Jukwaa la Lugha

Swahili, English languages special forum. Jifunze Kiswahili (Learn Swahili)
Je wajua tofauti ya watu hawa..?? Zuzu,zezeta,zoba
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Kiswahili kilizaliwa unguja, kikakulia Tanganyika, kikafia Kenya, kikazikwa Uganda, Je kiswahili kinakua au kinakufa? Tujadili……………!!
0 Reactions
8 Replies
5K Views
Kwa siku za karibuni nimekuwa nikifuatilia kupotea kwa mwandishi Jamal Kashogi nchini Uturuki.Jana nimekumbana na msamiati mpya,"The interrogation that went wrong" au kwa Kiswahili "mahojiano...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Jamani naomba kujua maana ya maneno haya ambayo yamekuwa yakitumika sana sasa hivi: kudamshi,konki,kudanga
0 Reactions
1 Replies
3K Views
Lugha hadhim ya kiswahili sasa inakamata kasi ya ajabu katika nyakati hizi Afrika na dunia kwa ujumla, wakati juzi ndani ya mkutano wa wabunge wa Afrika mashariki na wageni mbalimbali kutoka nchi...
1 Reactions
2 Replies
2K Views
Mwenye notes za L1 advance tuwasiliane 0767578628
2 Reactions
0 Replies
667 Views
Kuna Haya maneno, naweza nikasema hayajawa professional kichwani mwangu maana nashindwa kuyaelewa na ni sehemu ipi sahihi katika sentensi yanafaa kukaa/kuyatumia.. As well as & As long...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Habarini wanajamvi naombeni kujuzwa na wale wataalam wa lugha hasa kimarekani hivi neno "***" linamaana gani ??, Je ni wakati upi yaani muktadha ili neno hutumika maana naona vijana wengi hutumia...
0 Reactions
4 Replies
5K Views
Kuna haja ya kujulishana misamiati mipya ya lugha yetu adhimu. Kila siku lugha yetu inakua na misamiati inaongezeka kila siku. Hapa kuna baadhi ya misamiati, pia naomba ndugu zangu muongezee...
7 Reactions
125 Replies
116K Views
Great thinkers, tafadhali naomba kujuzwa; NJUGU MAWE kingereza zinaitwaje? Asante.
0 Reactions
14 Replies
16K Views
Kubugi maanake nini? Mfano, fulani amebugi kwenye swala fulani.
0 Reactions
6 Replies
5K Views
Habari za asubuhi ndugu wa JF. Kimsingi baada ya muda mrefu kupita bila kuzamia katika mtandao wa kijamii wa Facebook /uso wa kitabu nadhani ndio sababu iliyonifanya nishangae kuona hii misamiati...
0 Reactions
3 Replies
997 Views
BONOKO. 1.Katikiro najituma,kuleta huu ujumbe Waziwazi nausema,sitoogopa wapambe Nanena huku nahema,roho inadunda kumbe Kileta kindumbwendumbwe,utawekewa bonoko. 2.funga domo...
1 Reactions
0 Replies
514 Views
KATIKA KUTEKELEZA SERA YA ELIMU BURE KWA WOTE:JIFUNZE ENGLISH Kama inavyojulikana kuwa English ndio lugha kuu wa mawasiliano duniani hivyo pasipokujua English itakufanya ushindwe kuingia katika...
27 Reactions
155 Replies
39K Views
Sijui kuna nini kilichofichwa kwenye hii lugha ya kimalkia (English). lugha zote duniani mswahili anaweza kuongea paspo wasiwasi nikamsikiliza vizuri lakini si kiingereza! Yaani mswahili punde...
4 Reactions
14 Replies
2K Views
NISIKILIZE NYERERE. 1.Huku tunadanganyana,ya kwamba tunakuenzi Na mbali wameikana,wajali kiti cha enzi Tasema tena na tena,Hata kama kwa utenzi Nisikilize Nyerere,kwa hili hauenziwi...
0 Reactions
0 Replies
692 Views
JE!HUENDA MRISHO MPOTO (MJOMBA)ANAUSHANGILIA UTAWALA WA DKT.JOHN POMBE MAGUFULI KWA WIMBO WAKE MPYA WA "NIMWAGE RADHI"?. Hivi karibuni Mwanamuziki Mrisho Mpoto(Mjomba)ametoa wimbo wake mpya...
2 Reactions
10 Replies
8K Views
ZIMWI LA DAR! Kwanza naanza kwa dua, Yarabi nisimamie, Moyo nakuinulia, roho wako nivuvie Hekima busara pia, nazo unikirimie Pamwe na Watanzania, yao nchi watetee Zimwi limeteka Dar, limejivika...
0 Reactions
0 Replies
552 Views
Neno la Mungu linasema katika Yoshua 1:5 Hapatakuwa na mtu ye yote atakayeweza kusimama mbele yako siku zote za maisha yako; kama nilivyokuwa pamoja na Musa, ndivyo nitakavyokuwa pamoja na wewe...
1 Reactions
2 Replies
2K Views
Back
Top Bottom