Uandishi wa Kiswahili unao kera

decomm

JF-Expert Member
Dec 10, 2013
726
655
R. I. P. Lugha ya Kiswahili.

Reo Hasubui nirikuwa napitapita kwenye mitandao ya kijamihi nikahona mahajabu ya jinsi vijana wa siku izi wanavyo handika mitandaoni.

Kiloho safi awana ata wasiwasi, jalibu sasa kuwakosoa ndipo utakapohona wanavyo kushamburia, eti badara ya kuangaria maana nzima wewe hunakazania tu kukosoa.

Ivi naomba kuhuriza kwani kuna makosa kumlekebisha haliye kosea kuhandika?
---------------


Hadi nahisi gumbizi (kizunguzungu).

Samahani wadau, jinsi ilivyokukera kusoma maandishi machache hapo juu ndivyo ninavyo kerekwa kila siku ninavyo soma post za vijana wetu wa siku hizi.

Kiukweli kuna wadau ambao wanajifunza lugha yetu hii adhim na hupitia kwenye majukwaa mbalimbali ya kijamii kupata uzoefu. Ni vizuri wajifunze yaliyo sahihi na siyo kujifunza makosa.

Hivyo, tusikasirike tukirekebishwa.

Naomba kuwasilisha.

D.
 
Na kuna hivi vitoto vinaandika kama vinaharisha...

xaxa = sasa
Kiba100 = kibamia
ctaki = sitaki

Aggggggggrrrrrrrr......................!!!

Shenzi taipu kabisa
 
wewe unaona kosa ni la nani kati ya aliyewafundisha kiswahili au aliyefundishwa kiswahili??
 
R. I. P. Lugha ya Kiswahili.

Reo Hasubui nirikuwa napitapita kwenye mitandao ya kijamihi nikahona mahajabu ya jinsi vijana wa siku izi wanavyo handika mitandaoni.

Kiloho safi awana ata wasiwasi, jalibu sasa kuwakosoa ndipo utakapohona wanavyo kushamburia, eti badara ya kuangaria maana nzima wewe hunakazania tu kukosoa.

Ivi naomba kuhuriza kwani kuna makosa kumlekebisha haliye kosea kuhandika?
---------------


Hadi nahisi gumbizi (kizunguzungu).

Samahani wadau, jinsi ilivyokukera kusoma maandishi machache hapo juu ndivyo ninavyo kerekwa kila siku ninavyo soma post za vijana wetu wa siku hizi.

Kiukweli kuna wadau ambao wanajifunza lugha yetu hii adhim na hupitia kwenye majukwaa mbalimbali ya kijamii kupata uzoefu. Ni vizuri wajifunze yaliyo sahihi na siyo kujifunza makosa.

Hivyo, tusikasirike tukirekebishwa.

Naomba kuwasilisha.

D.
anza na Bi.Chau kwanza..""ivi wee maraya mboni unareta ushubwada"
 
wewe unaona kosa ni la nani kati ya aliyewafundisha kiswahili au aliyefundishwa kiswahili??
Siamini kwamba walimu wao ndiyo hufundisha hivyo.

Yaani: xaxa, cku, 2mia nk au hasubui, kuhuriza nk
 
'cku hz umekua mrefoo' hiki kiswahili ni noma!

TUKI, BAKITA anzisheni kampeni za kukuza kiswahili na kupinga haya makosa ya kisarufi ambayo yanakua kwa kasi kubwa.
 
Back
Top Bottom