Mugabe one
JF-Expert Member
- Nov 15, 2016
- 2,327
- 1,681
Wanajf hamjambo!
Kama swali hapo ambalo huwa najiuliza mara kwa mara , Leo nimeona niwaletee tujadili kidogo kama inafaa au haifai with ground reasons.
Ukifika South Africa wao wana lugha kama nane officially recognized baadhi ni kizulu, kisuthu, Xhosa, Afrikana, English, nk .
Ukifika katika ile wanaozaliana kama sangara wao wana English, Yoruba, Hausa, IBO nk zote ni officially recognized national language huko kwenye mji MKUBWA wenye msongamano wa magari Na wengi wa madereva wasio Na nidhamu.
Huko DR Congo kuna Lingala, Kikongo, Manyema , kifaransa nk ni officially recognized Language.
Je hapa Tz kwanini Lugha ya tatu isitambuliwe kuwa lugha 3 ambayo ndiyo lugha ya kiasili inayotumiwa na watz wengi na pia Watanzania wasio wa kabila hiyo wanaifahamu asilimia kubwa Na hata humu JF mtu akisema ngosha unaelewa tu.
Kwanini kisukuma kisiongezwe kiwe lugha ya tatu ya taifa letu? Tafadhali MAENDELEO haya Vyama!
Kama swali hapo ambalo huwa najiuliza mara kwa mara , Leo nimeona niwaletee tujadili kidogo kama inafaa au haifai with ground reasons.
Ukifika South Africa wao wana lugha kama nane officially recognized baadhi ni kizulu, kisuthu, Xhosa, Afrikana, English, nk .
Ukifika katika ile wanaozaliana kama sangara wao wana English, Yoruba, Hausa, IBO nk zote ni officially recognized national language huko kwenye mji MKUBWA wenye msongamano wa magari Na wengi wa madereva wasio Na nidhamu.
Huko DR Congo kuna Lingala, Kikongo, Manyema , kifaransa nk ni officially recognized Language.
Je hapa Tz kwanini Lugha ya tatu isitambuliwe kuwa lugha 3 ambayo ndiyo lugha ya kiasili inayotumiwa na watz wengi na pia Watanzania wasio wa kabila hiyo wanaifahamu asilimia kubwa Na hata humu JF mtu akisema ngosha unaelewa tu.
Kwanini kisukuma kisiongezwe kiwe lugha ya tatu ya taifa letu? Tafadhali MAENDELEO haya Vyama!