Jukwaa la Sheria (The Legal Forum)

Wewe ni mwanasheria? Je, wahitaji na ufafanuzi kuhusiana na sheria mbalimbali Tanzania? Ni fursa yako ya kuweza kuuliza, kuzipambanua sheria mbalimbali

On JF:

Ni hivi mimi ni mtanzania kabisa sasa niko kenya huku na nimebahatika kupata pikipiki sasa nautaji kuja nayoo home Tanzania 🇹🇿 Je utaratibu ukoje au niuze nije na pesa tuu heri ya mwaka mpya...
1 Reactions
19 Replies
796 Views
I took a mobile app loan for 8 days. On the date of repayment, the company staff started to bombard me with demands for payment. I spoke to three different individuals from the company and...
4 Reactions
3 Replies
4K Views
Dada angu kaolewa miaka karibia 10 Sasa , ana watoto watatu , wamejenga nyumba, na wanamiliki mashamba makubwa ambayo Yana mazao kila mwaka wanavuna. Bwana ake (shemeji) mpaka Sasa hajamtolea...
9 Reactions
65 Replies
3K Views
Naomba kama kuna wakili mkali mwenye rekodi ya uhakika ya kesi za Ardhi nitajiwe hapa ...nna ndugu Wana kesi za Ardhi zinawasumbua sana... Natanguliza shukran
3 Reactions
16 Replies
1K Views
Kuna jirani yangu alipora kipande cha ardhi yangu kwa kuwa sikuwepo kwa muda wa miaka 4 pale nyumbani. Niliporudi na kuona hivyo, nilifungua kesi katika Baraza la Kata. Baraza lilifika kuangalia...
1 Reactions
4 Replies
466 Views
Wanajamvi naomba mwenye taarifa kuhusu kesi ya Chenge aniarifu
1 Reactions
30 Replies
8K Views
Habari ndugu zangu, Niende Moja kwa moja kwenye tatizo langu. 1. Mwaka 2017-2019 niliajiriwa sehemu nikawa nalipwa ujira wangu, nilikuja kuachana nao na kujiunga na taasisi nyingine, Hawa maboss...
0 Reactions
0 Replies
431 Views
Ulisha ona maajabu ya ukatili wakijinsia alafu polisi wana mpooza mke kwa kumpa elfu 50 eti akapike ili yule polisi aje kusuluishia kesi nyumba jioni? Hii imetokea moshi mjini kituo cha mjini...
1 Reactions
3 Replies
439 Views
Je, unatamani kusoma sheria au kuwa Wakili, Hakimu au Jaji? Hongera! Soma vigezo na mlolongo wote hapa chini. Imeletwa kwako nami Zakaria Maseke (Advocate /Wakili ) 0754575246 - WhatsApp...
5 Reactions
1 Replies
31K Views
Habari zenu wadau!, nahitaji ufafanuzi kidogo hapa, nilikuwa na Girlfriend wangu ambaye alipata ujauzito na kuniambia kwamba ni ujauzito wangu. Tangu hapo niliamua kwa upendo tu kumhudumia katika...
7 Reactions
55 Replies
3K Views
Huwa nasikia watu wanashinda kesi za kulipwa fidia, Baada ya hapo huwa kuna mchakato wa Malipo. Kwenye mchakato wa kulipwa unaweza kufanikiwa kulipwa bila connections ama mafungu ya asante ...
2 Reactions
5 Replies
508 Views
Mimi ni mfanyakazi na nimefanya kazi kwa takribani miaka 11 kwenye taasisi hii. Nilikuwa naingia mikataba ya miaka miwili miwili halafu na-rew. Sasa ilipofika mwaka 2015 mwajiri alininipa mkataba...
1 Reactions
4 Replies
693 Views
ULISHA ONA MAAJABU YA UKATILI WAKIJINSIA ALAFU POLISI WANA MPOOZA MKE KWA KUMPA ELFU 50 ETI AKAPIKE ILI YULE POLISI AJE KUSULUISHIA KESI NYUMBA JIONI? HII IMETOKEA MOSHI MJINI KITUO CHA MJINI...
2 Reactions
10 Replies
607 Views
Dereva anatakiwa kutumia honi tu iwapo ni lazima katika kuwaonya watumiaji wengine wa barabara au kuwajulisha kuwa kuna gari nyingie ipo karibu nao. Sheria ya Usalama Barabarani ya mwaka 1973...
5 Reactions
11 Replies
6K Views
Mbunge wa Bariadi Magharibi (CCM), Andrew Chenge. Kesi ya kuendesha gari kwa uzembe na kusababisha vifo vya watu wawili inayomkabili Mbunge wa Bariadi Magharibi (CCM), Andrew...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Chenge kuhukumiwa leo Imeandikwa na Flora Mwakasala; Tarehe: 16th December 2010 @ 06:56 Imesomwa na watu: 3; Jumla ya maoni: 0...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Wakili alalamika imezidi kwa kalenda Asema nenda rudi yafikia mara tano Mbunge wa Bariadi Magharibi, Andrew Chenge...
0 Reactions
1 Replies
3K Views
Kutokana na kuahirishwa hairishwa kwa hukumu ya aliyekuwa Waziri katika serikali ya JK Bw. Andrew Chenge ihusuyo ajali ya barabarani na kuendesha gari bila ya bima kwa miaka kadhaa ikiwemo...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Wadau wa Sheria,Iko hivi Mimi kama msimamizi wa mirathi,nilifatilia mpaka Hela zikawa zimetumwa kwenye akaunti ya mahakama, warithi wakajaza zile form za mgao,tukambiwa tusuburi Hela zitaingia...
3 Reactions
12 Replies
2K Views
Back
Top Bottom