Jukwaa la Lugha

Swahili, English languages special forum. Jifunze Kiswahili (Learn Swahili)
Mtu anae toa pesa baada ya ngono kujaamiiana hiyo fedha inaitwaje?
0 Reactions
79 Replies
8K Views
Wadau salaam kwenu,naomba kujua Ni wapi nitapata darasa na mwalimu mzuri wa French na Spanish... Sent using Jamii Forums mobile app
1 Reactions
10 Replies
3K Views
ASANTE KWA KUNILIZA. 1.Nilijua nimefika,nawe utanituliuza Wakufa na kunizika,leo tena waniliza Mdomo naufunika,wala sitokuuliza Asante kwa kuniliza,nakuombea baraka. 2.Japo chozi...
3 Reactions
10 Replies
2K Views
Kanzu inaitwaje kwa kiingereza?
0 Reactions
29 Replies
11K Views
Issa Kitenge ni mmoja kati ya washairi wakubwa Tanzania lakini asiejulikana sana katika jamii ya washairi wengi. Alizaliwa kunako mwaka 1929 katika mji wa Kigoma na baba yake alikuwa akijulikana...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Habari niende moja kwa moja kwenye mada, hakuna kitu kinanikera kama mtu kuchanganya R au L katika neno mfano Rambo kuiita Lambo hili siku zinavozidi kwenda naona linazidi kua janga la taifa na...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Mimi nijuavyo beberu ni mbuzi dume ambaye kama mbegu yake itapendwa hutumika kuzalisha majike. Mana yake nyingine ni ipi?
0 Reactions
7 Replies
7K Views
Habar zenu, samahan nauliza tafsir ya neno "kujidhalilisha" kwa kingereza.
0 Reactions
14 Replies
4K Views
Hivi unaelewa maana ya maneno haya? 1. Sharubati 2. Lakili 3. Nywira 4. Kiotomotela 5. Vibanzi 6. Kipakatalishi 7. Diski mweku????
1 Reactions
9 Replies
8K Views
Habarini wanajamvi. Hakika hili lanitatiza,na ninaamini hapa ndipo penyewe.Ni hivi; Mtoto anapozaliwa na kukutwa anajinsia ya kike. Tutasema kazaliwa mtoto wa kike au kazaliwa mwanamke? Nawasilisha
2 Reactions
31 Replies
3K Views
Kuna barua inayosambaa kwenye mitandao yenye kichwa cha habari "GHARAMA ZA LESENI KWA WASAFIRISHAJI WA VIFURUSHI, VIPETO NA NYARAKA " Kama nilivyonukuu imetolewa na Mamlaka ya Mawasiliano...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Tunaishi nyakati ambazo siasa zetu zimetawaliwa na coded messages na matukio yanayohitaji tafakari ya juu kuweza kuyang'amua. Nikitolea mfano wa haraka haraka ni hili jina 'Watu Wasiojulikana'...
0 Reactions
2 Replies
6K Views
Mbwa wazaa wengi, wazidiwaje na ng'ombe? Swali hili ni la msingi, nijibu nipe ujumbe. Najua hunipingi, wengi ng'ombe wenye pembe, Wazidiwaje na ng'ombe, mbwa uzaaye wengi? Mbwa ukizaa sita...
1 Reactions
23 Replies
3K Views
Malenga naanza hima,ukweli kuambiana Kweli i wazi daima,yapasa kukumbushana Walo watemi wajanja,kweli wajaribu ficha Hili mujarabu Dongo,kwako wangu Magufuli Wengi walishapotea, katika hali ni...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Watanzania ninaita umeme, wakenya wanependa kuita stima, je neno lipi liko sahihi zaidi? Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
10 Replies
6K Views
Hivi kuna sentensi moja nimekua nikiisikia hususan kwa watu wa dar na bara inayosema "nipo mwenyewe " eti wakiwa na maana hakuna mtu mwengine zaidi yake; kwa mimi mtu wa pwani naona sentensi hii...
1 Reactions
1 Replies
1K Views
wakuu binafsi napenda lugha japo sizijui. njoo tujifunze /tujifundishe kiarabu mrhbaan ya 'iikhwan
1 Reactions
19 Replies
3K Views
Msaada wa kufafanua neno hili, muktadha.
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Hivi ndivyo Afrika ingekuwa kama mipaka yake ingewekwa kutokana na Lugha na jamii kubwa (Major Ethinic) mwaka 1959 Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
23 Replies
6K Views
Back
Top Bottom