Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Serikali hii imeshindwa kueleza kwanini cement imeadimika kiasi hiki? Tunaona mchanga kwa millioni ya tonnes yanapelekwa Zanzibar, , Miradi mingi Zanzaibar inafanywa kwa pesa za kodi toka bara...
2 Reactions
8 Replies
126 Views
Motisha pekee ambayo inaweza kutolewa na serikali kwa mtoto aliyefanya vizuri katika mitihani yake ya darasa la 7 ni kupangiwa shule ya bweni/vipaji badala ya kubakizwa hapohapo kwenye shule za...
2 Reactions
20 Replies
192 Views
Mabasi yapo Maeneo Mengi ya Dar kwenye ofisi zao Binafsi ili kuturahishia Maisha.sio chanzo cha Foleni! Shida ni Yard na Maloli kila kona, Mkuu wa Mkoa aelekeze nguvu zake kwenye Malori na Dry...
10 Reactions
42 Replies
336 Views
My Take Hii imeniuma na kumikasirisha sana Kwa sababu makosa yanayoitwa umuhimu Uchumi hayawezi kuwa mkaa na miti asili au wanyamapori. Ni vyema uhujumu Uchumi uwe ni makosa serious sio haya...
3 Reactions
32 Replies
585 Views
Anonymous
Habari, ninaandika uzi huu nikiwa na maumivu makubwa moyoni. Mimi ni mhitimu wa kidato cha sita mwaka 2026, nikiwa nimesoma mchepuo wa PCB katika shule ya serikali. Katika matokeo yangu ya kidato...
13 Reactions
82 Replies
1K Views
Anonymous
Serikali iangalie kwa karibu sekta ya usafiri wa anga nchini, hasa suala la gharama kubwa za nauli za ndege ambazo zimekuwa changamoto kwa Watanzania wengi. Kwa sasa, wananchi wengi wanashindwa...
1 Reactions
4 Replies
92 Views
Kama hii land rectification letter ni ya kweli basi Samia ni land grabber aliekubuhu. Kwa mwenendo huu ni wazi mikopo mingi inaenda kwenye miradi binafsi hali inayozidi kuzorotesha miradi mingi ya...
19 Reactions
110 Replies
2K Views
Wanabodi, Makala yangu kwenye gazeti la Mwananchi la leo, Utangulizi: Bandiko hili ni bandiko la manifestation ya Katiba mpya, japo hata mchakato wa Katiba mpya bado haujaanza, bandito linatoa...
8 Reactions
33 Replies
890 Views
Anonymous
Tuliambiwa huduma ya mabasi ya Mwendokasi njia ya kwenda Gongo la Mboto itaanza kupatikana 01/07/2026 lakini mpaka sasa kimya wahusika watupe majibu.
0 Reactions
2 Replies
90 Views
Ni mara ngapi umepiga simu kwenye Taasisi na simu haikupokelewa? Ni mara ngapi umetuma ujumbe na hukujibiwa? Ni mara ngapi umepiga simu na number haipatikani sasa unajiuliza kwanini waliweka...
0 Reactions
1 Replies
62 Views
HIFADHI YA BARABARA YA MOROGORO INAANGAMIZWA MBELE YA MACHO YETU Je, serikali itaendelea kunyamaza hadi tutakapolazimika kulipa fidia tena? Nianze kwa kurudia RAI yangu kuhusu upanuzi wa...
6 Reactions
11 Replies
328 Views
Kuna kampuni inaitwa RockTronic ya Moshi mkoani Kilimanjaro imepewa kujenga barabara ya Arusha-Moshi kipande cha UsaRiver-KIA kujenga upya barabara tajwa. Miezi miwili sasa hata njia za Diversion...
12 Reactions
61 Replies
1K Views
Ikiwa rais alisema anapunguza milolongo ya misafara yake ili kubana matumizi ya mafuta huu mwenge unakimbizwa kutumia nishati gani? Ni kwa nini katika kipindi cha crisis kama hiki tuendelee...
10 Reactions
27 Replies
509 Views
Wana-JamiiForums, Mnamo Juni 26, 2026, taifa limeshuhudia tamko zito kutoka bungeni jijini Dodoma. Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Patrobas Katambi, ametoa agizo kwa Mkuu vya Jeshi la Polisi...
15 Reactions
36 Replies
598 Views
Nashauri Serikali iunde kitengo maalumu cha kutathmini utendaji wa taasisi za umma na kupokea malalamiko pamoja na maoni ya wananchi. Kitengo hiki kiwe na ofisi hadi ngazi ya wilaya na kiwe na...
6 Reactions
55 Replies
643 Views
Kwa hali inayo endelea katika jiji la Mwanza ambalo limezungukwa na maji ya Ziwa Victoria kukosekana maji na eti RC yupo anazunguka zunguka mjini mjini akipeperusha benders kwenye Gari yake ni...
7 Reactions
63 Replies
1K Views
YAH: OMBI LA KUHARAKISHA UHAMISHO WA WAKURUGENZI WA HALMASHAURI, MAJIJI NA MANISPAA BAADA YA UCHAGUZI MKUU 2025 Mheshimiwa Rais, Kwanza kabisa, tunakupa pongezi kwa juhudi zako kubwa za...
1 Reactions
10 Replies
283 Views
Serikali ilitangaza kuanza kwa mchakato wa kuboresha eneo la Sinza ili kulifanya kuwa la uwekezaji na kwamba Wananchi watapewa maelekezo ya kuyaachia maeneo yao kwa makubaliano maalum ya...
8 Reactions
27 Replies
862 Views
Soma hadi mwisho makala Yangu je Wa kwetu hajanunua PhD ? Chuo hiki kiko na sifa nzuri kimataifa, lakini kama chuo kingine chochote kina udhaifu wake pia. Haya ndiyo yanayorudiwa mara nyingi na...
30 Reactions
55 Replies
1K Views
Watanzania wenzangu, msitolewe kwenye reli. Mara nyingi katika siasa hutokea mijadala, matukio au watu wanaojitokeza ghafla na kuhamisha mjadala kutoka kwenye hoja kuu kwenda kwenye mambo...
12 Reactions
14 Replies
265 Views
Back
Top Bottom