"Nipo mwenyewe " eti wakiwa na maana hakuna mtu mwengine zaidi yake

abdallah1503

Member
Jan 21, 2019
12
3
Hivi kuna sentensi moja nimekua nikiisikia hususan kwa watu wa dar na bara inayosema "nipo mwenyewe " eti wakiwa na maana hakuna mtu mwengine zaidi yake; kwa mimi mtu wa pwani naona sentensi hii si sahihi badala yake isemwe "nipo peke yangu"

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom