Kila mtu, wakati wa utoto wake, anavumbua dhana ya lugha. Mama hawezi kumwambia mtoto, "mwanangu njoo nikuambie hivi kuna kitu kinachoitwa lugha" kwa sababu huyo mtoto bado haelewi lugha yo yote. Ni kazi ya kila mtoto akijifunza jifunza kutambua kwamba sauti zinazotoka kwa mdomo wa mama ndizo maneno yenye maana kwa ajili ya mawasiliano.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.