Kuku na viazi vya kuoka

farkhina

Platinum Member
Mar 14, 2012
14,568
16,906
Mahitaji kwa ajili ya kuku....

Kuku 1.

Limau.

Curry powder 1/2 teaspoon

Paprika 1/2 teaspoon

Tandoor masala 1/2 teaspoon

Tangawizi 1/2 teaspoon

Bizari ya pilai 1/2 teaspoon

Kitunguu saumu 1/2 teaspoon

Chumvi kiasi..

Pilipili ya kuwasha na pilipili manga 1/4 kila moja

Tomato ketchup 3 tablespoon...

Namna ya kutaarisha kuku...

Katakata kuku vipande vipande

Weka viungo vyote bila kusahau chumvi na limao..

Wacha vikolee vizuri walau lisaa 1 au usiku mmoja ila hifadhi katika friji...

Weka katika oven moto mdogo mdogo ili wawive vizuri...

Toa wakiwa tayar wamewiva na kuwa brown...


Namna ya kutaarisha viazi...

Katakata viazi vyako kama vya chipsi ila viwe vinene zaidi...

Chemsa kwa dakika 5 mpaka 7....

Chuja maji mwaga na weka viazi katika tray weka chumvi kiasi na miminia mafuta juu kiasi...ukipenda weka spices upendazo...

Bake moto kiasi...

Toa weka mezani...

Ukipenda waweza katia na saladi
 

Attachments

  • 20150214_141045.jpg
    20150214_141045.jpg
    310.4 KB · Views: 1,191
  • 20150214_122414.jpg
    20150214_122414.jpg
    224.3 KB · Views: 898
  • 20150214_114604.jpg
    20150214_114604.jpg
    235.2 KB · Views: 977
Kwa wali ambao mmeulizia namna ya kupika kiazi kwa kubake na wale ambao hawapendi mafuta hii recipe itawafaa karibu wote....
 
Mahitaji kwa ajili ya kuku....

Kuku 1.

Limau.

Curry powder 1/2 teaspoon

Paprika 1/2 teaspoon

Tandoor masala 1/2 teaspoon

Tangawizi 1/2 teaspoon

Bizari ya pilai 1/2 teaspoon

Kitunguu saumu 1/2 teaspoon

Chumvi kiasi..

Pilipili ya kuwasha na pilipili manga 1/4 kila moja

Tomato ketchup 3 tablespoon...

Namna ya kutaarisha kuku...

Katakata kuku vipande vipande

Weka viungo vyote bila kusahau chumvi na limao..

Wacha vikolee vizuri walau lisaa 1 au usiku mmoja ila hifadhi katika friji...

Weka katika oven moto mdogo mdogo ili wawive vizuri...

Toa wakiwa tayar wamewiva na kuwa brown...

Nyongeza tu....

Kabla ya kupaka hivyo viungo vingine kwenye kuku, vipake kwanza na mafuta ya extra virgin olive oil halafu ndo upake hivyo vingine.

Huwa yanakoleza vizuri sana ladha.

k2-_b82e6451-4b68-42a5-a7e2-e258963336c4.v1.jpg
 
Mahitaji kwa ajili ya kuku....

Kuku 1.

Limau.

Curry powder 1/2 teaspoon

Paprika 1/2 teaspoon

Tandoor masala 1/2 teaspoon

Tangawizi 1/2 teaspoon

Bizari ya pilai 1/2 teaspoon

Kitunguu saumu 1/2 teaspoon

Chumvi kiasi..

Pilipili ya kuwasha na pilipili manga 1/4 kila moja

Tomato ketchup 3 tablespoon...

Namna ya kutaarisha kuku...

Katakata kuku vipande vipande

Weka viungo vyote bila kusahau chumvi na limao..

Wacha vikolee vizuri walau lisaa 1 au usiku mmoja ila hifadhi katika friji...

Weka katika oven moto mdogo mdogo ili wawive vizuri...

Toa wakiwa tayar wamewiva na kuwa brown...


Namna ya kutaarisha viazi...

Katakata viazi vyako kama vya chipsi ila viwe vinene zaidi...

Chemsa kwa dakika 5 mpaka 7....

Chuja maji mwaga na weka viazi katika tray weka chumvi kiasi na miminia mafuta juu kiasi...ukipenda weka spices upendazo...

Bake moto kiasi...

Toa weka mezani...

Ukipenda waweza katia na saladi

Udenda umenitoka mana nimeisoma asubuhi still on bed na njaa inauma..lol
 
Athantee...hivyo viazi nikiweka pilipili manga vitanogajee...duh Dinazarde njoo tujirambeee
 
Last edited by a moderator:
Asante sana mamii
Hii ntaindaa siku ya kuzaliwa ya mtu....
Rahisi na haraka

Be blessed
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom