Hiki kipindi cha COVID-19 nataka nijifunze Lugha mbili au tatu za Kimataifa

42774277

JF-Expert Member
Aug 24, 2018
6,833
8,811
Nimekaa nimewaza, kuliko kukaa bure hiki kipindi cha Corona, its better hata nijifunze lugha mbili au tatu za Kimataifa.

Lugha ya kwanza iliyokuja kichwani ni Deutsch (Gernam). Na nimeshaanza kujifunza since weekend hii.

Baada ya Kijerumani nafikiria kujifunza Kifaransa, then baada ya hapo nitachagua box language moja (Chinese, Japananese or Korean).

Nakaribisha mawazo kuhusu best way ya kujifunza maana kwa sasa natumia YouTube Channels ambazo zinafundisha hizo lugha...
 
Nimekaa nimewaza, kuliko kukaa bure hiki kipindi cha corona, its better hata nijifunze lugha mbili au tatu za kimataifa.

Lugha ya kwanza iliyokuja kichwani ni Deutsch (Gernam). Na nimeshaanza kujifunza since weekend hii.

Baada ya kijerumani nafikiria kujifunza french, then baada ya hapo ntachagua box language moja (Chinese, Japananese or Korean).

Nakaribisha mawazo kuhusu best way ya kujifunza maana kwa sasa natumia youtube channels ambazo zinafundisha hizo lugha...
Anza kuwaza kuhifadhi Nafaka za kutosha mkuu Lugha badae kidogo
 
Nimekaa nimewaza, kuliko kukaa bure hiki kipindi cha Corona, its better hata nijifunze lugha mbili au tatu za Kimataifa.

Lugha ya kwanza iliyokuja kichwani ni Deutsch (Gernam). Na nimeshaanza kujifunza since weekend hii.

Baada ya Kijerumani nafikiria kujifunza Kifaransa, then baada ya hapo nitachagua box language moja (Chinese, Japananese or Korean).

Nakaribisha mawazo kuhusu best way ya kujifunza maana kwa sasa natumia YouTube Channels ambazo zinafundisha hizo lugha...
Pia Ningekupa Ushauri Kua:

Jaribu Kujifunza Lugha Ya Kiarabu.
Asantesana.

+225675064337

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom