zagarinojo
JF-Expert Member
- Jul 26, 2020
- 2,622
- 2,835
JF,
Nafikiri na nyie mtakuwa mmegundua hili.
Wapishi katika mahoteli makubwa wengi ni wanaume.
Hasa hasa hoteli zenye hadhi ya nyota tano lakini hata zile za hadhi ndogo.
Sijajua sababu au ni kwamba wanaume wanajua kupika kuliko wanaume?
Nafikiri na nyie mtakuwa mmegundua hili.
Wapishi katika mahoteli makubwa wengi ni wanaume.
Hasa hasa hoteli zenye hadhi ya nyota tano lakini hata zile za hadhi ndogo.
Sijajua sababu au ni kwamba wanaume wanajua kupika kuliko wanaume?