Watuamiaji wa soseji tuambiane,soseji ukinunua unakula hivo hivo?unaipasha kwenye mafuta?niambieni ukinunua soseji hatua gani zinafuata za upishi au kula hivo hivo?
c.c mkwe farkhina
Mkwe ntakuletea recipe 2 nzuri za soseji usijali....
waiting...mzima lakini many?
kuna zingine ukizichemsha zinapasuka pasuka na kuharibika Angel Nylon,baada ya hapo hazilikiViol kwa nini kuna nyengine hazifai kuchemsha? Mi za kuchemsha ndo nazipenda
mkuu CYBERTEQ hebu nifafanulie huwa mahotelini nakuta hizo za kutengeneza na tambi au rosti,zinatengenezwaje?chaguo ni lako tu, kutafuna hivohivoo za baridi, kupasha kwenye mafuta, kupasha kwenye grill, kuztengeza na tambi, kuztengeza rosti, machaguo mengi, ni juu yako tu upendeleo wako na unataka kuzila na nini, hata dukan ukinunua tu unaweza kununua na juisi unaanza kuzishambulia njiani huku unaongea kwenye simu na particles zinarukaruka, saafi!
kuna zingine ukizichemsha zinapasuka pasuka na kuharibika Angel Nylon,baada ya hapo haziliki
nilifanya kosa kuzichemsha kama mayai,but kuna upikaji na tambi mdau hapo juu aligusia bila kuelezea,but huwa na tambi ni tamu mno sijui unajua upikwaje wake na tambi? Angel NylonHapana bwana, u just boil kwa dkk kama 1 au 2 sasa unataka uchemshe kama maharage? Viol
unapenda soseji eeh
mkuu tuelekezane huo upishi wake na tambi,wengine hii mitaa soseji zipo cheap zaidi,ila huo upishi wake na tambi huwa sielewi na zinanendana sana na tambifarkhina hebu kam vere fast!
Mimi nnazonunua nnaeza kuchemsha tu au kukaanga. Huwa napenda kuzipika na tambi au kunywea chai asubuhi...