Salama ? tunaomba kufahamu MICROWAVE Iliyo bora kwa wale walio na uzoefu wa muda mrefu tafadhali, , , tulikuwa tunatumia moja aina ya SUMSANG imetusumbua sana kwa muda mfupi hata...
Habari zenu...
Leo nimepata wzo:lets share tricks za jikoni,hope kila mtu ana za kwako....
Ntaanza mimi lol....
#1 ) jinsi ya kutumia mdalasini (cinamon) kuondoa harufu mbaya jikoni.....mfano...
Habari wandugu, mwenye recipe ya kaimati au gulab jamun naomba atumwagie uwanjani.....unajua mchele mmoja mapishi elfu moja..mambo ya jioni haya na gahawa!
Asalam alykum all members of jf chef.
Naomba kufundishwa juu ya matayarisho ya ile nyama tunaoweka katikati ya burger.
Kwa upande wa ule mkate sina tatizo, ila kama ntapata recipe yake pia sio...
Jamani my X-mas is boring coz siko na familia; naombeni muifanye exciting kwa kunitupiemo recipes mpya mpya na tamu tamu ili nijipikirishe.
Asanteni in advance
cc: farkhina, mimi49, amu...
Wananchi wa Zambia ambayo ni maarufu kwa uchimbaji madini ya shaba barani Afrika, wamejivumbulia biashara ya viwavi jeshi, inayowaingizia kipato kikubwa, na kuwa na soko kubwa kwa nchi za kusini...
Viamba vya upishi
Maharage meupe mabichi
Nyanya moja kubwa
Soseji 4 za nyama
Mafuta ya alizeti kijiko 1 cha mezani
Chumvi kiasi
Pilipili hoho 1
Majani ya basil
Yai moja
Unga wa pilipili kali...
Viamba vya upishi
1. Manda za sambusa kiachi 40 -50
2. Mafuta ya kukaangia lita moja
3. Nyama ya kuku iliyosagwa kilo moja
4. Kitunguu saumu na tangawizi iliyosagwa kijiko kimoja
5...
Get a free ebook exclusively dedicated for that subject. The book title is Top Chef Tips and Cooking Information
Each week there is a free ebook to be downloaded which has been voted by...
Mahitaji
Mchele kg 1
Shrimp
Kitunguu maji 2. .kata chembamba
Thomu 1teaspoon
Tangawizi 1teaspoon
Mixed vegetablea
Mayai 2-3
Bizari ya pilau 1teaspoon..
Mafuta ya kupikia
Chumvi kiasi
Namna ya...
Mahitaji
Mchele kikombe 1
Tui la nazi kikombe 3/4- 1
Hamira 1 teaspoon
Hiliki kiasi
Ute wa yai 1
Sukari 3/4 kikombe
Namna ya kutaarisha
1)Roweka mchele usiku 1
2)Saga kwenye blenda...
nyanya zitaandaliwa kutegemea na idadi ya watu..
matayarisho:
andaa nyanya zilizoiva kwa kuziosha vyema kisha zimenye halafu weka kwenye blenda au unaweza kutumia kinu kidogo kuponda ponda na...
Miaka kama sabna iliyopita nilikuwa kwenye mizunguko city center mara kufika mtaa wa Lumumba CRDB kuna mtaa wenye ofisi za TRA hapo kulikuwa na kimgahawa cha watu wenye asili ya kiarabu...
mahitaji biringanya kama 4,chumvi,pilipili iliyotangwa pamoja na kitunguu swaumu
jinsi ya kuandaa:katakata mabiringanya slices
ndogondogo kisha weka kwenye bakuli uliloweka chumvi...
Mahitaji
1)Tambi 500g
2) maji 3-4cups
3)sukari 1 cup
4)1/4 hiliki iliyotwangwa
5)tui la nazi 1 cup
6)samli 1 tablespoon.
7)Arki ya rose au flavor yoyote unayopendelea
Namna ya kutaarisha...
Mahitaji
Mchele kikombe 1
Hiliki kiasi
Sukari 1/2-3/4
Yai 1
Tui la nazi vikombe 2
Hamira kijiko cha chai kimoja
Namna ya kutaarisha
1)Osha mchele na roweka hadi uwe laini kiasi.
2)weka...
Za hapa japo sijaingiaga huku muda sasa ila leo nataka kukuhabarisha kazi ya ubuyu(wenye rangi) katika viazi vya kukaanga. Unakata kati kati na kuvichemsha kidogo viaz vyako mbatata bila kusahau...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.