Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Wakuu, Akiwa anazungumza kwenye kipindi cha Medani, Abdullah Makame, kada wa CCM amesema
0 Reactions
2 Replies
80 Views
Askofu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), anayesimamia Dayosisi ya Karagwe, Dkt. Benson Bagonza, amesema kuwa wahusika walijua mapema kuwa watatenda makosa, kwa lengo la baadaye...
3 Reactions
6 Replies
212 Views
Angalizo: Video hizi zinatisha na zinaweza kukuletea msongo wa mawazo au kuku traumatize. Kuwa makini. Pole nyingi kwa watanzania wote. Google drive link: Samia Massacre Oct 2025 – Google Drive
50 Reactions
134 Replies
6K Views
“Ikionekana Rais abakishiwe Mamlaka aliyonayo kwangu ni sawa, wakisema apunguziwe kwangu ni sawa, na hata wakisema aongezewe zaidi kwangu ni sawa tu” Dr. Makame, Mbunge wa Bunge la Afrika...
0 Reactions
4 Replies
146 Views
Abdallah Makame, Mbunge wa Bunge la Afrika Mashariki, amesema kuwa taifa lina utaratibu wake wa kushughulikia vifo vinapotokea nchini, ikiwemo kutoa pole kwa wafiwa na kuwajali waliojeruhiwa...
0 Reactions
2 Replies
99 Views
Mbunge wa Bunge la Afrika Mashariki, Dkt. Abdallah Makame (CCM), amesema kuwa kuna watu wananataka mabadiliko ya katiba unataka nini kibadilike?. Nimekuja kugundua ni ngumu sana kuja kuipata hii...
0 Reactions
10 Replies
176 Views
Mbunge wa Bunge la Afrika Mashariki, Dkt. Abdallah Makame (CCM), amesema kuwa hana ufahamu wa chanzo cha matukio ya Oktoba 29, lakini ni kweli kuwa kulikuwa na watu waliokuwa wakitembea na mabegi...
2 Reactions
9 Replies
210 Views
Mbunge wa Bunge la Afrika Mashariki, Dkt. Abdullah Makame (CCM), amesema kuwa maridhiano yanayotarajiwa kufanyika hayana uhusiano wa moja kwa moja na matukio ya Oktoba 29, bali ni moja tu ya...
0 Reactions
5 Replies
134 Views
Abdallah Makame ambaye ni mbunge wa bunge la Afrika Mashariki akijibu hoja ya mtangazaji Odemba kuhusu haki na amani, amesema kuwa vyote ni pacha na haviwezi kutenganishwa kwasababu vinategemeana
0 Reactions
0 Replies
76 Views
“Ni kweli kuna baadhi ya Nchi katika Jumuhiya ya EAC matokeo ya Urais yanapingwa mahakamani, lakini mimi kwa Tanzania sioni umuhimu wa kupinga matokeo ya Urais Mahakamani, na wala sioni aibu...
0 Reactions
1 Replies
128 Views
Mbunge wa Bunge la Afrika Mashariki, Dkt. Abdallah Makame (CCM), akizungumza katika kipindi cha Medani za siasa amesema Tanzania ni nchi ya demokrasia inayofuata mifumo ya vyama vingi vya siasa...
0 Reactions
0 Replies
105 Views
Tahakiki ya Tamko la Waziri Mkuu, Mwigulu Nchemba, kwa Wahariri, 25 Novemba 2025: Mazingira, Maudhui, Mapengo, Tathmini na Mapendekezo 1. UTANGULIZI KUHUSU TAMKO Waziri Mkuu wa Tanzania, Mwigulu...
14 Reactions
17 Replies
810 Views
Wapiga kura 20,851 waliomo kwenye Daftari la Kudumu la Mpigakura wanatarajiwa kushiriki uchaguzi wa madiwani katika Kata ya Kirua Vunjo Magharibi, Halmashauri ya Wilaya ya Moshi mkoani Kilimanjaro...
2 Reactions
8 Replies
218 Views
Wanabodi Makala yangu kwenye gazeti la Mwananchi Kufuatia kilichotokea kwenye yale maadhamano haramu ya tarehe 29 October, na kutaka kujirudia tarehe 9 Desemba, 2025, kiukweli tishio la...
-2 Reactions
34 Replies
643 Views
Balozi Emmanuel John Nchimbi, Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania nakuandikia ujumbe huu nikikuomba kwa heshima na unyenyekevu mkubwa uvunje ukimya ulisaidie taifa. Nchi yetu...
6 Reactions
29 Replies
675 Views
Katika kipindi cha One Against One kati ya mtangazaji nguli Chief Odemba na mwanahabari mwandamizi Habibu Mchange, Mchange amesema kuwa mwenyekiti wa Chadema na makamu wake John Heche ndio...
2 Reactions
33 Replies
768 Views
Wakili Hekima Mwasipu, mmoja wa Mawakili wanaowawakilisha Rosemary Mwakitwange, Wakili Deogratius Mahinyila na Wakili Edward Heche ambao ni waleta maombi kwenye kesi ya kuhoji uhalali wa Tume ya...
0 Reactions
9 Replies
241 Views
Anaandika Rais wa TLS kupitia ukurasa wake kwenye mtandao wa X, Boniface Mwabukusi. HATUTAENDELEA KUKAA KIMYA DHIDI YA UOVU. Hii ni project yenye sessions 27 mpaka sasa zimefika tano. Nadhani...
4 Reactions
1 Replies
131 Views
Tungekuwa na strong National intelligence kama USA au UK, Samia hasingekalia icho kiti,, SSH amegeuka kuwa adui wa taifa, amelitia aibu taifa, amelivuruga,amelibananga, amelitindinganya taifa...
10 Reactions
13 Replies
274 Views
Baadhi ya wananchi mkoani Arusha wameieleza Tume ya Uchunguzi wa Matukio ya Oktoba 29, 2025 changamoto mbalimbali walizokumbana nazo wakati na baada ya vurugu na maandamano yaliyotokea siku hiyo...
2 Reactions
7 Replies
399 Views
Back
Top Bottom