Tume ya Ushindani jana imetangaza kwamba imeteketeza bidhaa feki. Bidhaa hiyo ni nyembe.
Uhaini ni jinai inayohusisha ama kutaka au kumwua kiongozi wa nchi; ama jinai ya kutaka au kupindua...
Ndugu Zitto Kabwe,nimeguswa kuanzisha uzi huu ili kukupongeza na kutambua umuhimu wako katika Taifa hili.
Hakika wewe ni kati ya vijana wachache ambao ni tunu kwa Taifa hili kwani umekuwa...
TAARIFA YA MHE. PROF. MAKAME MBARAWA (MB), WAZIRI WA MAWASILIANO, SAYANSI NA TEKNOLOJIA KUHUSU SHERIA YA MAKOSA YA MTANDAO YA MWAKA 2015 KWA WAANDISHI WA HABARI
TAREHE 8 MEI, 2015
Ndugu...
Baada ya jana kufanya mikutano mitatu ktk kata ya songambele na kuzindua msingi mmoja kati ya 150 Ambayo tumepanga kuizindua katika Jimbo hili.
Leo ikiwa ni siku ya nne toka...
Sote tunafahamu kuwa taifa letu linaelekea kwenye uchaguzi wa Madiwani, Wabunge na Rais.
Hii ni hatua muhimu sana kwa wanachi kwasababu ndio uamua mustakabali mzima wa siku za usoni kimaendeleo...
Habari WanaJF wapenda mabadiliko.
Namshukuru Mungu nimefanikiwa kupata kibali cha kuamua ni nani nataka awe kiongozi wangu kwa uchaguzi mkuu ujao baada ya kuchoka na ubabaishaji wa CCM toka...
Asema elimu bora ndiyo itakayoifikisha nchi mahali pazuri
Tabora. Waziri Mkuu mstaafu na mbunge wa Monduli, Edward Lowassa amesema umefika wakati kwa Tanzania kukimbia kwa kasi ili kukabiliana...
Jamani nimesikia mikoa mingine wameanza kuandikishwa na vitambulisho vipya vya kupigia kura mwezi disemba mimi nawaza lini watatufikia sie wa tarime kuja kutuandikisha tupige kura, mara nyingine...
Mmarekani ana akili sana
Alipoona anamaliza hela na resources kupigana na waarabu akaja na akili mpya
Kawagawanya waarabu wapigane wenyewe kwa wenyewe, halafu wakiishamalizana washindwe hata...
WanaCHADEMA wa Kibondo-Kigoma wamepinga maamuzi ya UKAWA ya kuwa jimbo hilo limewekwa kwa NCCR-Mageuzi wakati Felix Mkosamali (MP) hakubaliki hata kidogo.
Katika serikali za mitaa CHADEMA ndio...
Kwa hapa tulipofika tunahitaji raisi mwenye afya njema na mwenye uwezo wq kukaa ofisini masaa 24 .
Raisi mtembezi kutwa anashinda nje ya nchi , kutwa yeye yupo airport kufuatilia ratiba za...
Kuna daftari(counter book) aina ya "scholar" za rangi nyeusi na za 2 Quire na kurasa 192, zinauzwa madukani na kwenye stationary mbali mbali mitaani zina ramani ya Tanzania kwa nyuma...
KIONGOZI Mkuu wa Chama cha ACT Wazalendo, Kabwe Zitto ameahidi chama chake kuendesha shughuli zake kwa uwazi, ikiwa ni pamoja na kupiga marufuku viongozi kufanya biashara na chama hicho, jambo...
Kila yanapotokea au linapotokea jambo lolote ambalo lina uzito katika taifa hili Raisi anasafiri ni kwanini anaogopa maamuzi magumu au kila kila mbuzi ale kwa urefu wa kamba yake?
Mbona kwenye...
NEWS
By COSTANTINE MUGANYIZI, TEA Special Correspondent
Posted Saturday, May 9 2015 at 14:33
IN SUMMARY
Budget support to Tanzania by donors is growing thinner after the UK, Norway and...
Dar es Salaam. Mbio za urais ndani ya CCM sasa zimefikia pabaya baada ya kuibuka hofu ya kuwapo kwa mpango wa kuivuruga Kamati Kuu kabla ya haijakutana kuchuja majina ya makada watakaotakiwa...
Nanukuu katika mojawapo ya hotuba za Baba wa taifa kuwa; Ikulu ni mahala Patakatifu.
Nadhani Baba wa taifa kama mwanadamu yeyote alivyo na mapungufu hapa alikosea sikubaliani nae.
Ikulu ndiko...
viongozi wa vyama vya upinzani njombe wamekiri kuwa ccm katika mikoa ya kusini itashinda kwa kishindo kikuu dhidi ya vyama vinavyounda ukawa kwa sababu kimeleta maendeleo na kimekuwa karibu sana...
Ukweli ni kwamba kwa mtu yeyote mwenye akili timamu hawezi lipinga hili la watanzania kuhitaji mabadiliko ya kuiondoa CCM madarakani kutokana na hali halisi tulio nayo watanzania hasa wale wa hali...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.