Yuyo Ahumile Shamalendi
JF-Expert Member
- Mar 10, 2018
- 993
- 782
Wakuu habari, natumai mu wazima usiku huu mkiwa mmejipumzisha baada ya pilika za mchana,
Moja kwa moja niende kwenye mada, kama kichwa cha habari hapo juu naomba kwa wale walioishi South na wale ambao bado wapo kule south najua wamo humu, naomba ueleweshwa maana ya jina linaloitwa "SIPHO" maana kuna watu wanaitwa sipho ni wasouth, mfano sipho makabane, sipho mabuse etc, jamani mtudadavulie maana ya hilo jina, nakaribisha wataalam wa lugha ya kizuru.
Moja kwa moja niende kwenye mada, kama kichwa cha habari hapo juu naomba kwa wale walioishi South na wale ambao bado wapo kule south najua wamo humu, naomba ueleweshwa maana ya jina linaloitwa "SIPHO" maana kuna watu wanaitwa sipho ni wasouth, mfano sipho makabane, sipho mabuse etc, jamani mtudadavulie maana ya hilo jina, nakaribisha wataalam wa lugha ya kizuru.