Habari zenu Wanajukwaa?
Ninayofuraha kuandika katika jukwaa hili kwa siku ya leo.
Mimi ni mdau wa lugha ya Kiswahili, hivyo ningependa kubadilishana maarifa na wadau wengine kuhusu lugha hii.
Kwa muda mrefu nimekuwa nikifanya harakati za kukieneza Kiswahili, na sasa nimeona ni muda muafaka wa kuwatafuta wadau wengine wa Kiswahili ( Hasa Watanzania) ili kubadilishana maarifa.
Asanteni!
Ninayofuraha kuandika katika jukwaa hili kwa siku ya leo.
Mimi ni mdau wa lugha ya Kiswahili, hivyo ningependa kubadilishana maarifa na wadau wengine kuhusu lugha hii.
Kwa muda mrefu nimekuwa nikifanya harakati za kukieneza Kiswahili, na sasa nimeona ni muda muafaka wa kuwatafuta wadau wengine wa Kiswahili ( Hasa Watanzania) ili kubadilishana maarifa.
Asanteni!