Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Maanadamano ya tarehe 29 yalikua na mwitikio mkubwa sababu ya urahis wake wa kukutana location zilikua familia na hazina barrier yoyote huitaji pesa wala gharama yoyote maandamano ya disember...
5 Reactions
22 Replies
370 Views
Wapinzani wa Samia wote wanateswa kupitia magereza
2 Reactions
13 Replies
340 Views
20 February 2026 https://m.youtube.com/watch?v=LIsKjhnAdxM Mwakilishi wa Jimbo la Pandani na Mnadhimu Mkuu wa Kambi ya Upinzani kwenye Baraza la Wawakilishi, Profesa Omar Fakih Hamad, anazungumzia...
0 Reactions
1 Replies
107 Views
nchi imefikia hatua inaongizzwa na mama na mwana. kibaya zaidi hawajui nani atashika nchi miaka ijayo na kuwafilisi mali zao. Arrogance. Kuna watu hawafikirii kesho yao. Ikiwa malipo ni hapahapa...
7 Reactions
23 Replies
484 Views
Evance Kamenge, Kada wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), amesema “CCM ikitoka kwenye misingi ya kuanzishwa kwake itatoka Madarakani, naoingana na aliyesema CCM itakaa madarakani Milele huo ni uongo”
1 Reactions
8 Replies
173 Views
Haya ndugu zangu Lissu anaendelea kupitisha dozi huko. Hii statement alivyoitoa mahakamani kila mtu alicheka Soma Pia: Shahidi wa Kesi ya Lissu (P7): Nauli ya kuja mahakamani leo nimepewa na...
4 Reactions
7 Replies
559 Views
Kuna habari ya wanaume wawili kutoka Zanzibari ya kuwa wametekwa na watu wawili walio kuwa na gari aina ya IST nauliza kweli wanaume mnatekwa kwenye gari aina hii? Rais wa Zanzibari chukua hatua
1 Reactions
1 Replies
154 Views
Jinsi ilivyokuwa mpaka mwananchi kuzimia mbele ya mbunge baada ya kubomolewa nyumba yake katika manispaa ya Temeke Mbagala -Toangoma Mwananchi anaelezea alivyompigania mwenyekiti wake wa CCM...
5 Reactions
29 Replies
477 Views
Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kimewasilisha taarifa rasmi kwa Mkutano wa 39 wa Wakuu wa Nchi na Serikali wa Umoja wa Afrika (AU), kikieleza wasiwasi wake kuhusu hali ya kisiasa na...
4 Reactions
14 Replies
367 Views
AGNES MARWA AWAKUMBUKA WAFUNGWA GEREZA LA MUSOMA MJINI Mbunge wa Viti Maalum Mkoa wa Mara, Agnes Marwa, ametembelea Gereza la Musoma Mjini na kutoa misaada mbalimbali kwa wafungwa wa dini ya...
2 Reactions
4 Replies
161 Views
Mahakama ya Kimataifa ya Uhalifu wa kivita mjini The Hague ICC imetakiwa kuchunguza madai ya mauaji ya watu wengi wakati wa msako mkali wa maandamano wakati wa uchaguzi nchini Tanzania mwezi...
10 Reactions
35 Replies
2K Views
Jana P3 akihojiwa alisema, Coplo Aman baada ya Kukamata, alimpeleka Kituo cha Polisi na kumweka Mahabusu. Leo, Coplo Aman anasema 'Alimkamata P3 na hakumweka Mahabusu. Hizi ndo akili za akina...
3 Reactions
1 Replies
163 Views
Wakuu, Hivi inakuwaje Polisi hajui kusoma PGO ya kiingereza? Au huyu shahidi hakutaka kujibu swali la Lissu =========== Mhe.Lissu: Mhe.Jaji naomba shahidi apewe PGO Mhe.Lissu: Shahidi soma PGO...
2 Reactions
15 Replies
448 Views
Wakuu, Uzuri wa Lissu huwa hakwwepeshi. Yaani hanaga chujio anawachana hapo hapo Huyu shahidi kaharibu hadi Lissu kaonesha kabisa hapendezwi na kinachoendelea ========== Mhe. Lissu: umesema...
6 Reactions
8 Replies
479 Views
Hongera Pascal Mayalla kwa kumtembelea mweyekiti Lissu mahakamani amau sasa kusimama upande wa haki
11 Reactions
39 Replies
820 Views
Wakuu, Hivi kulikuwa na umuhimu gani namba 1 kutoa ujumbe huu maana ukisoma comments mtandaoni ni watu wamemaindi kweli hii called "Pole" . Wakina Machumu wameshindwa kabisa kumshauri kuwa...
2 Reactions
14 Replies
326 Views
Kumbe wote walikamatwa Mitaani huku wengine wakitekwa. Wakatishwa n.a. kupewa masharti kwamba wakikubali kuwa Mashahidi wa kumkandamiza Lissu watakuwa salama Taarifa zingine zinaeleza kwamba...
10 Reactions
17 Replies
296 Views
Wakuu, Kesi ya Lissu inaendelea leo Kaa karibu na uzi huu kupata updates ya kinachoendelea Soma Pia: Shahidi wa Kesi ya Lissu (P7): Nauli ya kuja mahakamani leo nimepewa na mwanamke wangu...
5 Reactions
7 Replies
568 Views
Hamjambo! 1. Waislam ni kama Kaini kwa ndugu yake Habil. Wanaona wivu na kuwa na hasira na maendeleo ya Wakristo. 2. Mimi kwa upande wa Baba ni Waislam. Mara yangu ya Kwanza kuingia msikitini...
16 Reactions
115 Replies
2K Views
Nlisoma humu uzi kuwa baba wa Taifa la Zanzibar ni John Okello (RIP) Huyu ni Che Guevara wa East Africa. Mwanamapinduzi na mpigania Uhuru. Huyu alitoka kwao Uganda kuja kuwakomboa Wazanzibar...
1 Reactions
11 Replies
651 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…