R. I. P. Lugha ya Kiswahili.
Reo Hasubui nirikuwa napitapita kwenye mitandao ya kijamihi nikahona mahajabu ya jinsi vijana wa siku izi wanavyo handika mitandaoni.
Kiloho safi awana ata wasiwasi...
Wakenya wanasema " Timu ya Tanzania ya Yanga SC imebanduliwa mashindanoni "
Watanzania wanasema " Timu ya Tanzania ya Yanga SC imefungwa katika mashindano "
Nani ameongea Kiswahili ' fasaha '...
Saivi ukiwa mjini utasikia tu vijana na mabinti wanasema :
" Mimi siyo wa nchi hii wewe...". " Hii siyo ya nchi hii …" Au " Yule si wa nchi hii".
Ni tumsemo tunatokuja kwa kasi sana kama ule...
Habari wana JF,
Wengi wamezaliwa mjini, anachojua tu ni kwamba yeye ni wa Kabila fulani, ila ukimuongelesha kwa Lugha hiyo ya kwao anakuwa hajui chochote zaidi ya basic terms na salamu tu...
Salaam,
Hamjambo maashiki wa lugha aali, tukufu, adhimu, na johari ya kiswahili.
Ama baada ya salamu naomba mnisaidie kutongoa jambo lililonitatiza kama kichwa cha uzi kisemavyo.
Unapomuuliza...
Hellow members I'm here to improve my english so I will going to reply all the contribution here through english language please dont stare or lough on me when I do the mistake in grammar or...
Habari zenu wajumbe?
Ndugu wajumbe,
Karibuni kwenye huu uzi maalumu wa kukumbuka vitendawili vya shuleni na kutega huku wengine wakitegua kuanzisha na wengine kumalizia methali pamoja na kutoa...
Wakuu habari, natumai mu wazima usiku huu mkiwa mmejipumzisha baada ya pilika za mchana,
Moja kwa moja niende kwenye mada, kama kichwa cha habari hapo juu naomba kwa wale walioishi South na wale...
kwa sisi ambao lugha yetu mama si ile ya malkia,katika kusoma soma vijarida mbalimbali nikakutana na hiki naomba tu shee nadhani kitasaidia na wengine kama kilivyonisaidia mimi quoted;
Listening...
KARIBU TUFUTURU
1)Jamvi natandika nje,njoni tukusanyane
Njoni goti tukunje,kwenye kheri tukutane
Hata kama ni vipunje,hivyo hivyo tugawane
Karibuni tufuturu,mwisho na dua tuombe.
2)Japo...