ubunge ukasahau udiwani wa Katika Halmashauri yako. Nafasi za Udiwani ni nafasi muhimu sana katika Maendeleo ya Halmashauri yako. Katika Uanzishaji na...
0 Reactions
0 Replies
141 Views
Paul Christian Mzindakaya alitaka Jimbo la Sumbawanga Mjini alilowahi kuongoza Baba yake Christian Majiyatanga Mzindakaya kabla ya kupumzika Siasa.
0 Reactions
6 Replies
643 Views
Kada machachari wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Komredi Jamal Mangu, leo Juni 29, 2025, amechukua fomu ya kuomba ridhaa ya kuteuliwa kugombea Ubunge wa Jimbo la Nyang’hwale, lililopo wilayani...
0 Reactions
1 Replies
623 Views
Mambo vp wakuu.. Kuna hili linaloendelea nchini la uchukuaji wa fomu za kugombea ubunge kwa tiketi ya CCM.. Kwa sisi content creators tumeshtukia mchongo na tumegundua ni sehemu ya contents za...
0 Reactions
0 Replies
272 Views
Back
Top Bottom