BlackStonekampuni gani nzuri?
liko vizuri sana, ufanisi mkubwa, halina joto, unawezapika ukakaa juu ya ile plate, ila kila chenye kizuri kina gharamaWenye uzoefu wa kulitumia vipi lipo vzuri?
Umeme baba umeme, mengi ni 2000 W (plate moja), ukipiga full, ndani ya saa moja linakata unit 2 za umeme chapNini hasara zake?
Plate moja bei ni kuanzia 70k mpaka 100kBei yake ipoje(One plate and two plates?
Asanten sana ndugu zangu.Vp upatikanaji wake?Warrant mda gan?
Duuh hapo kwenye umeme hapo kuna tatzo.Baba mwenye nyumba atanifukuza mapema sana😂😂😂😂BlackStone
liko vizuri sana, ufanisi mkubwa, halina joto, unawezapika ukakaa juu ya ile plate, ila kila chenye kizuri kina gharama
umeme baba umeme, mengi ni 2000 W (plate moja), ukipiga full, ndani ya saa moja linakata unit 2 za umeme chap
plate moja bei ni kuanzia 70k mpaka 100k
Kama kapanga litamfarakanisha na majirani unit 2 siyo mchezoBlackStone
liko vizuri sana, ufanisi mkubwa, halina joto, unawezapika ukakaa juu ya ile plate, ila kila chenye kizuri kina gharama
umeme baba umeme, mengi ni 2000 W (plate moja), ukipiga full, ndani ya saa moja linakata unit 2 za umeme chap
plate moja bei ni kuanzia 70k mpaka 100k