Red Giant
JF-Expert Member
- Mar 9, 2012
- 15,658
- 20,890
Huko mjini mnaita popukoni, ni kazi rahisi sana.
Chambua mahindi yako kutoa visivyohitajika hasa pumba ambazo zikiungua huweka weusi kwenye sufuria. baada ya hapo weka sufuria motoni na weka mahindi kiasi. Hakikisha kila punje inagusa kitako cha sufuria, zifunikie ili kuepuka zisitoke nje wakati wa kupasuka na pia uwe unachezesha sufuria horizontally.
Baada ya dakika nne mpiko wako unakuwa tayari na unaweza pika mingine.
Unaweza ukawa unabugia ndulusi zako huku ukiwa jf au unacheki movie. bei ya mahindi ni ndogo sana, kilo ni 1500 na zinatoka popukoni nyingi mno. mi nikikaa bila mahindi ya ndulusi nahisi kama sina sukari au majani ya chai.
toka nimeanza ubuguaji wa ndulusi constipation naisikia mitandaoni tu.
Chambua mahindi yako kutoa visivyohitajika hasa pumba ambazo zikiungua huweka weusi kwenye sufuria. baada ya hapo weka sufuria motoni na weka mahindi kiasi. Hakikisha kila punje inagusa kitako cha sufuria, zifunikie ili kuepuka zisitoke nje wakati wa kupasuka na pia uwe unachezesha sufuria horizontally.
Baada ya dakika nne mpiko wako unakuwa tayari na unaweza pika mingine.
Unaweza ukawa unabugia ndulusi zako huku ukiwa jf au unacheki movie. bei ya mahindi ni ndogo sana, kilo ni 1500 na zinatoka popukoni nyingi mno. mi nikikaa bila mahindi ya ndulusi nahisi kama sina sukari au majani ya chai.
toka nimeanza ubuguaji wa ndulusi constipation naisikia mitandaoni tu.