Mr Suprize
JF-Expert Member
- Dec 18, 2014
- 869
- 960
Dada angu kaolewa miaka karibia 10 Sasa , ana watoto watatu , wamejenga nyumba, na wanamiliki mashamba makubwa ambayo Yana mazao kila mwaka wanavuna.
Bwana ake (shemeji) mpaka Sasa hajamtolea mahali dada angu tumejaribu kufwatilia kama family bwana shemej anapiga Kona Kona nyingi sana , Hilo la kwanza .
Kitu cha pili ndo kilichonifanya nije niombe ushauri kwenu , Ni kwamba shemeji yangu mwaka huu kaoa mke wa pili na wanaishi nyumba moja ambayo dada angu anaishi (nyumba ambayo alijenga dada na huyo mume wake)
Baada ya kuingia huyu bi mdogo inaonekana bwana shemeji anamsikiliza sana bi mdogo na hata wazazi wa mume wanamsikiliza sana mke wa pili .
Kuna unyanyapaa dada angu anaupitia ikiwemo kupigwa pale ambapo anadai haki yake ikiwa pamoja na hela ya matumizi.
Kwa Sasa Dada anataka kuachana na huyo mwanaume na sisi kama kaka zake tunatamani iwe hivyo . Shida inakuja kwenye kupata haki zake za Mali walizochuma kama nyumba , pikpk na mashamba ,
Je mwanamke akiomba talaka anaweza akapata mgao wa Mali alizochuma na Mr ake ,
Au utaratibu Gani atumie hapa ili aachane na Mr ake bila kupoteza haki zake za umiliki wa Mali walizochuma??
Msaada wenu
Bwana ake (shemeji) mpaka Sasa hajamtolea mahali dada angu tumejaribu kufwatilia kama family bwana shemej anapiga Kona Kona nyingi sana , Hilo la kwanza .
Kitu cha pili ndo kilichonifanya nije niombe ushauri kwenu , Ni kwamba shemeji yangu mwaka huu kaoa mke wa pili na wanaishi nyumba moja ambayo dada angu anaishi (nyumba ambayo alijenga dada na huyo mume wake)
Baada ya kuingia huyu bi mdogo inaonekana bwana shemeji anamsikiliza sana bi mdogo na hata wazazi wa mume wanamsikiliza sana mke wa pili .
Kuna unyanyapaa dada angu anaupitia ikiwemo kupigwa pale ambapo anadai haki yake ikiwa pamoja na hela ya matumizi.
Kwa Sasa Dada anataka kuachana na huyo mwanaume na sisi kama kaka zake tunatamani iwe hivyo . Shida inakuja kwenye kupata haki zake za Mali walizochuma kama nyumba , pikpk na mashamba ,
Je mwanamke akiomba talaka anaweza akapata mgao wa Mali alizochuma na Mr ake ,
Au utaratibu Gani atumie hapa ili aachane na Mr ake bila kupoteza haki zake za umiliki wa Mali walizochuma??
Msaada wenu