Watu wa Sheria Nisaidieni kwenye hii ndoa ya Dada angu

Mr Suprize

JF-Expert Member
Dec 18, 2014
869
960
Dada angu kaolewa miaka karibia 10 Sasa , ana watoto watatu , wamejenga nyumba, na wanamiliki mashamba makubwa ambayo Yana mazao kila mwaka wanavuna.
Bwana ake (shemeji) mpaka Sasa hajamtolea mahali dada angu tumejaribu kufwatilia kama family bwana shemej anapiga Kona Kona nyingi sana , Hilo la kwanza .

Kitu cha pili ndo kilichonifanya nije niombe ushauri kwenu , Ni kwamba shemeji yangu mwaka huu kaoa mke wa pili na wanaishi nyumba moja ambayo dada angu anaishi (nyumba ambayo alijenga dada na huyo mume wake)
Baada ya kuingia huyu bi mdogo inaonekana bwana shemeji anamsikiliza sana bi mdogo na hata wazazi wa mume wanamsikiliza sana mke wa pili .

Kuna unyanyapaa dada angu anaupitia ikiwemo kupigwa pale ambapo anadai haki yake ikiwa pamoja na hela ya matumizi.

Kwa Sasa Dada anataka kuachana na huyo mwanaume na sisi kama kaka zake tunatamani iwe hivyo . Shida inakuja kwenye kupata haki zake za Mali walizochuma kama nyumba , pikpk na mashamba ,

Je mwanamke akiomba talaka anaweza akapata mgao wa Mali alizochuma na Mr ake ,
Au utaratibu Gani atumie hapa ili aachane na Mr ake bila kupoteza haki zake za umiliki wa Mali walizochuma??
Msaada wenu
 
Dada angu kaolewa miaka karibia 10 Sasa , ana watoto watatu , wamejenga nyumba, na wanamiliki mashamba makubwa ambayo Yana mazao kila mwaka wanavuna.
Bwana ake (shemeji) mpaka Sasa hajamtolea mahali dada angu tumejaribu kufwatilia kama family bwana shemej anapiga Kona Kona nyingi sana , Hilo la kwanza .

Kitu cha pili ndo kilichonifanya nije niombe ushauri kwenu , Ni kwamba shemeji yangu mwaka huu kaoa mke wa pili na wanaishi nyumba moja ambayo dada angu anaishi (nyumba ambayo alijenga dada na huyo mume wake)
Baada ya kuingia huyu bi mdogo inaonekana bwana shemeji anamsikiliza sana bi mdogo na hata wazazi wa mume wanamsikiliza sana mke wa pili .

Kuna unyanyapaa dada angu anaupitia ikiwemo kupigwa pale ambapo anadai haki yake ikiwa pamoja na hela ya matumizi.

Kwa Sasa Dada anataka kuachana na huyo mwanaume na sisi kama kaka zake tunatamani iwe hivyo . Shida inakuja kwenye kupata haki zake za Mali walizochuma kama nyumba , pikpk na mashamba ,

Je mwanamke akiomba talaka anaweza akapata mgao wa Mali alizochuma na Mr ake ,
Au utaratibu Gani atumie hapa ili aachane na Mr ake bila kupoteza haki zake za umiliki wa Mali walizochuma??
Msaada wenu
As long as Ana miguu mikono na macho "Mali zinatafutwa" akajitafute vya kwake
 
Dada angu kaolewa miaka karibia 10 Sasa , ana watoto watatu , wamejenga nyumba, na wanamiliki mashamba makubwa ambayo Yana mazao kila mwaka wanavuna.
Bwana ake (shemeji) mpaka Sasa hajamtolea mahali dada angu tumejaribu kufwatilia kama family bwana shemej anapiga Kona Kona nyingi sana , Hilo la kwanza .

Kitu cha pili ndo kilichonifanya nije niombe ushauri kwenu , Ni kwamba shemeji yangu mwaka huu kaoa mke wa pili na wanaishi nyumba moja ambayo dada angu anaishi (nyumba ambayo alijenga dada na huyo mume wake)
Baada ya kuingia huyu bi mdogo inaonekana bwana shemeji anamsikiliza sana bi mdogo na hata wazazi wa mume wanamsikiliza sana mke wa pili .

Kuna unyanyapaa dada angu anaupitia ikiwemo kupigwa pale ambapo anadai haki yake ikiwa pamoja na hela ya matumizi.

Kwa Sasa Dada anataka kuachana na huyo mwanaume na sisi kama kaka zake tunatamani iwe hivyo . Shida inakuja kwenye kupata haki zake za Mali walizochuma kama nyumba , pikpk na mashamba ,

Je mwanamke akiomba talaka anaweza akapata mgao wa Mali alizochuma na Mr ake ,
Au utaratibu Gani atumie hapa ili aachane na Mr ake bila kupoteza haki zake za umiliki wa Mali walizochuma??
Msaada wenu
Kazi kwelikweli,hapo inapigiwa timing mali.Nilishawahi kusema humu ndoa bila ya kuwa karibu na Mungu usitegemee muujiza...
 
Je, wameoana kisheria?
Kama jibu ni ndio, basi dada yako ana haki zote za mgawanyo wa hizo mali.
Kama jibu ni hapana, anaweza kutengeneza mazingira ya kisheria (ushahidi wa kuonyesha waliishi kama mume na mke kwa kipindi chote hicho) ili ndoa itambulike.

Talaka ni mchakato, ni haki ya mwanandoa. Aanzie ustawi wa jamii ili apewe muongozo na mwisho atafika mahakama ya mwanzo kufungua shauri la kuomba talaka.

Kuhusu mambo ya kudai mahali, hayo nawashauri muachane nayo (ni fikra za utumwa na umasikini), waachieni wazee wenu na wazee wake watifuane, jadi itaamua yenyewe.
 
Dada yako hajaolewa,sema walikubaliana na huyo shemeji yenu waishi kama mke na mume!

Kama huyo mwanamke wa pili kaolewa na katolewa mahari ndiye mke halali!

Pia,mali walizochuma shemeji yenu pamoja na dada yenu nizao wote,huyo Bi mdogo aliyekuja akazikuta hazimuhusu!

Swali!

Kwanini jamaa kaamua kutafuta mwanamke mwingine akaamua kumuacha dada yenu?,maana mnaweza kumlaumu jamaa kumbe dada yenu akawa na matatizo ambayo hayavumiliki!
Mara zote wanawake huongea na kuwasagia kunguni wanaume ili waonekane wabaya kumbe wao ndiyo wakawa na matatizo makubwa!

Haiwezekani wamekaa miaka 10 halafu Leo jamaa amuache mwanamke wake ambaye wamechuma wote mali akaoe mwanamke mwingine!,hapo Kuna tatizo!
 
Minaona nyie mnawaza mali zaidi ya utu.
Kama mnataka kumsaidia dadaenu kaeni nae kisha mfanye maamuzi kama wanaume.
Hali kama hii dada yangu aliwahi kuipitia na nilicho fanya nilienda kumtembelea na nikaangalia aina ya maisha anayo yaishi ukweli nilipata uchungu sana baada ya kunisimulia manyanyaso anayo yapata.
Nilicho fanya ni kuhakikisha namuachia nauli ya kutosha yeye na mtoto wake, kisha nikaondoka.
Dada yangu aliondoka kwenye ile familia na aliacha kilakitu akaja kuanza upya na leo Mungu amembariki yale yote alio yaacha kule alipo olewa.
 
Je, wameoana kisheria?
Kama jibu ni ndio, basi dada yako ana haki zote za mgawanyo wa hizo mali.
Kama jibu ni hapana, anaweza kutengeneza mazingira ya kisheria (ushahidi wa kuonyesha waliishi kama mume na mke kwa kipindi chote hicho) ili ndoa itambulike.

Talaka ni mchakato, ni haki ya mwanandoa. Aanzie ustawi wa jamii ili apewe muongozo na mwisho atafika mahakama ya mwanzo kufungua shauri la kuomba talaka.

Kuhusu mambo ya kudai mahali, hayo nawashauri muachane nayo (ni fikra za utumwa na umasikini), waachieni wazee wenu na wazee wake watifuane, jadi itaamua yenyewe.
Anaficha huyo , dada yake ni kimada yale ya sogea ni nikae mpaka wanazaa watoto 3.
 
Dada angu kaolewa miaka karibia 10 Sasa , ana watoto watatu , wamejenga nyumba, na wanamiliki mashamba makubwa ambayo Yana mazao kila mwaka wanavuna.
Bwana ake (shemeji) mpaka Sasa hajamtolea mahali dada angu tumejaribu kufwatilia kama family bwana shemej anapiga Kona Kona nyingi sana , Hilo la kwanza .

Kitu cha pili ndo kilichonifanya nije niombe ushauri kwenu , Ni kwamba shemeji yangu mwaka huu kaoa mke wa pili na wanaishi nyumba moja ambayo dada angu anaishi (nyumba ambayo alijenga dada na huyo mume wake)
Baada ya kuingia huyu bi mdogo inaonekana bwana shemeji anamsikiliza sana bi mdogo na hata wazazi wa mume wanamsikiliza sana mke wa pili .

Kuna unyanyapaa dada angu anaupitia ikiwemo kupigwa pale ambapo anadai haki yake ikiwa pamoja na hela ya matumizi.

Kwa Sasa Dada anataka kuachana na huyo mwanaume na sisi kama kaka zake tunatamani iwe hivyo . Shida inakuja kwenye kupata haki zake za Mali walizochuma kama nyumba , pikpk na mashamba ,

Je mwanamke akiomba talaka anaweza akapata mgao wa Mali alizochuma na Mr ake ,
Au utaratibu Gani atumie hapa ili aachane na Mr ake bila kupoteza haki zake za umiliki wa Mali walizochuma??
Msaada wenu
Je, una uhakika kuwa Mali hizo ulizozitaja hao Watu walichuma wote kwa nguvu ya pamoja, yaani mali hizo ni Chumo la Ndoa?? Dada yako hakumkuta nazo hizo Mali huyo mtu unayedai kuwa ni mume wake??? Huyo mke wa Pili aliingia na kuishi kwenye nyumba waliyojenga kwa makubaliano gani kati ya huyo dada yako na huyo mume wake??

Endapo kama kweli Mali hizo ni Chumo la Ndoa, Basi hakuna wasiwasi kwamba dada yako anaweza akadhulumiwa endapo kama ataamua kuomba talaka na kudai haki yake kuhusiana na Mali hizo.

Kwa Sheria za Tanzania, uwepo wa ndoa kati ya mume na mke hauthibitishwi kwa kuwepo kwa vyeti vya ndoa tu peke yake, Bali hata kwa kitendo cha watu hao wawili kuishi pamoja 'pika na kupakua' kwa muda usiopungua miaka miwili mfululizo na majirani (jamii) ikiwa inafahamu kuwa watu hao ni mume na mke. Kitendo hiki peke yake ni uthibitisho tosha kabisa kwamba kuna ndoa Kati ya Watu hao wawili. Rejea kwenye Sheria ya Ndoa ya 1971 (na Marejeo yake) kuhusu kitu kinachoitwa "Dhana ya Ndoa" au Presumption of Marriage.
 
Back
Top Bottom