Mahitaji:
1.Mchele nusu kilo.
2.Kuku 1 kata vipande vipande...mroweke na tangawizi na chumvi.
3.Carrot 1 ikwangue.
4.Green peas/njegere kiasi.
5.Kitunguu kikubwa kimoja.
6.Mchanganyiko wa spices upendazo.
7.Kotmir au persley ukipenda.
8.Mafuta ya kupikia.
Namna ya kutaarisha:
Weka mafuta kiasi katika sufuria
Mkaange kuku hadi awe golden brown alafu mtoe weka pembeni.
Kaanga vitunguj maji kikikaribia kuwa brown weka peas na carrot wacha viwive kwa dakika 2-5.
Weka mchele changanya vizuri...weka kuku wako ulimkaanga na weka kotmir uliokata ndogo ndogo.
Punguzia moto weka maji kutokana na mchele wako na funika sufuria hadi kuwiva.
Kama haukauka vizuri weka katika oven au wekea mkaa juu.
Epua tayari kwa kuliwa.
1.Mchele nusu kilo.
2.Kuku 1 kata vipande vipande...mroweke na tangawizi na chumvi.
3.Carrot 1 ikwangue.
4.Green peas/njegere kiasi.
5.Kitunguu kikubwa kimoja.
6.Mchanganyiko wa spices upendazo.
7.Kotmir au persley ukipenda.
8.Mafuta ya kupikia.
Namna ya kutaarisha:
Weka mafuta kiasi katika sufuria
Mkaange kuku hadi awe golden brown alafu mtoe weka pembeni.
Kaanga vitunguj maji kikikaribia kuwa brown weka peas na carrot wacha viwive kwa dakika 2-5.
Weka mchele changanya vizuri...weka kuku wako ulimkaanga na weka kotmir uliokata ndogo ndogo.
Punguzia moto weka maji kutokana na mchele wako na funika sufuria hadi kuwiva.
Kama haukauka vizuri weka katika oven au wekea mkaa juu.
Epua tayari kwa kuliwa.