BROKE BOYS
JF-Expert Member
- Jan 12, 2019
- 13,215
- 39,040
Napenda kupika sana nikishindaga home lazima nipike vitamu mahanjumati na nipo vizuri, mwanamke atakaeolewa na mim kama hajui mapishi atapata tabu sana.
Atapata tabu Kwa nnNapenda kupika sana nikishindaga home lazima nipike vitamu mahanjumati na nipo vizuri, mwanamke atakaeolewa na mim kama hajui mapishi atapata tabu sana.
Mnataka kuanzisha kikundi cha mapishi?
atapata tabu Kwa nn
Mimi mahiri wa kupikaNapenda kupika sana nikishindaga home lazima nipike vitamu mahanjumati na nipo vizuri, mwanamke atakaeolewa na mim kama hajui mapishi atapata tabu sana.
KwaniniHongereni..
Kwa kujua mapishiKwanini
Hahaha fanya uoe jombaIzi ishu za kupika pika zinanikera sana kiukweli maisha yangu nakula mgahawani sabu nkitoka mishe zangu nmeoga nmelala na hii ishu itaniponza kuoa mapema
Kwenye mapishi pia nami nipo ila unabidi uwe na muda wa kutosha kusubiri msosi...
Wengi kupika wanaweza tu ila kesi iko kwenye hivyo vyombo ukishashiba tu unasema badae au kesho naviosha ndo imetoka hiyo, Mimi navizia mama mabula akiosha vyake nasogeza vyakwangu kesi inaishia hapo.
Mimi mahiri wa kupika
Uji
Chai
Makande
Munde sijui hapa ni sehemu sahihi?
Hongereni..