Elli
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 55,499
- 86,036
Ni Wazi sasa hawa Vijana wamechoka. Kenani Kihongosi DC wa Iramba ateuliwa kuwa Katibu Mkuu UVCCM. Yule Msanii aliyekua Arusha wananchi wakamlalamikia.
====
Chama cha Mapinduzi (CCM) kimemteua Mkuu wa Wilaya ya Iramba, Kenani Kihongosi kuwa Katibu Mkuu wa Umoja wa Vijana wa CCM (UVCCM) akichukua nafasi ya Raymond Mwangwala ambaye ameteuliwa kuwa Mkuu wa wilaya ya Ngorongoro.
====
Chama cha Mapinduzi (CCM) kimemteua Mkuu wa Wilaya ya Iramba, Kenani Kihongosi kuwa Katibu Mkuu wa Umoja wa Vijana wa CCM (UVCCM) akichukua nafasi ya Raymond Mwangwala ambaye ameteuliwa kuwa Mkuu wa wilaya ya Ngorongoro.