Wali kuku wa kukaanga

farkhina

Platinum Member
Mar 14, 2012
14,568
16,906
Mahitaji:

1.Mchele nusu kilo.

2.Kuku 1 kata vipande vipande...mroweke na tangawizi na chumvi.

3.Carrot 1 ikwangue.

4.Green peas/njegere kiasi.

5.Kitunguu kikubwa kimoja.

6.Mchanganyiko wa spices upendazo.

7.Kotmir au persley ukipenda.

8.Mafuta ya kupikia.

Namna ya kutaarisha:

Weka mafuta kiasi katika sufuria

Mkaange kuku hadi awe golden brown alafu mtoe weka pembeni.

Kaanga vitunguj maji kikikaribia kuwa brown weka peas na carrot wacha viwive kwa dakika 2-5.

Weka mchele changanya vizuri...weka kuku wako ulimkaanga na weka kotmir uliokata ndogo ndogo.

Punguzia moto weka maji kutokana na mchele wako na funika sufuria hadi kuwiva.

Kama haukauka vizuri weka katika oven au wekea mkaa juu.

Epua tayari kwa kuliwa.
 

Attachments

  • 1422156356876.jpg
    1422156356876.jpg
    62 KB · Views: 1,596
  • 1422156384709.jpg
    1422156384709.jpg
    63.6 KB · Views: 1,533
  • 1422156407361.jpg
    1422156407361.jpg
    62.2 KB · Views: 1,555
  • 1422156427816.jpg
    1422156427816.jpg
    74.6 KB · Views: 1,568
Mahitaji...

Mchele nusu kilo...

Kuku 1 kata vipande vipande...mroweke na tangawizi na chumvi

Carrot 1 ikwangue...

Green peas/njegere kiasi..

Kitunguu kikubwa 1..

Mchanganyiko wa spices upendazo..

Kotmir au persley ukipenda.

Mafuta ya kupikia...

Namna ya kutaarisha

Weka mafuta kiasi katika sufuria

Mkaange kuku hadi awe golden brown alafu mtoe weka pembeni...

Kaanga vitunguj maji kikikaribia kuwa brown weka peas na carrot wacha viwive kwa dakika 2-5.

Weka mchele changanya vizuri...weka kuku wako ulimkaanga na weka kotmir uliokata ndogo ndogo

Punguzia moto...weka maji kutokana na mchele wako na funika sufuria hadi kuwiva....

Kama haukauka vizuri weka katika oven au wekea mkaa juu...

Epua tayari kwa kuliwa
Ukhty Yaa Qammar..Hebu ntilie take-way 'angu nkale hukooo!!
 
Back
Top Bottom