Jukwaa la Mapishi

Mijadala mbalimbali ya wanajamii inayohusiana na mapishi
Inawezekana ukapata mgeni wa ghafla nyumbani kwako, na ukawaza sana nini cha kumuandalia, au kama si ghafla basi hata kwa appointment, usifanye complication sana, tafuta kitu simple...
9 Reactions
61 Replies
35K Views
Kwa wote wanaopenda ku bake.. mimi kupika si kwa vile sana lakini ku bake na penda sana.. mwaka huu nimejaribu hii new recipe.. Cake yangu iko kwenye Oven ina umuka taaaaaratibu .. Nikaona...
3 Reactions
7 Replies
2K Views
Mahitaji 1)Unga 12 tablespoon.. 2)mayai 6 3)siagi 1/4 kg (punguza kidogo ili keki isiwe na mafuta mengi). 4)sukari 1/4 kg.. 5)rangi (food cloring) upendazo.. 6)baking powder 1 teaspoon...
8 Reactions
45 Replies
7K Views
Habari wana JF Chef! Tafiti zinaonesha ndoa nyingi zinavunjika majumbani na sababu ni wakina Mama na wakina Dada kilasiku kuunguza WALI, na sababu kubwa ni kushinda kwenye Tv , Vikoba ...
10 Reactions
38 Replies
18K Views
Nimejaribu hivi karibuni nimegundua ni mtamuuu. Pika uji wako kama kawaida ila hakikisha umeweka hiliki kabla haujaanza kuchemka halafu maziwa weka Mwishoni yatokote kidogo na uji.
0 Reactions
1 Replies
3K Views
Habarini wapendwa...naombeni msaada juu ya upambaji was keki coz kupika naweza sema kupamba sijui naombeni msaada wenu nataka nimpikie baby wangu karibia brtdy take so sitaki kununua nataka...
0 Reactions
15 Replies
23K Views
Habari zenu wanajf, jaman naomba maarifa juu ya chapati za maji kuganda kwenye chuma, husababishwa na nini, na litokeapo nifanyeje ili chapati znazofata zitokee vizuri?
0 Reactions
18 Replies
8K Views
Mwadilla Marafiki zangu leo tutajifunza namna ya kuandaa juice ya maembe na karoti UTAYARISHAJI WAKE Chukua maembe 5 au kiasi chako, chukua karoti 3, tangawizi kidogo, kisha anza kuviosha kwa...
4 Reactions
26 Replies
25K Views
Mahitajiiliki chumvi mafuta ya kupikia maziwa(2cups) unga wa ngano mags 3 siagi(40gr) sukari(80gr) hamira(10gr) yai 1 chungwa 1 Sukari ya juu unaweza tumia njia mbili ya kwanza ni icing sugar...
2 Reactions
8 Replies
7K Views
Application ya simu (Mapishi), Inafanyakazi katika simu za android (bila ya internet), Katika program hii ya Kiswahili kuna kila aina ya mapishi. Download hapa, Mapishi Application
8 Reactions
44 Replies
18K Views
Zama hizo ilikuwa ikisikika kuwa watu wazima wa haja walikuwa wakikanda unga wa ngano wa kutengenezea mikate kwa kutumia miguu ! Nimekuwa nikijiuliza hivi haya mambo yalikuwa ya kweli au ni stori...
2 Reactions
43 Replies
10K Views
Habari za jikoni wapishi! Nimeona fursa ya biashara mahala, wateja wanahitaji TENDE SHAKE na bei yake(as per market research) ni nzuri!naomba dondoo ya utengenezaji! Wasalam Mapishi mema!
1 Reactions
4 Replies
6K Views
Tafadhali msaada wako unahitajika ewe msomaji.
0 Reactions
17 Replies
19K Views
MAHITAJI - Maji safi -Majani ya chai -Chombo cha kuchemshia(sufulia nk.) -Chanzo cha nishati( jiko la mkaa,mafuta nk.) Nb: kabla ya kuchemsha chai zingati idadi ya watumiaji...
4 Reactions
65 Replies
21K Views
Habari zenu wadau,binafsi nilikuwa nina mpango wa kuanza kuuza juisi za matunda fresh za aina mbalimbali,sandwich,hamburg na vitu vitamu vitamu mvijuavyo ili niweze kujiongezea kipato. Sasa ombi...
0 Reactions
10 Replies
13K Views
Mahitaji 1)Strawberries 2)Embe ya kuwiva 3)Mtindi 4)Maziwa 5)Vipande vya barafu 6)Sukar Namna ya kutaarisha.. 1)Ondoa vichwa vya strawberries then zioshe 2)Osha embe na katakata vipande...
7 Reactions
29 Replies
7K Views
Naombeni kuuliza ni wapi nitapata pilipili aina ya shitto kwa hapa Tanzania!? Kwa wale wanayoijua tafadhali ni habarisheni hii kitu plsee! Hii ni pilipili ya wenyeji wa nchini Ghana.
0 Reactions
14 Replies
3K Views
Asalaam Aleikhum waugwana! Taeadhali naomba msaada mwenye recipe za kutengeneza wine. Wabillah tawfiq
0 Reactions
5 Replies
6K Views
Naomba anayejua recipe ya kupika huu mchele wa brown anipatie ujuzi.
0 Reactions
3 Replies
5K Views
Habari zenu wadau wa maakuli? Mimi nilikuwa napenda kufahamu ungependa upate viungo gani vya chakula ambavyo vimeshaandalliwa na kufungashwa ili kurahisisha mapishi yako.... Nawakaribisha...
4 Reactions
8 Replies
4K Views
Back
Top Bottom