Jinsi ya kupika tambi za papayu/papai

Wang Shu

JF-Expert Member
Feb 1, 2014
2,561
3,704
Leo hii tujifunze jinsi ya kupika tambi za mapapayu,usishangae ni katika ubunifu wa mapishi
InShot_20191215_112658664-768x579.jpg

MAHITAJI

  • Tambi za mapapayu (papayu lilokatwa maganda na kukatwa kwa urefu kama tambi) kiasi bakuli moja la kiasi
  • Tui zito kikombe 1
  • Tui jepesi kikombe 1&1/2
  • Sukari kikombe 1
  • Iliki kiasi
InShot_20191215_111334694-624x459.jpg

MATAYARISHO

  • Weka tambi kwenye sufuria na maji kiasi cha kufunika tambi, zifunike na uziache zichemke mpaka ziive(zibonyeze na ukiziona ziko laini basi zimeiva) Tambi nyingine ni cherema na huenda zikachukua muda mrefu zaidi kuiva
  • Kisha mwaga maji ya ziada
InShot_20191215_111659614-624x367.jpg

  • Weka sukari, tui jepesi na iliki kwenye zile tambi ulizozimwaga maji na urejeshe motoni kwa takriban dakika 10
    InShot_20191215_111724558-624x508.jpg
  • Kisha weka tui zito na uziache motoni kwa takriban dakika 5
InShot_20191215_111930997-624x415.jpg

  • Baada ya hapo tambi zipo tayari ipua anda mezani na chai ya maziwa.
"Nina mpango wa kufungua Mkahawa kwaiyo najiwekea kumbukumbu hapa na kufanya practice nyumbani"
 
Leo hii tujifunze jinsi ya kupika tambi za mapapayu,usishangae ni katika ubunifu wa mapishi
View attachment 1499730
MAHITAJI

  • Tambi za mapapayu (papayu lilokatwa maganda na kukatwa kwa urefu kama tambi) kiasi bakuli moja la kiasi
  • Tui zito kikombe 1
  • Tui jepesi kikombe 1&1/2
  • Sukari kikombe 1
  • Iliki kiasi
View attachment 1499726
MATAYARISHO

  • Weka tambi kwenye sufuria na maji kiasi cha kufunika tambi, zifunike na uziache zichemke mpaka ziive(zibonyeze na ukiziona ziko laini basi zimeiva) Tambi nyingine ni cherema na huenda zikachukua muda mrefu zaidi kuiva
  • Kisha mwaga maji ya ziada
View attachment 1499725
  • Weka sukari, tui jepesi na iliki kwenye zile tambi ulizozimwaga maji na urejeshe motoni kwa takriban dakika 10View attachment 1499724
  • Kisha weka tui zito na uziache motoni kwa takriban dakika 5
View attachment 1499723
  • Baada ya hapo tambi zipo tayari ipua anda mezani na chai ya maziwa.
"Nina mpango wa kufungua Mkahawa kwaiyo najiwekea kumbukumbu hapa na kufanya practice nyumbani"

🙆🙆🙆🙆🙆🙆🙌🙌🙌🙌
 

Similar Discussions

0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom