rainy forest
Member
- Sep 15, 2014
- 91
- 41
Naombeni recipe ya chapati nzuri na tamu za kukanda.
Nataka huu uwe mlo wa leo nyumbani kwangu.
Pia ningefurah zaidi kama ukinipatia na mboga gani niitumie kwenye huo mlo. Binafsi nilipanga ziliwe na magarage ya nazi kwa nyama ya kukaanga.
Ijumaa kareem.
Nataka huu uwe mlo wa leo nyumbani kwangu.
Pia ningefurah zaidi kama ukinipatia na mboga gani niitumie kwenye huo mlo. Binafsi nilipanga ziliwe na magarage ya nazi kwa nyama ya kukaanga.
Ijumaa kareem.