Jukwaa la Mapishi

Mijadala mbalimbali ya wanajamii inayohusiana na mapishi
Salama ? tunaomba kufahamu MICROWAVE Iliyo bora kwa wale walio na uzoefu wa muda mrefu tafadhali, , , tulikuwa tunatumia moja aina ya SUMSANG imetusumbua sana kwa muda mfupi hata...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Habari zenu... Leo nimepata wzo:lets share tricks za jikoni,hope kila mtu ana za kwako.... Ntaanza mimi lol.... #1 ) jinsi ya kutumia mdalasini (cinamon) kuondoa harufu mbaya jikoni.....mfano...
6 Reactions
48 Replies
9K Views
Habari wandugu, mwenye recipe ya kaimati au gulab jamun naomba atumwagie uwanjani.....unajua mchele mmoja mapishi elfu moja..mambo ya jioni haya na gahawa!
1 Reactions
3 Replies
2K Views
Asalam alykum all members of jf chef. Naomba kufundishwa juu ya matayarisho ya ile nyama tunaoweka katikati ya burger. Kwa upande wa ule mkate sina tatizo, ila kama ntapata recipe yake pia sio...
2 Reactions
55 Replies
8K Views
Jamani my X-mas is boring coz siko na familia; naombeni muifanye exciting kwa kunitupiemo recipes mpya mpya na tamu tamu ili nijipikirishe. Asanteni in advance cc: farkhina, mimi49, amu...
4 Reactions
8 Replies
2K Views
Wananchi wa Zambia ambayo ni maarufu kwa uchimbaji madini ya shaba barani Afrika, wamejivumbulia biashara ya viwavi jeshi, inayowaingizia kipato kikubwa, na kuwa na soko kubwa kwa nchi za kusini...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Viamba vya upishi Maharage meupe mabichi Nyanya moja kubwa Soseji 4 za nyama Mafuta ya alizeti kijiko 1 cha mezani Chumvi kiasi Pilipili hoho 1 Majani ya basil Yai moja Unga wa pilipili kali...
0 Reactions
4 Replies
5K Views
  • Redirect
Viamba vya upishi 1. Manda za sambusa kiachi 40 -50 2. Mafuta ya kukaangia lita moja 3. Nyama ya kuku iliyosagwa kilo moja 4. Kitunguu saumu na tangawizi iliyosagwa kijiko kimoja 5...
2 Reactions
Replies
Views
Get a free ebook exclusively dedicated for that subject. The book title is “Top Chef Tips and Cooking Information” Each week there is a free ebook to be downloaded which has been voted by...
2 Reactions
1 Replies
965 Views
Nina packets of cooking chocolate nashindwa kubuni pishi la kuitumia, tafahali mwenye mapishi mazuri aniandikie. Asanteni
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Mahitaji Mchele kg 1 Shrimp Kitunguu maji 2. .kata chembamba Thomu 1teaspoon Tangawizi 1teaspoon Mixed vegetablea Mayai 2-3 Bizari ya pilau 1teaspoon.. Mafuta ya kupikia Chumvi kiasi Namna ya...
9 Reactions
69 Replies
10K Views
  • Redirect
Mahitaji Mchele kikombe 1 Tui la nazi kikombe 3/4- 1 Hamira 1 teaspoon Hiliki kiasi Ute wa yai 1 Sukari 3/4 kikombe Namna ya kutaarisha 1)Roweka mchele usiku 1 2)Saga kwenye blenda...
16 Reactions
Replies
Views
Mahitaji 1) Nyama ya kusaga 1/2 kg 2) Kitunguu thomu 1 teaspoon 3) Tangawizi 1 teaspoon. 4) Bizari ya pilau 1 teaspoon 5) Curry powder 1 teaspoon 6) Pilipili manga..1 teaspoon 7) Chumvi kiasi 8)...
9 Reactions
21 Replies
11K Views
nyanya zitaandaliwa kutegemea na idadi ya watu.. matayarisho: andaa nyanya zilizoiva kwa kuziosha vyema kisha zimenye halafu weka kwenye blenda au unaweza kutumia kinu kidogo kuponda ponda na...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Miaka kama sabna iliyopita nilikuwa kwenye mizunguko city center mara kufika mtaa wa Lumumba CRDB kuna mtaa wenye ofisi za TRA hapo kulikuwa na kimgahawa cha watu wenye asili ya kiarabu...
4 Reactions
25 Replies
5K Views
mahitaji biringanya kama 4,chumvi,pilipili iliyotangwa pamoja na kitunguu swaumu jinsi ya kuandaa:katakata mabiringanya slices ndogondogo kisha weka kwenye bakuli uliloweka chumvi...
9 Reactions
54 Replies
7K Views
  • Redirect
Mahitaji 1)Tambi 500g 2) maji 3-4cups 3)sukari 1 cup 4)1/4 hiliki iliyotwangwa 5)tui la nazi 1 cup 6)samli 1 tablespoon. 7)Arki ya rose au flavor yoyote unayopendelea Namna ya kutaarisha...
11 Reactions
Replies
Views
  • Redirect
Mahitaji Mchele kikombe 1 Hiliki kiasi Sukari 1/2-3/4 Yai 1 Tui la nazi vikombe 2 Hamira kijiko cha chai kimoja Namna ya kutaarisha 1)Osha mchele na roweka hadi uwe laini kiasi. 2)weka...
10 Reactions
Replies
Views
Nani humu ni mpenzi wa Jamaican jerk chicken kama mimi?
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Za hapa japo sijaingiaga huku muda sasa ila leo nataka kukuhabarisha kazi ya ubuyu(wenye rangi) katika viazi vya kukaanga. Unakata kati kati na kuvichemsha kidogo viaz vyako mbatata bila kusahau...
2 Reactions
7 Replies
2K Views
Back
Top Bottom