K kiface Senior Member Jan 23, 2014 151 61 Sep 20, 2014 #1 Habari wa jfchef, naomba msaada kwa mwenye utaalamu wowote wa kukoroga uji wa lishe bila kuungua, maans kila nigorogapo lazima niunguze Asanteni
Habari wa jfchef, naomba msaada kwa mwenye utaalamu wowote wa kukoroga uji wa lishe bila kuungua, maans kila nigorogapo lazima niunguze Asanteni
Mrs Kharusy JF-Expert Member Sep 23, 2013 1,244 670 Sep 20, 2014 #2 Uji hautaki moto mkali..punguza moto ili uwive vizur na usiwe unaachia mkono muda mrefu
K kiface Senior Member Jan 23, 2014 151 61 Sep 20, 2014 Thread starter #3 Mrs Kharusy said: Uji hautaki moto mkali..punguza moto ili uwive vizur na usiwe unaachia mkono muda mrefu Click to expand... Asante.
Mrs Kharusy said: Uji hautaki moto mkali..punguza moto ili uwive vizur na usiwe unaachia mkono muda mrefu Click to expand... Asante.
F farkhina Platinum Member Mar 14, 2012 14,568 16,906 Sep 20, 2014 #4 Alafu usiuache uwe mzito sana lazma utaungua tu add maji kidogo kidogo huku unakoroga hadi kuwiva
K kiface Senior Member Jan 23, 2014 151 61 Sep 20, 2014 Thread starter #5 farkhina said: Alafu usiuache uwe mzito sana lazma utaungua tu add maji kidogo kidogo huku unakoroga hadi kuwiva Click to expand... shukrani
farkhina said: Alafu usiuache uwe mzito sana lazma utaungua tu add maji kidogo kidogo huku unakoroga hadi kuwiva Click to expand... shukrani