Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

LeoKweli said: Rostam Aziz ni mnyamwezi, Shangazi responded: Acha upumbavu! ni mnywamwezi kakwambia nani. Yeye ki ukweli ni raia wa Iran na Canada. Fuatilia mjomba. Rostam Vs Mengi...
8 Reactions
789 Replies
106K Views
Tycoon Rostam Azizi, just two weeks after trending on social media after becoming the new owner of Tigo and Zantel, has again surfaced across social media after being spotted in President Samia’s...
8 Reactions
81 Replies
9K Views
Wakuu, Wenye data za uhakika kuhusu uhusiano wa hao jamaa wamwage hapa. Kuna tetesi kwamba rostam ndiye aliyebeba fungu la kampeni za kumweka madarakani jk na ndiyo maana alipewa cheo cha...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Mfanyabiashara huyo maarufu amempongeza Rais Magufuli na kusema hivi sasa anafanya jambo la kutengeneza misingi ya uchumi utakaokua kwa uhakika zaidi na kutengeneza mazingira sawa ya biashara...
15 Reactions
490 Replies
92K Views
Sasa Taifa gesi wanakwenda kuwa provider wa energy kwa kila mtanzania masikini na Tajiri. Ila tuwe positive jamani Rostam ni mwamba yeye anafit kwa kila Rais. Sasa wizara nzima ya Nishati ni...
16 Reactions
115 Replies
10K Views
Moja ya sababu kubwa iliyomfanya Magufuli asikae Magogoni ilikuwa ni nguvu za giza ambazo ziliachwa mle. Polepole amesema hawa jamaa wanakushambulia kwa mbinu zote ikiwemo hizo za giza. Na...
13 Reactions
20 Replies
1K Views
Kesi Yangu ya Uhalifu wa Uhaini ni Hukumu ya Kifo kwa Demokrasia ya Tanzania Na Tundu Lissu 28 Agosti 2025 Uhaini unastahili adhabu ya kifo. Serikali inalenga sio tu kumuua mtu, bali pia kuua...
27 Reactions
49 Replies
4K Views
1. Dorothy Aidan Mwaluko - Manyoni 2. Vita kawawa - Namtumbo 3. John John Nchimbi - Nyasa 4. Salum Chaurembo - Kisarawe 5. Haszan Shelukindo - Lushoto 6. Malumbo Philip Mangula - Wangin'gombe...
9 Reactions
64 Replies
4K Views
Ukongwe wa CCM umetokana na kukosoana vikali lakini kupitia taratibu za ndani ya chama za kukosoana. Ukimuona anayetoka nje kuikosoa CCM huyo ni msaliti kwa chama na muhaini kwa Mama Tanzania...
1 Reactions
24 Replies
751 Views
Lakini Sisi wakristo TUNAMWAMINI Mungu wa mbinguni, amesema mwalimu Mwakasege Mfuatilie sasa kupitia Upendo tv yuko mubashara mjini Tabora Ahsanteni sana 🙏
0 Reactions
0 Replies
175 Views
Huu ni uchunguzi wangu huru Kwa sasa Kwa kuangalia Ratio kati ya Idadi ya watu kwenye nchi dhidi ya chama Cha siasa kinachoongozwa kwa kupendwa. Sasa na wewe uko huru kufanya utafiti wako ila...
6 Reactions
27 Replies
967 Views
Wengi wanadhani kwamba Lissu ndo mkombozi wao kisiasa huku “no reform no election” ikionekana kama ndo mapinduzi rasmi katika uchaguzi na kupelekea mapinduzi makubwa ya uraisi endapo movement...
6 Reactions
63 Replies
3K Views
Kwa mfano Mtu anaamua kuwadanganya Chadema ni sawa anajidanganya yeye mwenyewe kwa sababu imeandikwa shetani ni baba wa Uwongo Msema kweli ni mpenzi wa Mungu wa mbinguni 🙏 Mlale unono 😄✔️
1 Reactions
2 Replies
238 Views
Mbali na mishahara minono (paid in major strong currencies USD, GBP, CAD), 1. Kulipiwa nyumba, sehemu za hadhi ya juu 2. Ada za watoto kwenye shule za kimataifa 3. Tiketi za ndege daraja la...
4 Reactions
31 Replies
2K Views
Heee! Umenipa moyo sana. Leo kupo kimyaaa! Wanaongelea mashimoni huko kama panyabuku. Hasa! Na bado!
1 Reactions
20 Replies
890 Views
Wadau, Nchimbi alisema CHADEMA wasubiri 2030, uchaguzi utafanyika hata kikiwa chama kimoja. Ni kupotezeana muda na kuharibu mapesa na kuyatakatisha.
1 Reactions
5 Replies
531 Views
Chadema na Haters wengine wa SSH mpo? Mnazisoma namba lakini? Nawakumbusha tuu Rais Samia alitenga zaidi ya Shilingi Bilioni 300 kuifikisha mawasiliano Vijijini Kwa kujenga minara 758 na ku...
2 Reactions
40 Replies
1K Views
Nimesema hivyo kwa sababu, CHADEMA pamoja na wanachama wao, hawaamini, hawakubali na wala hawaridhiki mtu mwingine kuwa na mawazo na maamuzi tofauti na wao. Wanalazimisha yule watakayemfanya...
5 Reactions
21 Replies
858 Views
2017 Hayati JPM anaunda timu kuhakiki mali za Chama cha mapinduzi chini ya Bashiru Ally Kakurwa. Kunagundulika matatizo katika hisa za CCM na Rostam ndani ya African Media Group. Wamiliki wa...
51 Reactions
115 Replies
12K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…