#MAKAVU Live
Uzwazwa wa Chama cha Kijani ni Kuendelea Kumshambulia MBOWE Kuwa ni Mwenyekiti DHAIFU; Eboo! ADUI akiwa DHAIFU sio ndiyo unaweza ku-capitalize katika udhaifu huo?
Amini nawaambieni...
Watuhumiwa wa kesi ya uhaini wakili Boniface Mwakubukusi na Mdude Nyagali waliokuwa wakishiliwa na jeshi la polisi Mkoa wa Mbeya wameachiwa huru wakibadilishiwa mashtakana na kuwa kesi ya...
Rais Magufuli amempokea waziri wa maliasili na Utalii Hamis Kigwangala alipokuwa akipokelewa katika Hospitali ya taifa ya Muhimbili,
Rais amesema waziri huyo ni mchapakazi na amepata ajali akiwa...
Unajaribu kumuua Tundu Lissu kwa sababu zako binafsi. Kwa sababu ya ushetani wako, hofu yako, woga wako na udhaifu wako.
Halafu unatumia nguvu nyingi kupotosha. Unawatuma watu waropoke uongo ili...
Unajaribu kumuua Tundu Lissu kwa sababu zako binafsi.
Kwa sababu ya ushetani wako, hofu yako, woga wako na udhaifu wako.
Halafu unatumia nguvu nyingi kupotosha. Unawatuma watu waropoke uongo...
Salaam wakuu,
OCCID wa Wilaya ya Ukerewe Mkoani Mwanza,Masoud Mohammed amekutwa kafariki sehemu aliyofikia.
Masoud Mohammed ni moja wa Maaskari waliobadilishwa Vituo hivi karibu.
Ukerewe ni...
Rais Samia Suluhu Hassan amemteua Suleiman Yusuph Mwenda kuwa Mkuu wa Wilaya ya Iramba
Aidha, Lupakisyo Andrea Kapange ameteuliwa kuwa Mkuu wa Wilaya ya Bariadi
UTEUZI:
Rais wa Tanzania, Dtk. Samia Suluhu Hassan amemteua Michael Kachoma kuwa Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Busega akichukua nafasi nafasi ya Veronica Vicent Sayore ambaye...
Rais anasema kuwa kwa sasa kenya na india ndio wanufaika wakuu wa madini ya Tanzanite wakati hapa Tanzania pekee ndio yanapatikana madini hayo. rais anasema umefika wakati sasa tunufaike sote...
Msemaji wa Polisi, Lucas Mwakalukwa amesema kauli iliyotolewa na waziri wa mambo ya ndani kuwa kuna mbwa wa polisi aliyepotea bandarini si ya kweli
Mbwa huyo ambaye waziri alimtaja kama Hobby...
Habari zilizothibitishwa Zinasema Mchekeshaji na Muigizaji maarufu Mzee Majuto amefariki katika Hospitali ya Taifa Muhimbili.
Majuto amekua aligua kwa muda mrefu
More to follow including social...
Mwenyekiti wa Jumuiya ya Maendeleo ya Nchi za Kusini Mwa Africa (SADC), Rais John Pombe Joseph Magufuli, aligoma kuitisha kikao cha Wakuu wenzake wa Jumuiya hiyo kilichofanyika mapema leo kwa njia...
Diwani wa Kata ya Kagondo Anatory Amani na Diwani wa Kata ya Hamugembe Muhaj Kachwamba wamejiuzuru nyazifa zao zote katika vyama vyao na nafasi ya Udiwani na kurejea Ccm
iko mubashara tbc, rais magufuli anawakabidhi hati za viwanja mabalozi mbalimbali kwa ajili ya kuanza ujenzi wa ofisi za mabalozi na hatimaye kuhamia rasmi.
fuatilia uzi huu kwa updates
Salaam Wakuu,
Jeshi la Polisi linawashikilia Wanachama na Wafuasi wa CHADEMA waliofika Mahakamani Kusikiliza kesi Mbowe.
Leo Kisutu ulinzi ni Mkali, Hawaruhusu watu kuingia, isipokua wachache tu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.