Jukwaa la Lugha

Swahili, English languages special forum. Jifunze Kiswahili (Learn Swahili)
Hivi ndivyo Afrika ingekuwa kama mipaka yake ingewekwa kutokana na Lugha na jamii kubwa (Major Ethinic) mwaka 1959 Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
23 Replies
6K Views
Wanajf hamjambo! Kama swali hapo ambalo huwa najiuliza mara kwa mara , Leo nimeona niwaletee tujadili kidogo kama inafaa au haifai with ground reasons. Ukifika South Africa wao wana lugha kama...
6 Reactions
57 Replies
6K Views
Naomba kujuzwa maana ya usemi huu uliotamalaki hususani katika nyimbo za kizazi leo. Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
4 Replies
5K Views
Habari? Nahitaji kuonana na mdau anayejuwa kusoma na kuandika lugha ya Kijapani. Napatikana Dar es Salaam. Natanguliza shukrani. Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Lugha ina tabia nyingi moja wapo ikiwa ni kukua. Nawe endeleza tabia moja ya lugha unayoifahamu.
1 Reactions
6 Replies
6K Views
Kuna hili neno "F**k" limekua likinitatiza matumizi yake moja kwa moja. Navojua maana yake ni kama tusi mfano mtu akisema'F**k you'obvious kakutukana, lakini pia nilikua naangalia tamasha fulani...
0 Reactions
7 Replies
4K Views
1. Leo inanigharimu,kuleta kwenu andishi, Lahusu Kesi adhimu, Bodi ya CUF kughushi, Msome wote Kaumu, Jaji yake matamshi , Bodi ya Lipumba ghushi, imehukumu hukumu, 2. Kwa mujibu wa hukumu...
1 Reactions
1 Replies
2K Views
Wana inakuwaje wazee?!! Mambo niaje,,,aisee namiss sana story za kitaa..kutimba kwa mangeli na manogo ya mastori ya kitaa... Kama vipi tulonge hapaaa... Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Omuhangara –Januari Omwiraguzu – Februari Omwero gw’ilima-Machi Omuhingo- April Kaboza-Mei Omwiraguzu gw’echanda (Omwiraguzu)-Juni Omwero gw’echanda au ikira lya bukene- Julai Bukene- Augusti...
0 Reactions
2 Replies
3K Views
Asilimia 80% Kiswahili ni lugha iliyozaliwa kutokana na kibantu na kiarabu,achilia mbali maneno mengine ya makabila na lugha zingine za kimataifa kama Kijermani na Kingereza. Kwanini watanzania...
2 Reactions
6 Replies
2K Views
Hebu Pata Kumi Bora za Wahenga ________________________________________ Wahenga ni wazee wenye akili waliotutangulia maana siyo kila mzee ana akili kwa sababu hata wajinga wanazeeka. Mjinga...
5 Reactions
18 Replies
179K Views
Shindano la tuzo ya Ushairi ya Ebrahim Hussein limefunguliwa rasmi. Ewe mshairi uliopo Tanzania wasilisha tungo yako kabla ya tarehe 31/07/2018. Hakikisha unazingatia vigezo na masharti...
1 Reactions
6 Replies
5K Views
Wadau napenda kufahamu maana ya neno decommission kwa kiswahili Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
4 Replies
4K Views
Nimekuwa naona vyombo vya habari hasa Magazeti wakitumia neno "Hairisha" likimaanisha (kwa kiingereza) postpone. Wataalam wa Kiswahili naomba mnisaidie neno fasaha ni Hairisha au Ahirisha...
0 Reactions
20 Replies
15K Views
Nini maana ya nahau "tia tashtiti?" Nawasilisha
0 Reactions
5 Replies
13K Views
Does anyone know the translation of this Taarab song. Apparently its in old Swahili? Thank you Beru lina marumba la vumba,*2, lambaje,lambaje beru siuganga,mume wangu kaogelea vumba , Lambaje...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
1.Waliiba waibaji,hata sasa wanaiba Kaibiwa mtungaji,moyoni kachomwa mwiba Walikaba wakabaji,wakamwachia msiba Kafa na lake moyoni,hakiye hikusikizwa. 2.Waliiba wanyonyaji,wakaiba wakashiba Yeye...
1 Reactions
1 Replies
1K Views
Ninavoelewa mie JK ni kifupi cha ama Julius Kambarage au Jakaya Kikwete. sasa ili kutofautisha mhusika wa kifupi hicho ni vema tukaachana nacho na kama tunataka kutumia vifupisho vya hawa viongozi...
0 Reactions
14 Replies
2K Views
Unapoongelea lafudhi ya kiswahili na baadhi ya misemo ya mtaani (japo si sana na kote) basi kwa Arusha kuna lafudhi nyingi. kuanzia KIkatiti,maji ya chai,usa,tengeru mpaka kufika maeneo ya...
0 Reactions
2 Replies
4K Views
Kwema wakuu,natafuta sehemu au chuo,kinacho fundisha lugha za asiri za hapa TZ, nataka kujifunza kimasai,kichaga na kigogo,kwa anaye jua wapi nitapata msaada wa lugha hizo,naomba taharifa.nipo...
0 Reactions
7 Replies
3K Views
Back
Top Bottom