Maanadamano ya tarehe 29 yalikua na mwitikio mkubwa sababu ya urahis wake wa kukutana location zilikua familia na hazina barrier yoyote huitaji pesa wala gharama yoyote maandamano ya disember...
20 February 2026
https://m.youtube.com/watch?v=LIsKjhnAdxM
Mwakilishi wa Jimbo la Pandani na Mnadhimu Mkuu wa Kambi ya Upinzani kwenye Baraza la Wawakilishi, Profesa Omar Fakih Hamad, anazungumzia...
nchi imefikia hatua inaongizzwa na mama na mwana. kibaya zaidi hawajui nani atashika nchi miaka ijayo na kuwafilisi mali zao. Arrogance.
Kuna watu hawafikirii kesho yao. Ikiwa malipo ni hapahapa...
Evance Kamenge, Kada wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), amesema “CCM ikitoka kwenye misingi ya kuanzishwa kwake itatoka Madarakani, naoingana na aliyesema CCM itakaa madarakani Milele huo ni uongo”
Haya ndugu zangu
Lissu anaendelea kupitisha dozi huko. Hii statement alivyoitoa mahakamani kila mtu alicheka
Soma Pia:
Shahidi wa Kesi ya Lissu (P7): Nauli ya kuja mahakamani leo nimepewa na...
Kuna habari ya wanaume wawili kutoka Zanzibari ya kuwa wametekwa na watu wawili walio kuwa na gari aina ya IST nauliza kweli wanaume mnatekwa kwenye gari aina hii?
Rais wa Zanzibari chukua hatua
Jinsi ilivyokuwa mpaka mwananchi kuzimia mbele ya mbunge baada ya kubomolewa nyumba yake katika manispaa ya Temeke Mbagala -Toangoma
Mwananchi anaelezea alivyompigania mwenyekiti wake wa CCM...
Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kimewasilisha taarifa rasmi kwa Mkutano wa 39 wa Wakuu wa Nchi na Serikali wa Umoja wa Afrika (AU), kikieleza wasiwasi wake kuhusu hali ya kisiasa na...
AGNES MARWA AWAKUMBUKA WAFUNGWA GEREZA LA MUSOMA MJINI
Mbunge wa Viti Maalum Mkoa wa Mara, Agnes Marwa, ametembelea Gereza la Musoma Mjini na kutoa misaada mbalimbali kwa wafungwa wa dini ya...
Mahakama ya Kimataifa ya Uhalifu wa kivita mjini The Hague ICC imetakiwa kuchunguza madai ya mauaji ya watu wengi wakati wa msako mkali wa maandamano wakati wa uchaguzi nchini Tanzania mwezi...
Jana P3 akihojiwa alisema, Coplo Aman baada ya Kukamata, alimpeleka Kituo cha Polisi na kumweka Mahabusu.
Leo, Coplo Aman anasema 'Alimkamata P3 na hakumweka Mahabusu.
Hizi ndo akili za akina...
Wakuu,
Uzuri wa Lissu huwa hakwwepeshi. Yaani hanaga chujio anawachana hapo hapo
Huyu shahidi kaharibu hadi Lissu kaonesha kabisa hapendezwi na kinachoendelea
==========
Mhe. Lissu: umesema...
Wakuu,
Hivi kulikuwa na umuhimu gani namba 1 kutoa ujumbe huu maana ukisoma comments mtandaoni ni watu wamemaindi kweli hii called "Pole" .
Wakina Machumu wameshindwa kabisa kumshauri kuwa...
Kumbe wote walikamatwa Mitaani huku wengine wakitekwa.
Wakatishwa n.a. kupewa masharti kwamba wakikubali kuwa Mashahidi wa kumkandamiza Lissu watakuwa salama
Taarifa zingine zinaeleza kwamba...
Wakuu,
Kesi ya Lissu inaendelea leo
Kaa karibu na uzi huu kupata updates ya kinachoendelea
Soma Pia:
Shahidi wa Kesi ya Lissu (P7): Nauli ya kuja mahakamani leo nimepewa na mwanamke wangu...
Hamjambo!
1. Waislam ni kama Kaini kwa ndugu yake Habil. Wanaona wivu na kuwa na hasira na maendeleo ya Wakristo.
2. Mimi kwa upande wa Baba ni Waislam. Mara yangu ya Kwanza kuingia msikitini...
Nlisoma humu uzi kuwa baba wa Taifa la Zanzibar ni John Okello (RIP) Huyu ni Che Guevara wa East Africa. Mwanamapinduzi na mpigania Uhuru.
Huyu alitoka kwao Uganda kuja kuwakomboa Wazanzibar...