NGUVU NA CHANGAMOTO YA CCM NA CHADEMA KUELEKEA UCHAGUZI MKUU, OCTOBA, 2015.
Na: Simon Ngusa Jilala
15/8/2015. (9:10 A.M)
Utangulizi.
Mada yangu hii itakuwa ndefu kidogo, lakini nina uhakika...
https://youtu.be/HY_HCisbzGY
Wengi wameuliza imekuwaje Mwanakijiji hajaamua kuunga mkono treni hili lililoondoka stesheni? Imekuwaje sikudandia wimbo wa "mabadiliko-Lowassa". Inawezekana labda...
Wakuu,
Imani yangu dhidi ya EL kwamba ndiye anayefaa kuwa Rais wa JMT inazidi kuongezeka. Lakini pia nina imani kubwa EDWARD NGOYAI LOWASSA ndiye atashinda Urais 2015.
Maskini tuungane Oct 25...
Halafu eti uniambie kwamba CCM ndiyo mabingwa wa kubaki madarakani wawafundisha watu kama chama tawala cha Canada.
Eti CCM kije kiwafundishe wa-Canada kuiba kura kwa sababu CCM ni maprofesa...
Mwalimu kaijage, ni kama nanusa kitu huko ACT, naona movement za Kumng'oa Zitto kwenye uenyekiti na kumsimika ANNA.. Naona waziwazi na kama unijuavyo nikinusa sikosei .
Ngojea uone after...
Taarifa zilizopo hapa ndanda ni kuwa baada ya sintofahamu ya jana, kufuatia wagombea, makada na wafuasi wa chama tawala kusambaza uvumi kuwa mgombea wa jimbo hilo DAVID C. MWAMBE Amekatwa na...
Sotu tunakumbukumbu ni kwa namna gani watanzania wenzetu walipoteza maisha yao katika mkutano wa kisiasa kwenye uwanja wa soweto Arusha ulioandaliwa na Chadema.
Mara baada ya tukio hilo la...
By Eng.Livingstone :
MWENZANGU NA WEWE NI MWANACHAMA WA CCM?
Taarifa zinasambaa, kwamba msanii nguli wa muziki wa bongo fleva, Diamond, amelipwa Tsh. 1.3 bilioni kwa ajili ya kufanya kampeni...
Ni mgomo pekee utakaozaa matunda tunayoyataka sisi wafanyakazi
Na chuuma 06:54 Today
Najua wengi watakimbilia maneno na vijineno bila kutafakari. Lengo langu si kushawishi watu wagome kwa...
Mh. Wilfred M. Lwakatare, mgombea ubunge (CDM) Bukoba Mjini, ana uhakika wa kuchukua jimbo kwa zaidi ya 70%.
Kutokana na tathmini niliyoifanya, vijana wengi sana wanamuunga mkono huku wakioneshwa...
Wapo watakaoniunga mkono na wapo watakaosema ukabila ILA lazima ukweli nitasema.Tangu hawa jamaa wawe wabunge hapa Mwanza hakuna maendeleo yoyote!
Naamini kuwa Mwanza itajengwa na WanaMwanza...
Katika hali isiyo ya kawaida, Mwenyekiti wa CHADEMA Freeman Mbowe akiwa Kyela amesema, wapo baadhi ya waangalizi wana mpango wa kukisaidia CCM ili kuingiza kura feki vituoni. Kumbuka waangalizi...
Kamanda wa Polisi mkoa wa Kagera kamanda Olomi ameawaasa wenye nyumba wasiruhusu watu kukusanyika kwenye maeneo yao wakishatoka kupiga kura.
Akielezea kuwa kuna watu wenye nia mbaya wanataka...
Nimejaribu kutafakari juu ya nini kinaweza kutokea katika matokeo ya uchaguzi mkuu wa mwaka huu. Uchambuzi huu utumike kwa vijana wenzangu kujua uhalisia wa siasa na kujitambua. Binafsi naamini...
Ndugu wana jamvi, nimekuwa nikifuatili kwa kina mikutano na sera za mgombea wa urais kwa tiketi ya ccm mh. John Pombe Magufuli, baadhi ya mambo ambayo amekuwa akiyanadi na kujisifia n kuwa baada...
hizi ni sauti za wananchi zilizosikika kwa sauti ya juu kutoka kwa wanaukawa, zikisema kura ya ndio tunampa Magufuli sio lowassa, wananchi wakaendelea kusema ukawa wamekua wakitudanganya kwa mambo...
Kuachwa kwa Slaa kuteuliwa kugombea kuliwachanganya sana CCM hawakutegemea ndio sababu wanatumia nguvu kubwa kumtangaza mgombea wao ambaye naye hawakumtegemea.
Ilikuwa imepangwa Slaa ajitoe...
Kuna mdau kanitumia taarifa kuwa Ukawa wameshindwa kuafikiana juu ya nani hasa asimame kwa tiketi ya umoja wao kati ya mgombea wa CUF na CHADEMA.
Gogoro hilo linaendelea kufukuta huku wananchi...
Dalili za aina ya mabadiliko yatakayopatikana baada ya kushinda uchaguzi zinaonekana kwa katika aina ya mabadiliko ya mchakato wa uchaguzi: Mabadiliko ya CCM kukatwa mgombea mwenye kutumia fedha...
Kwanza nianze na kuwapongeza ccm kwa strategy zenu uchwara!!
Mmetumia nguvu nying sana kweny kampen na sio akili. Badala ya kunadi sera mnatishia wananchi vita na machafuko leo hii kila...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.