Jukwaa la Mapishi

Mijadala mbalimbali ya wanajamii inayohusiana na mapishi
MAHITAJI - Maji safi -Majani ya chai -Chombo cha kuchemshia(sufulia nk.) -Chanzo cha nishati( jiko la mkaa,mafuta nk.) Nb: kabla ya kuchemsha chai zingati idadi ya watumiaji...
4 Reactions
65 Replies
19K Views
Habari zenu wadau,binafsi nilikuwa nina mpango wa kuanza kuuza juisi za matunda fresh za aina mbalimbali,sandwich,hamburg na vitu vitamu vitamu mvijuavyo ili niweze kujiongezea kipato. Sasa ombi...
0 Reactions
10 Replies
12K Views
Mahitaji 1)Strawberries 2)Embe ya kuwiva 3)Mtindi 4)Maziwa 5)Vipande vya barafu 6)Sukar Namna ya kutaarisha.. 1)Ondoa vichwa vya strawberries then zioshe 2)Osha embe na katakata vipande...
7 Reactions
29 Replies
7K Views
Naombeni kuuliza ni wapi nitapata pilipili aina ya shitto kwa hapa Tanzania!? Kwa wale wanayoijua tafadhali ni habarisheni hii kitu plsee! Hii ni pilipili ya wenyeji wa nchini Ghana.
0 Reactions
14 Replies
3K Views
Asalaam Aleikhum waugwana! Taeadhali naomba msaada mwenye recipe za kutengeneza wine. Wabillah tawfiq
0 Reactions
5 Replies
5K Views
Naomba anayejua recipe ya kupika huu mchele wa brown anipatie ujuzi.
0 Reactions
3 Replies
4K Views
Habari zenu wadau wa maakuli? Mimi nilikuwa napenda kufahamu ungependa upate viungo gani vya chakula ambavyo vimeshaandalliwa na kufungashwa ili kurahisisha mapishi yako.... Nawakaribisha...
4 Reactions
8 Replies
4K Views
Mahitaji Viazi kilo 1 Samaki asie na miba Limau 1 Karot 1 ndogo ipare Pilipili mboga 1 rangi upendayo kata ndogo ndogo Kitunguu maji 1 kidogo kata ndogo ndogo Kitunguu saumu 1/2 teaspoon...
11 Reactions
27 Replies
11K Views
Recipe Mahitaji 1 kikombe unga wa corn flower/ 1kikombe brown sugar 2 vikombe white sugar 3 cup maji 1kijiko kimoja cha chai kungu manga Zafarani kijiko kimoja cha chai Iliki kijiko kimoja cha...
2 Reactions
10 Replies
12K Views
  • Redirect
Kwa anayejua kutengeneza kashata za Nazi anielekeze jamani.Nilishawahi kutengeneza ila hazikuwa ngumu sijui nilikosea wapi?
0 Reactions
Replies
Views
Moja kati ya mambo ninayopenda katika kupika ni ile raha na furaha ninayopata pale ninapotengeneza recipe mpya ya chakula na ikapendwa na wale waliokula chakula hicho. Pancakes si chapati maji...
2 Reactions
1 Replies
2K Views
Hello wanajamvi, google search imeshindwa kunipa jibu ya hii kitu. Nimeanda supermarket leo nimekutana juice ya chungwa ambayo zingine zimeandikwa ''WITH JUICY BITS'' na zingine zimeandikwa...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Mimi nimeona picha nikajaribu, ni nzuri sana! Umua unga kama wa mabanzi na uache uumuke kwa nusu saa. Kwenye sufuria safi chemsha samaki(nguru/jodari au yyt mwenye steki) mchapuze vile upendavyo...
4 Reactions
11 Replies
2K Views
muhali gani humu ndani.tafadhali naomba msaada wa kujuzwa namna ya kupika trupa ya kuku na ndizi mshale.natanguliza shukrani
0 Reactions
0 Replies
6K Views
habari, je mbaazi zaeza pikwa bila nazi? pliz naomba kujua namna nyengine ya kuzipika
0 Reactions
9 Replies
9K Views
Salaams. Nahitaji kuchinga bata wangu walau leo nami nijinafasi lakin sijui namna gani ya kumuandaa ili asiwe na shombo. Msaada pls.
0 Reactions
16 Replies
7K Views
Habari wa jfchef, naomba msaada kwa mwenye utaalamu wowote wa kukoroga uji wa lishe bila kuungua, maans kila nigorogapo lazima niunguze Asanteni
2 Reactions
4 Replies
3K Views
Naombeni recipe ya chapati nzuri na tamu za kukanda. Nataka huu uwe mlo wa leo nyumbani kwangu. Pia ningefurah zaidi kama ukinipatia na mboga gani niitumie kwenye huo mlo. Binafsi nilipanga...
1 Reactions
8 Replies
3K Views
Huko mjini mnaita popukoni, ni kazi rahisi sana. Chambua mahindi yako kutoa visivyohitajika hasa pumba ambazo zikiungua huweka weusi kwenye sufuria. baada ya hapo weka sufuria motoni na weka...
1 Reactions
18 Replies
3K Views
Watuamiaji wa soseji tuambiane,soseji ukinunua unakula hivo hivo?unaipasha kwenye mafuta?niambieni ukinunua soseji hatua gani zinafuata za upishi au kula hivo hivo? c.c mkwe farkhina
1 Reactions
24 Replies
16K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…